Madhara ya unywaji wa soda kwenye afya ya Binadamu

Bora mie nnekunywa soda tu, kuna wengine pamoja na soda bado wanavuta sigara, shisha, bangi, wanakunywa viroba, gongo, bia nk na still wanangonoka ovyo
 
Nyie endeleeni tu kudanganyana sie twanywa... miaka yote tangu zimeanza kutengenezwa nani umewahi kusikia amekufa sababu ya soda ?
wengi tu, ila uezi ambiwa amekufa sababu kanywa soda, utaambiwa amekufa kutokana na madhara ya soda mfano kisukari (diabetes) na madhara mengine mengi pia
 
wengi tu, ila uezi ambiwa amekufa sababu kanywa soda, utaambiwa amekufa kutokana na madhara ya soda mfano kisukari (diabetes) na madhara mengine mengi pia
nani kakwambia soda inasababisha kisukari.? fatilieni vitu basi sio kutujazia story zenu za darasa la pili humu
 
Waafrica upenda story za ujinga. Soda inanyweka duniani kote na hakuna aliekufa kwa kunywa soda. Dawa ya uhai ni mazoezi
 
Tunachoshindwa kujua ni kwamba mwili una natural mechanisms ya kueliminate sumu zote zinazoingia haswa zile ambazo zinaweza kuchangamana na maji (soluble). Tatizo hutokea pale ambako rate ya intake inakuwa kubwa zaidi ya elimination. Tafiti hii ingeweka wazi ni kwa kiwango gani (ujazo) kinaweza kutrigger madhara NA si cuconclude kwamba soda zisitumike pia remind you level ya sugar hata ingredients zingine hutofautiana kutika aina moja ya soda kwenda nyingine..
 
Unaona sasa ulivyo na akili za kitoto, ndo maana mada za akili kubwa zinakushinda [emoji23] [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...avatar yangu ni Kitabu...kitafute mkuu ukipata muda usome..ila nakupa angalizo kama moyo haujaridhia bas uskitafute ila kama moyo umeridhia kitafute usome..
Angalizo "Hiyo sio novel ya mapenzi kama zile uzipendazo"
[emoji23]

unataka elimu ya kukubalika miongoni mwa watu basi kakitafute...

Angalizo la pili " Wakati wa kusoma kaa karibu na Google translate" maana nahisi yai lako halina utepe yaaani namaanisha hujui vzuri ngeli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
nakazia na kapicha
Boss kitabu chako ntajaribu kusoma maana mambo hayo yalinipita kushoto kidogo, na translator sitaweka mbali maana yai langu nilitengenezea kiepe.. ila siku nyingine usipende kudanganya watu kuhusu jambo ambalo wahusika wa mambo yenyewe tupo tunakuona.
 
nmeona avatar...nkasema uyu jamaa atakua nesi
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
sawa trigeminal mzee wa sensation (kung'ata na kutafuna) nerve
 
juice je?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…