Basima Ogenze
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 786
- 881
Wanunue tu hela si za kwao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ruksa ya magari inatoka PM ofisiTAMISEMI ni ofisi ya Rais
Leo carabao usingizi umenishika nineacha 1-1 na man city nalalaArsenal tnacheza lini
Ova
Wewe ndiye zwazwa.Huyo Diwani aache uzwazwa. Huyo Mkurugenzi alijiandikia mhutasari wa kikao cha maazimio ya baraza la madiwani bila ya ridhaa ya madiwani?
Mbona wanakosa ujasiri wa kusimamia maamuzi yao?
Aiseee !!!Siyo kweli hata kidogo - hajawahi kufanya kazi Kakonko
Sheria na kanuni zinataka hivo...fuatiliaKwa kufikiri kwako unaona waziri mkuu mwenyewe personally ndiye anakaa na kuidhinisha kila gari ya halmashauri inayonunuliwa?
Ile gari ya Geita ni tsh 460,000,000.00 hii ya Temeke ni tsh 470,000,000.00
Hapa lazima kuna ufisadi!
Hii kitu itaondoka na Majaliwa
Huyu Mkurugenzi Mwakabibi hawamuwezi, ana misingi imara chini yake inayompa majivuno. Hawamuwezi! Wataishia kuitwa kupewa maonyo. Hataki kufanya Kazi za wananchi, yeye kujiona na kunata tu. Kiburi hana mfano!Mtoto wa Magufuli. Alisaidia ushindi wa CCM kule kwa Chiza. Baada ya kumtangaza Chiza akahamishwa usiku huo huo. Kuletwa Temeke. Kama akiweza sema hawezi kuongea na mwandishi wa habari, atashindwaje kuwa na mahabusu ofisini kwake. Tanzania ya Magufuli ina furahisha. Kila mmoja ni boss kwa nafasi yake..
Leo carabao usingizi umenishika nineacha 1-1 na man city nalala
Lakini huyu alitusaidia kushinda ule uchafuzi wa mwanzo kabisa kule Buhimbwe ndipo akapewa asante kwa kutolewa kijijini na kuletwa mjini. Hawezi kuguswa huyoKAULI ya Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa, kuzitaka Halmashauri zilizonunua mashangingi ya bei mbaya mkoani Mwanza, kujieleza, imeendelea kuungwa mkono...