Madhara ya sera mbovu za awamu ya tano zimeanza kuonekana awamu hii

Madhara ya sera mbovu za awamu ya tano zimeanza kuonekana awamu hii

Kipindi Cha Magufuli shule binafsi zilipata kibano sana na nyingi zilifunga biashara kwa kuwekewa mikodi kibao na wazazi wengi kuondoa watato wao kwa sababu ya vyuma kukaza kila kukicha mana watu walikuwa wanapoteza kazi daily kwenye sector binafsi. Sector binafsi ilikufa kabisa mfano mabank mengi yalifungwa, bereau de change nyingi zingafungwa, makampuni kibao yakafungasha virago.

Zamani graduates walikuwa proud na shule binafsi mana zilikuwa zinalipa sana na zipo nyingi. Mpaka watu hawakuwa interested kwenda serikalini kabisa. Sasa kila ukienda kuomba kazi kwenye shule binafsi ama hawataki kabisa kuajiri au waliopo wanatosha.

Jpm was a disaster in our country. Sasa hivi graduates wanatangata ga tu hasa walimu kwa consequences za Magufuli.
Kipindi Cha JK hakuna mwalimu aliyekosa kazi Aliacha kwenda serikalini basi private zipo tena zinalipa sana.
Sera gani hiyo? Sheria gani hiyo?

Unaposema effects za sera, tunategema ukaweka sheria iliyowekwa na Bunge(muswada) ama uweke Tangazo la Raisi lilopeleka hali hii kuwa mbaya.

...zaidi ya hapo hizi ni porojo tu, ukienda kwenye uzi wa Maranja Masese ni haya haya, ukienda kwenye uzi wa "Utamkumbuka vipi Magufuli" ni haya haya yaani porojo za "cause and effect"

.... ukitaka kuonyesha Cause and effect ni muhimu kama sio lazima kutaja hizo specific policies. Kwenye huu Uzi hakuna.

Itoshe, unatuambia pamoja na kwamba mtu kesha kufa na kuzikwa, huyu Raisi tuliyenaye hana analolifanya. Kwamba hana sera, kwamba tunadanganywa na kila Mtu, mpaka Lucas mwashambwa anadanganya kwamba mambo ni mazuri mtaani.
 
JPM Chuma bado ananyoosha nchi hata akiwa mbinguni, Mwaka wa tatu huu nchi inaongozwa na 4R ila hakuna R hata moja iliyofanikiwa kufuta kivuli cha Chuma, Pumzika Pema mwamba.
Ni ngumu sana kufuta kivuli cha yule MWOVU Jiwe kwa jinsi alivyoharibu nchi na mifumo yako.
Yule jamaa alikuwa hovyo sana...
 
Back
Top Bottom