T.Mwambungu
Senior Member
- Jan 25, 2013
- 198
- 43
hizo ni kwa zinazotengenezwa TZ au dunia nzima?....journalists kuwa scientists, kweli nchi hii ina vituko.
>TZ Hatutengenezi soda bali tunaviwanda vya kukologa chemikali kuunda soda (sijui kwa azam cola)
>Chemikali zinazotumika ndizo zenye sumu na zinatoka ng'ambo.