Madhara ya Utawala wa Awamu ya Tano yameanza kulitafuna taifa; Nani wa kulaumiwa?

Porojo nyingi hazisaidii , umakini zaidi unahitajika.
 
Balaa sn
 
Magufuli hayupo kwa miezi mitano tu hayo madudu yote yametokea kwa miezi mitano tu? Hebu acha KUKURUPUKA!!!!
Watu mnashindwa ku kubali mlikuwa wrong dhidi ya Magufuli, sasa Magufuli hayupo na mlichotarajia hakiji ili kuendeleza u mbuni bado mna ji mbuni tu kichwa mchangani.
 
Wafanye nini sasa?
Ni kutafuta jinsi ya kutatua matatizo yaliyopo , tunaishi sasa , jana imepita iwe kwamtazamo wa ubaya au uzuri , imeshapita hiyo , tuangalie sasa kinafanyika nini ,mifumo isukwe kiutaalam ili kukidhi matakwa na mahitaji ya nchi na wananchi kwa ujumla .
 
Fursa hiyo tunayo? je wako tayari kujirekebisha?
 
Ndio mana ukaambiwa shida zote hizi sababu ya utawala wake Magufuli. Mama anajitahidi tu kurekebisha hali. Hebu we fikiri no ajira mpya for 6yrs. mshahara alokuwa akilipa JK ndo huo huo mpk anakufa, hakuna kupanda madaraja, nk. Mamiradi makubwa kuliko uwezo wa bajeti, sasa Mama afanyeje!!!
 
Wenye fikra njema kama nyie watawaita Magaidi. Haya maccm bwana
 
Magufuli hayupo kwa miezi mitano tu hayo madudu yote yametokea kwa miezi mitano tu? Hebu acha KUKURUPUKA!!!!
Jipe mda tu baada ya miaka 10, 20 mtakuwa mnasema Magufuli. Hayo madudu yote in first place yametokea toka kitambo ndiyo maana kabla ya Magufuli 2015 tulizungusha mikono mabadiliko.

Nakumbuka watu kupigwa mabomu arusha, morogoro na Kikwete kurushiwa mawe mbeya na Mwinyi kuchapwa kibao kwa kadamnasi.
 
Hebu tuondolee upumbavu wako. Dhalimu magufuli alikuwa ni janga kubwa la Taifa na Mwenyezi Mungu ni mkubwa na hivyo akaamua kumnyakua baada ya sala na maombi mengi ya Watanzania waliofanyiwa maovu mbali mbali na yule dhalimu.

Jipe mda tu baada ya miaka 10, 20 mtakuwa mnasema Magufuli. Hayo madudu yote in first place yametokea toka kitambo ndiyo maana kabla ya Magufuli 2015 tulizungusha mikono mabadiliko.
 
Extent and level of extremism haijawahi kufikia ile ye Magufuli. Jamaa aliwafanya nchi nzima kama misukule. Alitumia utisho ambao kila mwanadamu anauongopa- Execution.
 
Hebu tuondolee upumbavu wako. Dhalimu magufuli alikuwa ni janga kubwa la Taifa na Mwenyezi Mungu ni mkubwa na hivyo akaamua kumnyakua baada ya sala na maombi mengi ya Watanzania waliofanyiwa maovu mbali mbali na yule dhalimu.
Alikuwa janga ktk historia ya tanzania
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…