Madhara ya kuzaa nje: Familia inajuta mpaka leo kwa uamuzi walioufanya kwenye urithi wa kaka yao. So sad

Madhara ya kuzaa nje: Familia inajuta mpaka leo kwa uamuzi walioufanya kwenye urithi wa kaka yao. So sad

Yaani tutafute mali miaka yote baada ya kifo analetwa mtu tu hukoo Ooh alikuwa mtoto wake soo what?Mama yake alivyokuwa anajua anatanua miguu kwa mume wa mtu alitegemea nini?Sarah kwenye biblia hii issue ilimuwia vigumu mimi ndio nitaweza.Niwe honest tu huu upumbavu ni moja ya vitu vinavyoumiza wanawake, kama nyie wanawake zenu wakicheat mnavyoumia na ndio na sisi pia.Kama mali ni za kupita huyo mtoto akapitie za wengine aachane na zangu
 
Busara wewe unaiyona ni sawa hapo kaka, tuelezee.
Cha kwanza kabisa ni kuona kama yule mama wa watoto wa kambo kuwa tayari kuwaachia watoto kwa utaratibu fulani kuchukuliwa na ndugu wa baba. Hicho huwa ni kipimo cha kubaini kama huyo mama kaja kuleta watoto au kafuata pension.

Pia hali kama hiyo inapotokea mnaweza toa urithi chini ya mwangalizi wa upande wa baba.
 
Cha kwanza kabisa ni kuona kama yule mama wa watoto wa kambo kuwa tayari kuwaachia watoto kwa utaratibu fulani kuchukuliwa na ndugu wa baba. Hicho huwa ni kipimo cha kubaini kama huyo mama kaja kuleta watoto au kafuata pension.
Akitaka kukaa na wanae
 
To yeye
BILGERT

Wakuu mimi nimewahi ona kesi moja hivi wanandoa kuachana.

Wanandoa wale walijenga nyumba mbili, ila mahakama katika kuamua zile nyumba mbili alibakinazo mume tuu, coz ilionekana kuwa mume wake ndo kazijenga na majina ya nyumba ni ya mume wake.

Ila yule mama alisema alichangia kwenye ujenzi wa zile nyumba kiasi kikubwa tuu. Na yule mama Anakazi yake kabisa.

Ila ishu ni kwamba inawezekana kipindi anamchangia mume wake kuzijenga zile nyumba hakuweka ushahidi, na ndio yeye sababu ya kukosa nyumba hata moja, akatoka empty.

Ndoa nyingi ndivyo zilivyo mama anachangia mali bila kuweka ushaidi. Na hicho baadae kinawahumiza sana wanawake. Utakuta nyumba moja kila kitu ni Gharama yake ni million labda let's say 80. Ukute mama alichangia 25 million out of 80 million.
Ila ushahidi hana. Jina la nyumba ni la mume.

Sasa unafikili mama huyo atajiteteaje. Akija mtoto wa nje wanagawana sawa sawa na wa ndani , lakini kumbuka kuna jasho la mama ya ndani, hapo ndipo wanawake wengi wanapata maumivu bro. Usiseme ni roho mbaya kaka.

Na ndo maana wanawake wa siku hizi hawashirikiani mali z waume zao wakitaka kushilikiana basi anawambia amwandike na yeye kuwa kashiriki.
Wa mama wemgi siku hizi wanatafuta mali zao.

NYIE MNAONGEA COZ NYIE SIO WANAWAKE.
INGEKUWA INAWATOKEA HII UNGEJISIKIAJE , MNAONGEA HIVYO COZ NI ME.
Ilitumika sheria gani kumnyima huyo mama % yake kwenye hizo nyumba mbili? Wote tumesoma sheria ngumu kukosa vyote kisa ushahidi tu. Kuishi nae kindoa ni ushahidi tosha
 
Hapa tatizo sio kuzaa nje, tatizo ni busara iliyotumika kugawa mali.

Busara isipotumika kwenye kugawa urithi hayo huwa yanatokea hata bila kuwa na watoto wa nje.
Fafanua kidogo boss busara gani inaitajika
 
Watumishi wa serikali ndio wanaongoza kwa kuzaa nje ya ndoa etii.??
 
Hivi umesoma vizuri alivyoeleza ujaona kifo hapo cha mama huyo.

Fikilia watoto wa kaka yako kabisa wa baba mmoja na mama mmoja, wanawasusa na kuwasahamu kwa kitendo kilichotokea kwa mama yao.
Utajisikiaje?

Kwa hio unaona ni sawa tuu.
Hayo ndo madhara yenyewe ujayaona mkuu

Sasa binadamu akiamua yeye mwenyewe, kukata mawasiliano na kwenda kuishi mbali wewe unaumia na nini sasa? Au kuna mtu anaishi kwa niaba ya wengine?
 
Habari za weekend,

Jana kuna dogo wangu mmoja alikuwa wanaongea na mzee na mimi nilikuwepo home alikuwa anawaambia madhara ya kuzaa nje ya ndoa yanayoweza kujitokeza baadae.

Alitoa kisa kimoja hivi cha kweli kabisa.

Ilikuwa hivi.

Kulikuwa na Baba mmoja alizaa na mkewe watoto 3, wakike 2 na wakiume 1, watoto asilimia kubwa walifanana na mama yao.

Mzee alisema kuwa walikuwa wanapenda na kwenye ile familia tena sana.

Mtoto wake wa kwanza kwenye ile familia aliolewa na mzungu wa USA. Na wa pili ambaye ni binti pia alikuwa anasoma USA. Ila wa mwisho ni wakiume alikuwa hapa bongo.

Yule Baba alikuja kuugua kisukari ambapo ilimpeleka mpaka kufariki. Siku ya msiba alikuja mdada mmoja ana watoto 2 wakiume wamefanana sana na Baba. Mmoja kama miaka mitano hivi na mdogo wake.

Watu ndiyo wakajua kumbe Baba alikuwa na nyumba mbili. Japo watoto wa nje walipishana umri mkuwa tuu na watoto wa ndani ya ndoa.

Mama wa ndoa alishituka sana lile tukio na watoto wake. Kumbe Mume wake alishawatambulisha watoto kwa baadhi ya ndugu.

Baada ya msimba. Kwenye mgawanyo wa mali walisema hizi mali ni za kaka yetu na hawa watapata , waliogombana mapaka mahakamani ila ilishindikana walimwambia tuu mama kwa sababu watoto walitambulishwa. Walikuwa na nyumba kadhaa na mali zingine.

Waligawa sawa na tuu na wengine. Kitendo kile kilimpelekea mama kupata msongo wa mawazo mpaka kufariki. Ile ishu iliwaumiza sana watoto wake wakaamua kumzika tuu mama yao.

Mwishowe wale watoto waliuza mali zote za Baba yao wakamchukua mdogo wao wa kiume na kwenda nae USA.

Mpaka leo wapo USA na hawana mawasiliano na familia yao upande wa baba tangu waondoke.

Na yule binti baada ya kuchukua mali alikata mawasiliano na ndugu wa Yule Baba aliyezaa nae.

Alichukua nyumba moja, mwishowe aliolewa na mume wake alimwambia kuwa anataka watoto wadogo wawe wake kwa hio wabadili jina la mwisho la watoto wawili.

Aliishi kwenye nyumba ya yule Baba aliyopewa na mume mpya.

Ni ishu ya kweli yani ndugu wale mzee alisema walijilaumu sana baadae.

JAMANI WANAUME TUACHE KUZAA NJE YA NDOA , KAMA IMETOKEA BASI KUWA MAKINI MADHARA BAADAE YASIJITOKEZE.
MI NI HAYO TUU FRIENDS.
Tatizo ni kuiga uzungu, ndoa siyo utamaduni wa mwafrika, umeletwa na wahuni. Mwafrica kazi yake ni kuijaza dunia. Kosa alilofanya huyo mzee ni kuficha damu yake. Alipaswa awatambukishe watoto wake mapema ili familia yake itambue ndugu zao.
 
Habari za weekend,

Jana kuna dogo wangu mmoja alikuwa wanaongea na mzee na mimi nilikuwepo home alikuwa anawaambia madhara ya kuzaa nje ya ndoa yanayoweza kujitokeza baadae.

Alitoa kisa kimoja hivi cha kweli kabisa.

Ilikuwa hivi.

Kulikuwa na Baba mmoja alizaa na mkewe watoto 3, wakike 2 na wakiume 1, watoto asilimia kubwa walifanana na mama yao.

Mzee alisema kuwa walikuwa wanapenda na kwenye ile familia tena sana.

Mtoto wake wa kwanza kwenye ile familia aliolewa na mzungu wa USA. Na wa pili ambaye ni binti pia alikuwa anasoma USA. Ila wa mwisho ni wakiume alikuwa hapa bongo.

Yule Baba alikuja kuugua kisukari ambapo ilimpeleka mpaka kufariki. Siku ya msiba alikuja mdada mmoja ana watoto 2 wakiume wamefanana sana na Baba. Mmoja kama miaka mitano hivi na mdogo wake.

Watu ndiyo wakajua kumbe Baba alikuwa na nyumba mbili. Japo watoto wa nje walipishana umri mkuwa tuu na watoto wa ndani ya ndoa.

Mama wa ndoa alishituka sana lile tukio na watoto wake. Kumbe Mume wake alishawatambulisha watoto kwa baadhi ya ndugu.

Baada ya msimba. Kwenye mgawanyo wa mali walisema hizi mali ni za kaka yetu na hawa watapata , waliogombana mapaka mahakamani ila ilishindikana walimwambia tuu mama kwa sababu watoto walitambulishwa. Walikuwa na nyumba kadhaa na mali zingine.

Waligawa sawa na tuu na wengine. Kitendo kile kilimpelekea mama kupata msongo wa mawazo mpaka kufariki. Ile ishu iliwaumiza sana watoto wake wakaamua kumzika tuu mama yao.

Mwishowe wale watoto waliuza mali zote za Baba yao wakamchukua mdogo wao wa kiume na kwenda nae USA.

Mpaka leo wapo USA na hawana mawasiliano na familia yao upande wa baba tangu waondoke.

Na yule binti baada ya kuchukua mali alikata mawasiliano na ndugu wa Yule Baba aliyezaa nae.

Alichukua nyumba moja, mwishowe aliolewa na mume wake alimwambia kuwa anataka watoto wadogo wawe wake kwa hio wabadili jina la mwisho la watoto wawili.

Aliishi kwenye nyumba ya yule Baba aliyopewa na mume mpya.

Ni ishu ya kweli yani ndugu wale mzee alisema walijilaumu sana baadae.

JAMANI WANAUME TUACHE KUZAA NJE YA NDOA , KAMA IMETOKEA BASI KUWA MAKINI MADHARA BAADAE YASIJITOKEZE.
MI NI HAYO TUU FRIENDS.
Migogoro kuhusu mali za marehemu au mirathi inatokea hata kwa watoto waliozaliwa ndani ya ndoa, yaani wa Baba na Mama mmoja
 
Habari za weekend,

Jana kuna dogo wangu mmoja alikuwa wanaongea na mzee na mimi nilikuwepo home alikuwa anawaambia madhara ya kuzaa nje ya ndoa yanayoweza kujitokeza baadae.

Alitoa kisa kimoja hivi cha kweli kabisa.

Ilikuwa hivi.

Kulikuwa na Baba mmoja alizaa na mkewe watoto 3, wakike 2 na wakiume 1, watoto asilimia kubwa walifanana na mama yao.

Mzee alisema kuwa walikuwa wanapenda na kwenye ile familia tena sana.

Mtoto wake wa kwanza kwenye ile familia aliolewa na mzungu wa USA. Na wa pili ambaye ni binti pia alikuwa anasoma USA. Ila wa mwisho ni wakiume alikuwa hapa bongo.

Yule Baba alikuja kuugua kisukari ambapo ilimpeleka mpaka kufariki. Siku ya msiba alikuja mdada mmoja ana watoto 2 wakiume wamefanana sana na Baba. Mmoja kama miaka mitano hivi na mdogo wake.

Watu ndiyo wakajua kumbe Baba alikuwa na nyumba mbili. Japo watoto wa nje walipishana umri mkuwa tuu na watoto wa ndani ya ndoa.

Mama wa ndoa alishituka sana lile tukio na watoto wake. Kumbe Mume wake alishawatambulisha watoto kwa baadhi ya ndugu.

Baada ya msimba. Kwenye mgawanyo wa mali walisema hizi mali ni za kaka yetu na hawa watapata , waliogombana mapaka mahakamani ila ilishindikana walimwambia tuu mama kwa sababu watoto walitambulishwa. Walikuwa na nyumba kadhaa na mali zingine.

Waligawa sawa na tuu na wengine. Kitendo kile kilimpelekea mama kupata msongo wa mawazo mpaka kufariki. Ile ishu iliwaumiza sana watoto wake wakaamua kumzika tuu mama yao.

Mwishowe wale watoto waliuza mali zote za Baba yao wakamchukua mdogo wao wa kiume na kwenda nae USA.

Mpaka leo wapo USA na hawana mawasiliano na familia yao upande wa baba tangu waondoke.

Na yule binti baada ya kuchukua mali alikata mawasiliano na ndugu wa Yule Baba aliyezaa nae.

Alichukua nyumba moja, mwishowe aliolewa na mume wake alimwambia kuwa anataka watoto wadogo wawe wake kwa hio wabadili jina la mwisho la watoto wawili.

Aliishi kwenye nyumba ya yule Baba aliyopewa na mume mpya.

Ni ishu ya kweli yani ndugu wale mzee alisema walijilaumu sana baadae.

JAMANI WANAUME TUACHE KUZAA NJE YA NDOA , KAMA IMETOKEA BASI KUWA MAKINI MADHARA BAADAE YASIJITOKEZE.
MI NI HAYO TUU FRIENDS.
Mmmmh hii tabu sana
 
Walisomeshwa na kuandaliwa mazingira vizuri, hawana muda na mali za baba wala nini. Shida ukute wote misheni town amna mchongo wa maana mnategemea kodi alafu na nyie mnaishi humohumo na wake zenuu....apa maji lazima yazidi unga
 
Kuna mzee mmoja ni tajiri tu. Anajiweza, magorofa kadhaa mji huo anapoishi na familia yake. Ni mfanyabishara mkubwa tu, ana wake wengi tu. Sasa hata watoto wake anaishi nao na hata kwenye hizo biashara utawakuta wote, wa mama yule mweusiiiii na wale wengine rangi ya mtume. Hapa nilishangaa sana na binafsi mbaka leo nashangaa.
 
Back
Top Bottom