LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Huwezi mwondoa Majaliwa kwenye kashfa hiyoTAMISEMI ni ofisi ya Rais
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi mwondoa Majaliwa kwenye kashfa hiyoTAMISEMI ni ofisi ya Rais
Isije kuwa ni Magufuli mwenyewe katengeneza hii ndoano ya kumtema Majaliwa kwa kupitia haya mambo ya Mashangingi.Hii kitu itaondoka na Majaliwa
Baraza la Madiwani lilivunjwa mwezi June mpaka Julai zikafiatwa kura za maoni, Kampeni Agosti mpaka Oktoba, Uchaguzi wamekuja kuapishwa Novemba.Huyo Diwani aache uzwazwa. Huyo Mkurugenzi alijiandikia mhutasari wa kikao cha maazimio ya baraza la madiwani bila ya ridhaa ya madiwani?
Mbona wanakosa ujasiri wa kusimamia maamuzi yao?
Mkurugenzi wa Dar, na mkurugenzi wa Geita wafanane kwenye NDINGA...!!!! HAPANA AISEE..Ile gari ya Geita ni tsh 460,000,000.00 hii ya Temeke ni tsh 470,000,000.00
Hapa lazima kuna ufisadi!
Gari la mkurugenzi halijanunuliwa baada ya baraza la madiwani kuvunjwa.Baraza la Madiwani lilivunjwa mwezi June mpaka Julai zikafiatwa kura za maoni, Kampeni Agosti mpaka Oktoba, Uchaguzi wamekuja kuapishwa Novemba
kwa hiyo waliobaki ni Mawaziri na wengineo wote
sasa Diwani ni wapi kkahusika wakati muidhinishaji ni Ofisi ya Waziri Mkuu?
Kuna tetesi kwamba ili kuzima jambo hili hata yule aliyesimamishwa atarejeshwa , Musukuma atabaki na aibuHawana cha kumfannya uyo
Nadhani ndo maana kuna majukumu mengi yamehamishiwa ofisi ya Rais.Majaliwa ni jipu.Yeye ndo anaidhinisha manunuzi hayo, baada ya JPM kulalamika kaamua kugeuka. Ningekuwa JPM ningemtumbua PM
Msukuma haogopi aibu, anadai yeye ni la 7 na akamfumua Mkulu na Hotel yake ya Chato ya vitanda 50 je akikosa wateja atajuwejeKuna tetesi kwamba ili kuzima jambo hili hata yule aliyesimamishwa atarejeshwa , Musukuma atabaki na aibu
Siyo kweli hata kidogo - hajawahi kufanya kazi KakonkoMtoto wa Magufuli. Alisaidia ushindi wa CCM kule kwa Chiza. Baada ya kumtangaza Chiza akahamishwa usiku huo huo. Kuletwa Temeke. Kama akiweza sema hawezi kuongea na mwandishi wa habari, atashindwaje kuwa na mahabusu ofisini kwake. Tanzania ya Magufuli ina furahisha. Kila mmoja ni boss kwa nafasi yake..
Kwa kufikiri kwako unaona waziri mkuu mwenyewe personally ndiye anakaa na kuidhinisha kila gari ya halmashauri inayonunuliwa?Majaliwa ni jipu.Yeye ndo anaidhinisha manunuzi hayo, baada ya JPM kulalamika kaamua kugeuka. Ningekuwa JPM ningemtumbua PM
Kumbe ndo yeye aliyemtoleaa nje mwandishi wa the super brandMtoto wa Magufuli. Alisaidia ushindi wa CCM kule kwa Chiza. Baada ya kumtangaza Chiza akahamishwa usiku huo huo. Kuletwa Temeke. Kama akiweza sema hawezi kuongea na mwandishi wa habari, atashindwaje kuwa na mahabusu ofisini kwake. Tanzania ya Magufuli ina furahisha. Kila mmoja ni boss kwa nafasi yake..