Madhara ya kuzaa nje: Familia inajuta mpaka leo kwa uamuzi walioufanya kwenye urithi wa kaka yao. So sad

Madhara ya kuzaa nje: Familia inajuta mpaka leo kwa uamuzi walioufanya kwenye urithi wa kaka yao. So sad

Ni kuweka wazi, by the way watoto wanapaswa kuwa waelewa tu! Wagawane kdg then waendelee kutafuta zao.
 
Msongo wa mawazo wa Nini na vitu vya kupita hivi uchoyo, ubinafsi ndivyo vyatutesa wanawake.

Tena mnagawana siyo Kwamba wanachukua vyote. Jamani maisha haya siyo magumu kiasi hicho.

Kila kitu ni ubatili mtupu na hakuna tutakachozikwa nacho....aisee[emoji119]
Wanawake ni WABINAFSI by nature
 
Habari za weekend,

Jana kuna dogo wangu mmoja alikuwa wanaongea na mzee na mimi nilikuwepo home alikuwa anawaambia madhara ya kuzaa nje ya ndoa yanayoweza kujitokeza baadae.

Alitoa kisa kimoja hivi cha kweli kabisa.

Ilikuwa hivi.

Kulikuwa na Baba mmoja alizaa na mkewe watoto 3, wakike 2 na wakiume 1, watoto asilimia kubwa walifanana na mama yao.

Mzee alisema kuwa walikuwa wanapenda na kwenye ile familia tena sana.

Mtoto wake wa kwanza kwenye ile familia aliolewa na mzungu wa USA. Na wa pili ambaye ni binti pia alikuwa anasoma USA. Ila wa mwisho ni wakiume alikuwa hapa bongo.

Yule Baba alikuja kuugua kisukari ambapo ilimpeleka mpaka kufariki. Siku ya msiba alikuja mdada mmoja ana watoto 2 wakiume wamefanana sana na Baba. Mmoja kama miaka mitano hivi na mdogo wake.

Watu ndiyo wakajua kumbe Baba alikuwa na nyumba mbili. Japo watoto wa nje walipishana umri mkuwa tuu na watoto wa ndani ya ndoa.

Mama wa ndoa alishituka sana lile tukio na watoto wake. Kumbe Mume wake alishawatambulisha watoto kwa baadhi ya ndugu.

Baada ya msimba. Kwenye mgawanyo wa mali walisema hizi mali ni za kaka yetu na hawa watapata , waliogombana mapaka mahakamani ila ilishindikana walimwambia tuu mama kwa sababu watoto walitambulishwa. Walikuwa na nyumba kadhaa na mali zingine.

Waligawa sawa na tuu na wengine. Kitendo kile kilimpelekea mama kupata msongo wa mawazo mpaka kufariki. Ile ishu iliwaumiza sana watoto wake wakaamua kumzika tuu mama yao.

Mwishowe wale watoto waliuza mali zote za Baba yao wakamchukua mdogo wao wa kiume na kwenda nae USA.

Mpaka leo wapo USA na hawana mawasiliano na familia yao upande wa baba tangu waondoke.

Na yule binti baada ya kuchukua mali alikata mawasiliano na ndugu wa Yule Baba aliyezaa nae.

Alichukua nyumba moja, mwishowe aliolewa na mume wake alimwambia kuwa anataka watoto wadogo wawe wake kwa hio wabadili jina la mwisho la watoto wawili.

Aliishi kwenye nyumba ya yule Baba aliyopewa na mume mpya.

Ni ishu ya kweli yani ndugu wale mzee alisema walijilaumu sana baadae.

JAMANI WANAUME TUACHE KUZAA NJE YA NDOA , KAMA IMETOKEA BASI KUWA MAKINI MADHARA BAADAE YASIJITOKEZE.
MI NI HAYO TUU FRIENDS.
Acha kutisha watu mnaendeshwa na properties Marehu aliacha MKE, watoto kadhaa na wajukuu kadhaa sijawahi Sikia wakisa ameacha majumba magari ... Wale watoto wataendeleza ukoo bilamkujali Wana chochote . Uzuri ninkuwa tulivyovichuma duniani ni vya hapa hpa na Kwa matumizi ya hapa tu duniani
 
Acha kutisha watu mnaendeshwa na properties Marehu aliacha MKE, watoto kadhaa na wajukuu kadhaa sijawahi Sikia wakisa ameacha majumba magari ... Wale watoto wataendeleza ukoo bilamkujali Wana chochote . Uzuri ninkuwa tulivyovichuma duniani ni vya hapa hpa na Kwa matumizi ya hapa tu duniani
Ni kweli tunaviacha hapa duniani. Wengine unakuta ni vingi mno, wenye tamaa hata wasio wahusika na wao wanajichomeka humohumo wapate kitu
 
Habari za weekend,

Jana kuna dogo wangu mmoja alikuwa wanaongea na mzee na mimi nilikuwepo home alikuwa anawaambia madhara ya kuzaa nje ya ndoa yanayoweza kujitokeza baadae.

Alitoa kisa kimoja hivi cha kweli kabisa.

Ilikuwa hivi.

Kulikuwa na Baba mmoja alizaa na mkewe watoto 3, wakike 2 na wakiume 1, watoto asilimia kubwa walifanana na mama yao.

Mzee alisema kuwa walikuwa wanapenda na kwenye ile familia tena sana.

Mtoto wake wa kwanza kwenye ile familia aliolewa na mzungu wa USA. Na wa pili ambaye ni binti pia alikuwa anasoma USA. Ila wa mwisho ni wakiume alikuwa hapa bongo.

Yule Baba alikuja kuugua kisukari ambapo ilimpeleka mpaka kufariki. Siku ya msiba alikuja mdada mmoja ana watoto 2 wakiume wamefanana sana na Baba. Mmoja kama miaka mitano hivi na mdogo wake.

Watu ndiyo wakajua kumbe Baba alikuwa na nyumba mbili. Japo watoto wa nje walipishana umri mkuwa tuu na watoto wa ndani ya ndoa.

Mama wa ndoa alishituka sana lile tukio na watoto wake. Kumbe Mume wake alishawatambulisha watoto kwa baadhi ya ndugu.

Baada ya msimba. Kwenye mgawanyo wa mali walisema hizi mali ni za kaka yetu na hawa watapata , waliogombana mapaka mahakamani ila ilishindikana walimwambia tuu mama kwa sababu watoto walitambulishwa. Walikuwa na nyumba kadhaa na mali zingine.

Waligawa sawa na tuu na wengine. Kitendo kile kilimpelekea mama kupata msongo wa mawazo mpaka kufariki. Ile ishu iliwaumiza sana watoto wake wakaamua kumzika tuu mama yao.

Mwishowe wale watoto waliuza mali zote za Baba yao wakamchukua mdogo wao wa kiume na kwenda nae USA.

Mpaka leo wapo USA na hawana mawasiliano na familia yao upande wa baba tangu waondoke.

Na yule binti baada ya kuchukua mali alikata mawasiliano na ndugu wa Yule Baba aliyezaa nae.

Alichukua nyumba moja, mwishowe aliolewa na mume wake alimwambia kuwa anataka watoto wadogo wawe wake kwa hio wabadili jina la mwisho la watoto wawili.

Aliishi kwenye nyumba ya yule Baba aliyopewa na mume mpya.

Ni ishu ya kweli yani ndugu wale mzee alisema walijilaumu sana baadae.

JAMANI WANAUME TUACHE KUZAA NJE YA NDOA , KAMA IMETOKEA BASI KUWA MAKINI MADHARA BAADAE YASIJITOKEZE.
MI NI HAYO TUU FRIENDS.
KATAA NDOA......
 
Sasa na yeye anakufaje kizembe
Hivi umesoma vizuri alivyoeleza ujaona kifo hapo cha mama huyo.

Fikilia watoto wa kaka yako kabisa wa baba mmoja na mama mmoja, wanawasusa na kuwasahamu kwa kitendo kilichotokea kwa mama yao.
Utajisikiaje?

Kwa hio unaona ni sawa tuu.
Hayo ndo madhara yenyewe ujayaona mkuu
Msongo wa maawazo wa kujitakia, ni hizo mali ama ni nini? Kwani watoto waliozaliwa wana makosa gani. Huo ni ubinafsi.
 
Msongo wa mawazo wa Nini na vitu vya kupita hivi uchoyo, ubinafsi ndivyo vyatutesa wanawake.

Tena mnagawana siyo Kwamba wanachukua vyote. Jamani maisha haya siyo magumu kiasi hicho.

Kila kitu ni ubatili mtupu na hakuna tutakachozikwa nacho....aisee🙌
matumizi mabaya msongo
usishikamane sana na vitu tumeyakuta tena tukuja uchi
 
Inaumiza,mmepambanaa weweee mmeejinyimaa wee,mshua anadodoka danga tu anakujaa takaa mgaoo na wanaee bila jashoo. Si aletee na zakee tugawaneeee!
kumbuka naye alikuwa akijibana na huyo mshua wenu, naye alitongozwa kama huyo mama yenu
 
Hivi umesoma vizuri alivyoeleza ujaona kifo hapo cha mama huyo.

Fikilia watoto wa kaka yako kabisa wa baba mmoja na mama mmoja, wanawasusa na kuwasahamu kwa kitendo kilichotokea kwa mama yao.
Utajisikiaje?

Kwa hio unaona ni sawa tuu.
Hayo ndo madhara yenyewe ujayaona mkuu
Mama alikufa kwa roho yake mbaya akitaka mjane mwenzake ateseke na watoto wadogo bila pa kuanzia. Mumewe akifanya kuncheat sasa kwanini watoto ambao katika kucheat hawakushirikishwa wakazaliwa wateseke kisa baba aliyecheat kafa.
Tujifunze kusamehe na kusonga mbele. Alikufa kwa sababu ya kutosamehe
 
Habari za weekend,

Jana kuna dogo wangu mmoja alikuwa wanaongea na mzee na mimi nilikuwepo home alikuwa anawaambia madhara ya kuzaa nje ya ndoa yanayoweza kujitokeza baadae.

Alitoa kisa kimoja hivi cha kweli kabisa.

Ilikuwa hivi.

Kulikuwa na Baba mmoja alizaa na mkewe watoto 3, wakike 2 na wakiume 1, watoto asilimia kubwa walifanana na mama yao.

Mzee alisema kuwa walikuwa wanapenda na kwenye ile familia tena sana.

Mtoto wake wa kwanza kwenye ile familia aliolewa na mzungu wa USA. Na wa pili ambaye ni binti pia alikuwa anasoma USA. Ila wa mwisho ni wakiume alikuwa hapa bongo.

Yule Baba alikuja kuugua kisukari ambapo ilimpeleka mpaka kufariki. Siku ya msiba alikuja mdada mmoja ana watoto 2 wakiume wamefanana sana na Baba. Mmoja kama miaka mitano hivi na mdogo wake.

Watu ndiyo wakajua kumbe Baba alikuwa na nyumba mbili. Japo watoto wa nje walipishana umri mkuwa tuu na watoto wa ndani ya ndoa.

Mama wa ndoa alishituka sana lile tukio na watoto wake. Kumbe Mume wake alishawatambulisha watoto kwa baadhi ya ndugu.

Baada ya msimba. Kwenye mgawanyo wa mali walisema hizi mali ni za kaka yetu na hawa watapata , waliogombana mapaka mahakamani ila ilishindikana walimwambia tuu mama kwa sababu watoto walitambulishwa. Walikuwa na nyumba kadhaa na mali zingine.

Waligawa sawa na tuu na wengine. Kitendo kile kilimpelekea mama kupata msongo wa mawazo mpaka kufariki. Ile ishu iliwaumiza sana watoto wake wakaamua kumzika tuu mama yao.

Mwishowe wale watoto waliuza mali zote za Baba yao wakamchukua mdogo wao wa kiume na kwenda nae USA.

Mpaka leo wapo USA na hawana mawasiliano na familia yao upande wa baba tangu waondoke.

Na yule binti baada ya kuchukua mali alikata mawasiliano na ndugu wa Yule Baba aliyezaa nae.

Alichukua nyumba moja, mwishowe aliolewa na mume wake alimwambia kuwa anataka watoto wadogo wawe wake kwa hio wabadili jina la mwisho la watoto wawili.

Aliishi kwenye nyumba ya yule Baba aliyopewa na mume mpya.

Ni ishu ya kweli yani ndugu wale mzee alisema walijilaumu sana baadae.

JAMANI WANAUME TUACHE KUZAA NJE YA NDOA , KAMA IMETOKEA BASI KUWA MAKINI MADHARA BAADAE YASIJITOKEZE.
MI NI HAYO TUU FRIENDS.
Hapo tatizo sio kuzaa nje ya ndoa,zingatia hili.Tatizo ni maamuzi yaliyofanywa na ndugu na mahakama.
Wanaume zaeni kadiri muwezavyo ila weka mipango sawa kabla haujarudi mavumbini.
 
Wanawake Wana tamaa mno na Mali za mwanaume utadhani Kama ndio hewa ama maji kuwa watakufa.
Sasa watoto wote ni wangu why wasipate. Suala la kuwasiliana na ndugu kwani mnaoishi nao hamuongei ama mnataka na huyo aje kuongeza kesi na shida, Mana nyie tu hapo nyumbani mnagombana , acha watu wakale nyasi wakiishi maisha yao wanapoona ni sahihi kwao.
 
Habari za weekend,

Jana kuna dogo wangu mmoja alikuwa wanaongea na mzee na mimi nilikuwepo home alikuwa anawaambia madhara ya kuzaa nje ya ndoa yanayoweza kujitokeza baadae.

Alitoa kisa kimoja hivi cha kweli kabisa.

Ilikuwa hivi.

Kulikuwa na Baba mmoja alizaa na mkewe watoto 3, wakike 2 na wakiume 1, watoto asilimia kubwa walifanana na mama yao.

Mzee alisema kuwa walikuwa wanapenda na kwenye ile familia tena sana.

Mtoto wake wa kwanza kwenye ile familia aliolewa na mzungu wa USA. Na wa pili ambaye ni binti pia alikuwa anasoma USA. Ila wa mwisho ni wakiume alikuwa hapa bongo.

Yule Baba alikuja kuugua kisukari ambapo ilimpeleka mpaka kufariki. Siku ya msiba alikuja mdada mmoja ana watoto 2 wakiume wamefanana sana na Baba. Mmoja kama miaka mitano hivi na mdogo wake.

Watu ndiyo wakajua kumbe Baba alikuwa na nyumba mbili. Japo watoto wa nje walipishana umri mkuwa tuu na watoto wa ndani ya ndoa.

Mama wa ndoa alishituka sana lile tukio na watoto wake. Kumbe Mume wake alishawatambulisha watoto kwa baadhi ya ndugu.

Baada ya msimba. Kwenye mgawanyo wa mali walisema hizi mali ni za kaka yetu na hawa watapata , waliogombana mapaka mahakamani ila ilishindikana walimwambia tuu mama kwa sababu watoto walitambulishwa. Walikuwa na nyumba kadhaa na mali zingine.

Waligawa sawa na tuu na wengine. Kitendo kile kilimpelekea mama kupata msongo wa mawazo mpaka kufariki. Ile ishu iliwaumiza sana watoto wake wakaamua kumzika tuu mama yao.

Mwishowe wale watoto waliuza mali zote za Baba yao wakamchukua mdogo wao wa kiume na kwenda nae USA.

Mpaka leo wapo USA na hawana mawasiliano na familia yao upande wa baba tangu waondoke.

Na yule binti baada ya kuchukua mali alikata mawasiliano na ndugu wa Yule Baba aliyezaa nae.

Alichukua nyumba moja, mwishowe aliolewa na mume wake alimwambia kuwa anataka watoto wadogo wawe wake kwa hio wabadili jina la mwisho la watoto wawili.

Aliishi kwenye nyumba ya yule Baba aliyopewa na mume mpya.

Ni ishu ya kweli yani ndugu wale mzee alisema walijilaumu sana baadae.

JAMANI WANAUME TUACHE KUZAA NJE YA NDOA , KAMA IMETOKEA BASI KUWA MAKINI MADHARA BAADAE YASIJITOKEZE.
MI NI HAYO TUU FRIENDS.
Luka12:13 Mtu mmoja katika mkutano akamwambia, Mwalimu, mwambie ndugu yangu anigawie urithi wetu.
14 Akamwambia, Mtu wewe, ni nani aliyeniweka mimi kuwa mwamuzi au mgawanyi juu yenu?
15 Akawaambia, Angalieni, jilindeni na choyo, maana uzima wa mtu haumo katika wingi wa vitu vyake alivyo navyo.
16 Akawaambia mithali, akisema, Shamba la mtu mmoja tajiri lilikuwa limezaa sana;
17 akaanza kuwaza moyoni mwake, akisema, Nifanyeje? Maana sina pa kuyaweka akiba mavuno yangu.
18 Akasema, Nitafanya hivi; nitazivunja ghala zangu, nijenge nyingine kubwa zaidi, na humo nitaweka nafaka yangu yote na vitu vyangu.
19 Kisha, nitajiambia, Ee nafsi yangu, una vitu vyema vingi ulivyojiwekea akiba kwa miaka mingi; pumzika basi, ule, unywe, ufurahi.
20 Lakini Mungu akamwambia, Mpumbavu wewe, usiku huu wa leo wanataka roho yako! Na vitu ulivyojiwekea tayari vitakuwa vya nani?
21 Ndivyo alivyo mtu ajiwekeaye nafsi yake akiba, asijitajirishe kwa Mungu.
22 Akawaambia wanafunzi wake, Kwa sababu hiyo nawaambia, Msisumbukie maisha yenu, mtakula nini; wala miili yenu, mtavaa nini.
23 Kwa kuwa maisha ni zaidi ya chakula, na mwili ni zaidi ya mavazi.
24 Watafakarini kunguru, ya kwamba hawapandi wala hawavuni; hawana ghala wala uchaga, na Mungu huwalisha. Bora ninyi mara nyingi kuliko ndege!
25 Na yupi kwenu ambaye akijisumbua aweza kujiongeza kimo chake hata mkono mmoja?
26 Basi, ikiwa hamwezi hata neno lililo dogo, kwa nini kujisumbua kwa ajili ya yale mengine?
27 Yatafakarini maua jinsi yameavyo; hayatendi kazi wala hayasokoti; nami nawaambia ya kwamba hata Sulemani katika fahari yake yote hakuvikwa vizuri kama mojawapo la hayo.
28 Basi, ikiwa Mungu huvika hivi majani ya kondeni, yaliyopo leo na kesho hutupwa kalibuni, je! Hatawatendea ninyi zaidi, enyi wa imani haba?
29 Ninyi msitafute mtakavyokula wala mtakavyokunywa; wala msifanye wasiwasi,
30 kwa maana, hayo yote ndiyo watafutayo mataifa ya duniani, lakini Baba yenu anajua ya kuwa mna haja na hayo.
 
Kwahiyo ulitaka ndugu wamkatalie ndugu yao kuwatambulisha watoto wake kwao? Hata hivyo kilichotokea imetokea tu hii haina maana watoto wote waliozaliwa nje ya ndoa au huyo mama yao wapo hivyo.
 
Sisi kwetu, msiba wa baba 10 years back..Kuna watoto wa nje walikua wanajulikana kabisa na mwingine kaishi kwa bibi mzaa baba..LKN kwenye mirathi ukoo uliwakataa wote - bila kupepesa macho - ukoo ulisema haujawahi tambulishwa rasmi - unawaona wanaishi nao tu..ile pin ilikua hatari sana. Kumbuka mmoja alikua mkubwa kutuzidi wote, mwingine rika letu - anamzidi mdogo wetu wa mwisho...
Hawakuambulia hata 1000 - wale wazee walikataa katakata
 
Kuzaa nje ya ndoa kwa mwanaume HAINA MADHARA YOYOTE! BARAKA TUPU NA KAMA MWANAUME MSHUKURU MWENYEZI MUNGU!
 
Back
Top Bottom