KARLO MWILAPWA
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 2,789
- 4,951
Kwenye vifo alionesha kuumizwa na kusikitishwa na akatoa hadi salamu za pole. Utani alioufanya ni kuwaamba " kama wengine mazao yao yakifurika ,ninyi mkaline"Wewe utakuwa ni bonge la mjinga. Kweny ae vifo kuna utani? Narudia tena wewe ni mjinga kwelikweli!
Huo UTANI GAVANA anayo ndio maana katika majanga mengi yaliyotokea ni ya Kagera na Lindi ndio kayaongelea kwa utaniDuh! Eti ni utani.....!! Kuna kipindi mabasi yalikuwa yanafungwa spidi gavana, sasa huyu muzee itabidi na yeye tumfunge UTANI GAVANA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya ni matokeo ya kutesa na kupiga watoto.Kiukweli kufuatia kauli za kishujaa anazotoa Rais Magufuli kwa wahanga mbali mbali wa majanga ya asili basi itoshe kusema tu kuwa Rais Magufuli hana utu kabisa!
Hivi Rais Magufuli amewahi kuona huko duniani jinsi watu wanavyoshikamana kwenye majanga? Amewahi kuona majanga kama yale ya nchi ya Haiti au majanga ya moto kule Australia? Yani kwa jinsi anavyoongea kwa watu mbalimbali wanaokumbwa na majanga ni tuna Rais wa ajabu kweli kweli asiye na utu.
Watu 21 wamekufa huko Lindi kwa kusombwa na mafuriko halafu yeye anatoka na kusema acha "wafurikwe sawasawa" Ni kuwakejeli au? Kwa hili kweli hapana. Tutampinga wazi wazi kingozi wa aina hii ambaye anaonyesha ukatili wa wazi wazi dhidi ya watu wake wanaokumbwa na majanga!
Watu walikufa Kagera kutokana na majanga serikali ikachangisha fedha kupeleka kwenye miradi na kuwaacha watu wakiwa "wakiwa" huku ikiwaambia eti serikali haikuleta tetemeko!
Mimi niulize wale wataalam wa sayansi ya binadamu, ki biologia hii imekaaje?
Mwisho ninawashangaa sana wale wote wanaounga mkono ukosefu huu wa ubinadamu uliokithiri!
Kila kosa lina exception mkuu, kuna wale kweli wamefuata mkondo wa maji, wanatakiwa wafundishwe kwa kaa la moto...hata milimani kunaweza kutokea MUDSLIDE / MAPOROMOKO YA UDONGO.
..ukweli ni kwamba Jpm ana roho ya KIKATILI. hata walioathirika na tetemeko la ardhi badala ya kuwafariji aliwatolea lugha za MATUSI.
..suala la mafuriko lina sehemu mbili. Sehemu ya kwanza ni serikali kutokuweka MIUNDOMBINU ya kupitisha maji [ ya mvua na maji machafu ]. Sehemu ya pili ni wananchi waliojenga kimakosa mabondeni.
..
Katika Sayansi ya siasa, kura huwa haipotei. Inahesabi
Sijui kama unaelewa maana ya kuishi mabondeni kunakotamkwa na waheshimiwa hawa!!!?When it comes to people's life the stacks are too high to make it a political agenda.
There are hundred safe ways to prevent any political leader from being re-elected for a second term.
If you live in dangerous areas that are prone to floods, it is you who is going to lose big, you either lose your beloved ones or you lose your life. And there is no 100% guarantee the politician you hate the most won't be re-elected after your loss.
Ukikaa mabondeni anaekufa sio Mugufuli bali wewe na ndugu zako, maeneo yaliyo juu ni mengi sana kuliko mabondeni.
Kwani umefungwa na nati au umechomelewa na umeme hapo mabondeni kiasi cha kushindwa kwenda kuanzisha makazi maeneo mengine?
Kwa mantiki hiyo, sehemu kubwa ya waTanzania wote ni 'victims' wa kunyimwa haki ya yote hayo yaliyomo kwenye orodha uliyoweka hapo juu.Ushahidi gani unataka, unajua kipato cha wastani tu cha Mtanzania, GDP per capita, ni ushahidi tosha?
Hakiwezi kupanga bajeti ya mtu anayetakiwa kuishi kwa viwango vya utu wa dunia ya leo.
Yani GDP per capita ya Mtanzania haitoshi hata kununua bando ya internet kwa mwaka.
That is if huko mabondeni kuna mawasiliano ya kumuasa kuwa mvua zinakuja ondokeni mabondeni.
Sasa hapo mtu atafanyaje mawasiliano kiasi cha wewe umlaumu kwamba hajafanya mawasiliano?
Alichosema kina ukweli lakini mmmh! nahisi angepunguza ukali wa maneno, angewakumbusha tu wajifunze kuzingatia katazo la kuishi mabondeni.
Sijabishia kwamba atasubiri milele.Kwa mantiki hiyo, sehemu kubwa ya waTanzania wote ni 'victims' wa kunyimwa haki ya yote hayo yaliyomo kwenye orodha uliyoweka hapo juu.
Kwa maana hiyo ni kwamba hawa 'victims' ni lazima akili ziwaingie kichwani...; tunarudi pale pale tulipoanzia kuhusu swala la 'akili kichwani'. Kama 'victim' atasubiri anayemnyima haki yake na kumsimanga ndie amtie akili kichwani, huyo mateka atasubiri milele.
Of course! And the day wanapata akili, Magufuli will be looking for a damn exile in Uganda, in case Ugandans tolerance persist!Hadi watu wapate akili!!
Sijui kama tatizo ni "kumlaumu 'victim'".Sijabishia kwamba atasubiri milele.
Nimesema tu hawa ni victims na kuwalaumu ni kuwalaumu victims.
Kuna mwngi ya hawa victims kujipanga na kumaliza matatizo yao.
Ila si rahisi, maana unaweza kukuta victim mmoja polisi wa ngazi ya chini anatumika kuwakandamiza victims wengine wanaotaka kudai haki zao za msingi za kiraia.
Divide and rule style.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya ni matokeo ya kutesa na kupiga watoto.
Mtoto ukimlea kwa kumtesa na kumpiga, hilo linamkaa kichwani hata kwenye subconscious, anakuwa mnyonge, lakini na yeye siku akipata kuwa mkubwa/nafasi/cheo, anaona ni zamu yake kulipiza.
Kuna wachache wanaweza kuona historia yao ya kupigwa inawafanya wawe na huruma zaidi kwa wenzao, wengi wanakuwa wanaona kupigana na kunyanyasana ni sawa tu.
Ni haki ya mwenye nguvu kumsimanga na kumpiga mnyonge.
Ndiyo maana utasikia kauli hizi si mara moja tu kwa Magufuli, ni pattern.
Aliwasengenya waliopata tetemeko Kagera, alisema atawapiga mpaka shangazi za wapinzani wake, aliwasema watu wanaofeli katika nchi isiyo na mifumo kuwa ni vilaza, sasa anawasengenya watu waliopatwa na maafa.
Hii kitu Wajerumani wanaita schadenfreude. Ni mtu kufurahia maafa ya mwenzako, mara nyingi kwa wewe kujiona bora zaidi.
Kisaikolojia kwa undani kabisa inaonesha mtu hajipendi mwenyewe, ana machungu fulani na maisha, na hivyo, hawezi kupenda wengine.
Atawazodoa, atawasimanga, atawanyanyasa.
Matatizo haya si ya Magufuli pekee. Watanzania wengi wana matatizo haya.
Na ndiyo maana wengi wanamuelewa na kumshabikia sana Magufuli.
Maisha ya mtu hayana thamani sana katika jamii ya watu masikini.
Ukiyapa thamani sana, watu wanakushangaa wewe unayetaka kuyapa maisha ya mtu thamani.
Hawamshangai huyu anayeshusha thamani ya maisha ya mtu.
After all, kufa ni jambo rahisi sana katika jamii ya watu masikini, sasa ukishangaa rais anasheherekea watu kufa, watu masikini wengine watakushangaa wewe, unashangaa nini wakati hilo ni jambo la kawaida sana kwao?
Kwa nini kumlaumu victim kusiwe tatizo?Sijui kama tatizo ni "kumlaumu 'victim'".
But, it seems fair to conclude the discussion based on the rest of the observation.