Kufuata kalenda na kuchomoa uume kabla hujamwagia ndani naamini kabisa hii ni misimamo ya vijana ambao hawajui gharama za kupata ujauzito ambao huna mpango nao kabisa
Nakumbuka niliapa kutokuja kutumia njia hizi za kisasa katika kupanga uzazi nami nilijiapiza kutumia kalenda na mwanaume nae alikuwa anachomoa hahahahahaha nicheke kwanza
Ilikuwa utoto labda
Nikapata ujauzito wa ghafla bin vuu Mungu anisamehe nilitamani kuutoa na nilifika kabisa kwa daktari lkn alikataa kuutoa ikanibidi niulee ujauzito kishingo upande kuna siku nilikuwa naomba kabisa hata mimba itoke ndo kwanzaaaaaa ikafika miezi 9 nikajifungua fresh tu
Hapo ndipo nilivunja kiapo changu nikaweka kitanzi maisha mazuri nabinuka nitakavyo mguu mmoja darini mwingine sakafuni no stress
Kalenda ni nzuri lakini kumbukeni siku ya kupata ujauzito ndipo k nayo inaongoza kwa kutoa machozi ya kuwasha na hapo ndipo bwana bamia anapokuwaga mtamu balaa halafu unambie nisiduu au mwanaume aichomoe mnafanya masikhara na utamu nyie
Kuliko kulea mimba kwa masikitiko na manung'uniko ni heri kuizuia ni hayo tu wapendwa
Mnaoapa apeni kimya kimya nawashauri tu
Habari za siku mingi?
Ni kweli usipokuwa makini hizo njia za withdraw na calendar ni ngumu sana ila kusema za ukweli hizi dawa za hospitalini ni hatari zaidi bora kuzaa kuliko kutumia dawa za uzazi wa mpango........nitaje madhara machache tu
1.Kukosa hamu ya tendo la ndoa
2.Uke kujaa maji mengi hivyo kupunguza raha kwenye tedo la ndo na kuweza kusababisha uchepukaji
3.Hasira kwa mwanamke......mwishowe humchukia hata mume baadae uchepukaji huweza kutokea
4.Kwa sababu dawa huwa kwenye mzunguko wa damu muda wote uwezekano wa kuzaa mtoto mwenye matatizo ya akili ni mkubwa sana........rejea watoto wa sasa ambao wazazi wao wamekuwa watumiaji wa dawa hizi(rejea pia uwezo wa watoto mashuleni)
5.Uwezekano wa kupata kansa ya shingo ya kizazi/kansa kwenye mji wa mimba ni mkubwa sana
6.Uke kujaa maji humfanya mwanaume apunguze uwezo wa tendo la ndoa na kusemekana mwanaume amepungukiwa nguvu za kiume
Kwa uchache ni hayo tu dada yangu ila njia za asili zipo nyingi na zina matokeo chanya zaidi kuliko hizo za hospitalini wewe endelea kutumia ila mwisho wa siku yakikupata moja kati ya hayo utatukumbuka.........kumbuka hospitalini hawasemi ukweli sababu hizo ni biashara za watu
Nikipata muda nitaelezea hapa njia za asili za kupanga uzazi