Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Mfumo unaowanufaisha hawataachana nao kamwe even if ths nation criesTatizo siyo JPM tatizo ni mfumo mbovu, nchi inaendeshwa kwa mawazo ya mtu mmoja na siyo katiba, sheria, taratibu na kanuni. Tanzania tunaishi kwa hisani ya Rais
Wananufaika wachache snMfumo unaowanufaisha hawataachana nao kamwe even if ths nation cries
Sera gani hiyo? Sheria gani hiyo?Kipindi Cha Magufuli shule binafsi zilipata kibano sana na nyingi zilifunga biashara kwa kuwekewa mikodi kibao na wazazi wengi kuondoa watato wao kwa sababu ya vyuma kukaza kila kukicha mana watu walikuwa wanapoteza kazi daily kwenye sector binafsi. Sector binafsi ilikufa kabisa mfano mabank mengi yalifungwa, bereau de change nyingi zingafungwa, makampuni kibao yakafungasha virago.
Zamani graduates walikuwa proud na shule binafsi mana zilikuwa zinalipa sana na zipo nyingi. Mpaka watu hawakuwa interested kwenda serikalini kabisa. Sasa kila ukienda kuomba kazi kwenye shule binafsi ama hawataki kabisa kuajiri au waliopo wanatosha.
Jpm was a disaster in our country. Sasa hivi graduates wanatangata ga tu hasa walimu kwa consequences za Magufuli.
Kipindi Cha JK hakuna mwalimu aliyekosa kazi Aliacha kwenda serikalini basi private zipo tena zinalipa sana.
Mambo ya hovyo snn
uko sahihi sana katika hili Ndugu ππ
hii nchi, bunge, jeshi, mahakama, Mawaziri wote hawana kazi zaidi ya kutekeleza asemalo Rais...ndo maana kila Rais anakuja na lake....Mambo ya hovyo sn
Hatari sn kuishi kwa utaishi wa mtuhii nchi, bunge, jeshi, mahakama, Mawaziri wote hawana kazi zaidi ya kutekeleza asemalo Rais...ndo maana kila Rais anakuja na lake....
Umeongea point sanaTatizo siyo JPM tatizo ni mfumo mbovu, nchi inaendeshwa kwa mawazo ya mtu mmoja na siyo katiba, sheria, taratibu na kanuni. Tanzania tunaishi kwa hisani ya Rais
Mpole mpole, watajirudi wote.Umeongea point sana
Mbege ya Leo imekupenda
Ni ngumu sana kufuta kivuli cha yule MWOVU Jiwe kwa jinsi alivyoharibu nchi na mifumo yako.JPM Chuma bado ananyoosha nchi hata akiwa mbinguni, Mwaka wa tatu huu nchi inaongozwa na 4R ila hakuna R hata moja iliyofanikiwa kufuta kivuli cha Chuma, Pumzika Pema mwamba.
Acha ujinga wakoUmeongea point sana
Mbege ya Leo imekupenda