Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Watu watakukwepa na kukuchukia kimyakimya maana watakuona wewe unajifanya much know
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamaanisha umejua mapenzi Kama mapenzi ukiwa mdogo au jigjig ulianza ukiwa chalii?
Pamoja sana. Rich dad and poor dadKitu sifanyi kusoma vitabu sijui rich dady ,sijui upuuzi sijui quotes za watu waliofanikiwa wapo kibao wanasoma miaka nenda na rudi naona wapo tu hawana kitu
Umejua 'ngono' na si mapenzi, kuna tofauti kubwa sana kati ya 'ngono' na 'mapenzi'Unamaanisha umejua mapenzi Kama mapenzi ukiwa mdogo au jigjig ulianza ukiwa chalii?
Unamaanisha vitabu vya ziada au kiada? Utafiti unaonyesha kuwa watu wanaosoma vitabu vingi wanakuwa na maarifa mengi na hivyo kuwarahisishia mambo mengi. Hata ukifuatilia watu wengi waliofanikiwa, utakuta wanasoma sana vitabu ili kujiongezea ufahamu kwenye career zao. Wafuatilie akina Bil Gate, Elon Musk, na wengineo, uone mavolume wanayomaliza kusoma kwa mwaka.Angalia Sana haya mambo
Utajifunza mengi juu ya ulimwengu na uulize ukweli wake. Ukijua hakuna ukweli.
Utakuwa muongeaji sana kwenye karamu maandishi na hulali
Mpenzi wako ataondoka kitandani kwa sababu mazungumzo ya wapenzi yamekuwa jukwaa la mjadala wa kifalsafa. Yaani unakera
Utakuwa unahangaika kuweka mitazamo yako ukidhani Dunia ni yako na japo unatambua kwamba kila kitu ni kibaya. Hakuna masuluhisho
Utatumia maneno katika maisha ya nadharia hata mchumba Ako atakuona kero. Kutongoza inakuwa kama lecture. Maneno kibao.
Wkt mwingine unakosa nafasi ya vitu vyako vya kibinafsi kwani nyumba na vyumba vyako vinajazwa na vitabu.
Utajikuta ni maskini na bila makazi kwa sababu umetumia pesa zako zote kwenye vitabu.
Yaani daima waweza usipate kazi kwa sababu umehitimu kupita kiasi na muulize mhojiwa maswali mengi ambayo hawezi kujibu.
Lazima utajenga tatizo la unywaji pombe kwa sababu hakuna mtu anayekuelewa.
Nimesoma vitabu vya kiyosaki vimenisaidia sana kubadili mtizamo kwenye maisha haya.Usiombe ukutane na waliosoma vitabu vya Robert Kiyosaki [emoji1316][emoji1316][emoji1316] hawashaurikagi hawa watu wanaamini kuajiriwa ni utumwa. Halafu wanaishi maisha magumu mno
Nimeiona Quora,ipo kama ilivyo amebadili lugha tuUme copy na ku paste Quora,tuachuie ujinga sisi na kusoma kama kawa,,huna unachojua ndio maana ume copy post
Elimu ni gharama. Na ndio maana ulikubali kuomba kulala msikitini mwaka mzima.[emoji16]Kama elimu ni gharama basi jaribu ujinga