Madudu ya ajabu ya ubatili wa Katiba yetu, mabadiliko "fake" ya sheria na Tume ya Uchaguzi. Rais Samia asilaumiwe kwasababu yeye sio mwanasheria!

Madudu ya ajabu ya ubatili wa Katiba yetu, mabadiliko "fake" ya sheria na Tume ya Uchaguzi. Rais Samia asilaumiwe kwasababu yeye sio mwanasheria!

Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa. Makala ya leo ni kuhusu fursa ya kuufanya uchaguzi Mkuu ujao wa Rais, Wabunge, Madiwani na serikali za mitaa utakuwa ni uchaguzi huru na wa haki.

Kwanza tukubaliane katika uendeshaji wa nchi, katiba, sheria, taratibu na kanuni ndio kila kitu.

Tangu tumepata uhuru wetu, nchi yetu Tanzania haijawahi kubahatika kupata rais ambaye ni mwanasheria, hivyo marais wetu wote wanawategemea wanasheria kwenye utengenezaji wa katiba, sheria, taratibu na kanuni, hivyo kukitokea madudu ya ajabu ya kisheria kama ubatili kwenye katiba yetu, rais ambaye sio mwanasheria, hawezi kujua kwasababu anawategemea washauri wake ambao ni wanasheria, wamshauri.

Kama hao wanasheria manguli wabobezi na wabobevu wa sheria ambao rais wa JMT anawategemea wamshauri, ndio hao hao waliotunga sheria batili inayokwenda kinyume cha katiba, na wakaipeleka Bungeni kutungwa kuwa sheria, Madudu haya ya ajabu ya kisheria yaliweza kufanyika vipi wakati tuna Wanasheria? kunapotokea madudu ya ajabu ya marekebisho ya sheria kama haya yaliyoletwa jana Bungeni, unategemea nini?. Kumlaumu Rais Samia ambaye sii mwanasheria, ni kumuonea bure!.


Mpaka leo ninapoandika hapa, ubatili huo bado uko ndani ya katiba yetu!. Kwa vile Rais wa JMT sio mwanasheria, tulichofanya akina sisi, ni kumweleza Rais Samia kuwa baadhi ya wanasheria anaowategemea hawamsaidii, hivyo akina sisi tukajitolea kuwa bypass and reach out kumfikia Samia mwenyewe na kumweleza kupitia mitandao ya kijamii na makala magazetini kuwa katiba yetu ni batili!.

Kuhusu huu ubatili kwenye katiba yetu, kama ni kumweleza Rais Samia, tumemweleza sana!.


  1. Kikosi kazi kilipomaliza kazi tumampongeza tukamkumbusha. Pongezi Rais Samia, Serikali, Kukubali Kubadili Sheria ya Uchaguzi, Tume Huru ya Uchaguzi!. Tuanze na Katiba Kwanza Ndipo Sheria Au?.

    Wakati hayo yote yakiendelea, watu tukajitolea kufanya uelimishaji umma kuhusu katiba kupitia vipindi vya TV, Redio, makala magazetini na kwenye mitandao ya kijamii.

    Nikazungumza na wanasisa mbalimbali wana mategemeo gani kuhusu hali ya siasa, nikatengeneza Vox Populi, kwenye Vox Populi, ukikusanya sauti za wengi, ukaziweka sauti hizo pamoja, sauti hizo haziwi tena ni Vox Populi, zinageuka ni Vox Dei!.


    Baada ya Serikali yetu sikivu kukubali italeta mabadiliko ya sheria ya uchaguzi na mabadiliko ya tume ya uchaguzi, tukashauri tena na tena!. Mabadiliko ya Sheria Bila Mabadiliko ya Katiba,Sawa na Kula Bila Kunawa!. Je Watanzania Tuna Haraka Sana na Uchaguzi Hadi Tukimbilie Kula Bila Kunawa?

    Hatimaye jana Ijumaa, hiki ndio tukaletewa!. Sisi wa kupongeza tukapongeza Lile fupa lililowashinda marais wanaume 4, rais mwanamke 1 aligegeda kama mlenda!. Miswada 3 ya ukombozi mpya wa taifa letu yatua bungeni asubuhi hii

    Kuna watu watamlaumu Rais Samia kwa kuamini ni yeye!, kumbe masikini ya Mungu, sio Rais Samia, yeye sio mwanasheria, hiki kilicholetwa Bungeni jana yaani ile Miswada ni kazi ya washauri wake ambao ni wanasheria. Tujifunze kuwa na Shukrani kwa Madogo ili Tupatiwe Makubwa!. Japo Tulitaka Kikubwa, Tumepewa Kiduchu!, Tukipokee Tushukuru, au Tususe Kudai Kikubwa?.

    Sasa kwa vile tunayo miezi 3, ya kujadili na kutoa mapendekezo yetu, nashauri na kuwasisitiza tusimlaumu Rais Samia, wala tusiwalaumu wasaidizi wake, bali tutoe mapendekezo yetu kama tulivyofanya kwenye ile IGA, tukapata HGA nzuri.

    Tupendekeze sheria nzuri ya uchaguzi na Tume huru na Shirikishi ya uchaguzi, naamini kabisa Rais Samia ni Rais msikivu na tutasikilizwa na mwisho wa siku tutabadili kwanza katiba kuondoa ubatili, kisha tutaunda Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi, Tutabadili sheria yetu ya uchaguzi kuleta sheria mzuri ya haki ya uchaguzi ambayo itasawazisha uwanja wa siasa, a level playing field, tutafanya uchaguzi wa Rais, Wabunge, Madiwani na serikali za mitaa, hivyo utafanyika kwa siku moja na utasimamiwa na Tume moja Huru ya Uchaguzi na uchaguzi Mkuu wa 2025 utakuwa ni uchaguzi huru na wa haki!.

    Mungu Ibariki Tanzania

    Paskali
Akipatia sifa haziendi kwa washauri, ila mambo yakienda hovyo wakalaumiwa ni washauri! Ila chawa kazi mnayo. Ni mtu mjinga tu anaweza kuamini Kuna mabadiliko ya kweli yataletwa na wanaomini ni haki ya chama chao kukaa madarakani kwa njia yoyote ile.
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa. Makala ya leo ni kuhusu fursa ya kuufanya uchaguzi Mkuu ujao wa Rais, Wabunge, Madiwani na serikali za mitaa utakuwa ni uchaguzi huru na wa haki.

Kwanza tukubaliane katika uendeshaji wa nchi, katiba, sheria, taratibu na kanuni ndio kila kitu.

Tangu tumepata uhuru wetu, nchi yetu Tanzania haijawahi kubahatika kupata rais ambaye ni mwanasheria, hivyo marais wetu wote wanawategemea wanasheria kwenye utengenezaji wa katiba, sheria, taratibu na kanuni, hivyo kukitokea madudu ya ajabu ya kisheria kama ubatili kwenye katiba yetu, rais ambaye sio mwanasheria, hawezi kujua kwasababu anawategemea washauri wake ambao ni wanasheria, wamshauri.

Kama hao wanasheria manguli wabobezi na wabobevu wa sheria ambao rais wa JMT anawategemea wamshauri, ndio hao hao waliotunga sheria batili inayokwenda kinyume cha katiba, na wakaipeleka Bungeni kutungwa kuwa sheria, Madudu haya ya ajabu ya kisheria yaliweza kufanyika vipi wakati tuna Wanasheria? kunapotokea madudu ya ajabu ya marekebisho ya sheria kama haya yaliyoletwa jana Bungeni, unategemea nini?. Kumlaumu Rais Samia ambaye sii mwanasheria, ni kumuonea bure!.


Mpaka leo ninapoandika hapa, ubatili huo bado uko ndani ya katiba yetu!. Kwa vile Rais wa JMT sio mwanasheria, tulichofanya akina sisi, ni kumweleza Rais Samia kuwa baadhi ya wanasheria anaowategemea hawamsaidii, hivyo akina sisi tukajitolea kuwa bypass and reach out kumfikia Samia mwenyewe na kumweleza kupitia mitandao ya kijamii na makala magazetini kuwa katiba yetu ni batili!.

Kuhusu huu ubatili kwenye katiba yetu, kama ni kumweleza Rais Samia, tumemweleza sana!.


  1. Kikosi kazi kilipomaliza kazi tumampongeza tukamkumbusha. Pongezi Rais Samia, Serikali, Kukubali Kubadili Sheria ya Uchaguzi, Tume Huru ya Uchaguzi!. Tuanze na Katiba Kwanza Ndipo Sheria Au?.

    Wakati hayo yote yakiendelea, watu tukajitolea kufanya uelimishaji umma kuhusu katiba kupitia vipindi vya TV, Redio, makala magazetini na kwenye mitandao ya kijamii.

    Nikazungumza na wanasisa mbalimbali wana mategemeo gani kuhusu hali ya siasa, nikatengeneza Vox Populi, kwenye Vox Populi, ukikusanya sauti za wengi, ukaziweka sauti hizo pamoja, sauti hizo haziwi tena ni Vox Populi, zinageuka ni Vox Dei!.


    Baada ya Serikali yetu sikivu kukubali italeta mabadiliko ya sheria ya uchaguzi na mabadiliko ya tume ya uchaguzi, tukashauri tena na tena!. Mabadiliko ya Sheria Bila Mabadiliko ya Katiba,Sawa na Kula Bila Kunawa!. Je Watanzania Tuna Haraka Sana na Uchaguzi Hadi Tukimbilie Kula Bila Kunawa?

    Hatimaye jana Ijumaa, hiki ndio tukaletewa!. Sisi wa kupongeza tukapongeza Lile fupa lililowashinda marais wanaume 4, rais mwanamke 1 aligegeda kama mlenda!. Miswada 3 ya ukombozi mpya wa taifa letu yatua bungeni asubuhi hii

    Kuna watu watamlaumu Rais Samia kwa kuamini ni yeye!, kumbe masikini ya Mungu, sio Rais Samia, yeye sio mwanasheria, hiki kilicholetwa Bungeni jana yaani ile Miswada ni kazi ya washauri wake ambao ni wanasheria. Tujifunze kuwa na Shukrani kwa Madogo ili Tupatiwe Makubwa!. Japo Tulitaka Kikubwa, Tumepewa Kiduchu!, Tukipokee Tushukuru, au Tususe Kudai Kikubwa?.

    Sasa kwa vile tunayo miezi 3, ya kujadili na kutoa mapendekezo yetu, nashauri na kuwasisitiza tusimlaumu Rais Samia, wala tusiwalaumu wasaidizi wake, bali tutoe mapendekezo yetu kama tulivyofanya kwenye ile IGA, tukapata HGA nzuri.

    Tupendekeze sheria nzuri ya uchaguzi na Tume huru na Shirikishi ya uchaguzi, naamini kabisa Rais Samia ni Rais msikivu na tutasikilizwa na mwisho wa siku tutabadili kwanza katiba kuondoa ubatili, kisha tutaunda Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi, Tutabadili sheria yetu ya uchaguzi kuleta sheria mzuri ya haki ya uchaguzi ambayo itasawazisha uwanja wa siasa, a level playing field, tutafanya uchaguzi wa Rais, Wabunge, Madiwani na serikali za mitaa, hivyo utafanyika kwa siku moja na utasimamiwa na Tume moja Huru ya Uchaguzi na uchaguzi Mkuu wa 2025 utakuwa ni uchaguzi huru na wa haki!.

    Mungu Ibariki Tanzania

    Paskali
Kuwa na msimamo basi .
 
Mzee wa kungata na kupuliza

UchaguZi unaokuja,panapo majaliwa mahudhurio,ushiriki
Ya upigaji kura utakuwa mdogo sana

Ova
Kabisa, hakuna mtu anayejitambua ataendelea kushiriki zoezi la danganya toto, wakati watu wana matokeo wayatakayo mfukoni. Kuliko kuendelea kupoteza muda kwenye uhuni ni Bora kufanya mambo mengine ya maana.
 
Mayala njaa inakuharibu sana
Sahihisha , njaa imemharibu na siyo inamharibu. Sijawahi kuwaelewa Wasukuma wanataka nini katika nchi hii. Wapowapo tuu pamoja na wingi wao most ni useless. Mf. Mboga ya Viazi, Kashakeu Dr., Mpini, Nyeti,Bitako nk. Ukiwasikiliza hoja zao, nje ya unafiki na uchonganishi,sijawahi kuwaelewa!¡
 
Ifikie wakati mambo mengine uyaache yapite kuliko kuyaongelea ukaharibu reputation yako maana kuna watu tunakuheshimu sana.
Asilaumiwe ili alaumiwe nani? Mbona mambo yakiwa mazuri hawasifiwi wataalamu anasifiwa yeye? Kwamba yeye sio mwanasheria ni kweli na mimi pia sio mwana sheria lakini nina uwezo wa kusoma sheria nikaona na kujua kwamba kifungu hiki ni kibovu na hiki ni kizuri,je huoni kwamba yeye kushindwa kutambua vitu kama hivyo ana tatizo na hivyo anapaswa kulaumiwa?
 
Nikushangaa sana jana ukaja unak8mbia kusifia kuwa lile fupa liliwashinda wengi Samia ameliweza. Leo tena unatuambia Samia asilaumiwe. Why?? Kwahiyo ungekuwa na mapendekezo mazuri tumpongeze Samia na ukiwa hovyo km ulivyosema walaumiwe wengine?
Brilliant
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa. Makala ya leo ni kuhusu fursa ya kuufanya uchaguzi Mkuu ujao wa Rais, Wabunge, Madiwani na serikali za mitaa utakuwa ni uchaguzi huru na wa haki.

Kwanza tukubaliane katika uendeshaji wa nchi, katiba, sheria, taratibu na kanuni ndio kila kitu.

Tangu tumepata uhuru wetu, nchi yetu Tanzania haijawahi kubahatika kupata rais ambaye ni mwanasheria, hivyo marais wetu wote wanawategemea wanasheria kwenye utengenezaji wa katiba, sheria, taratibu na kanuni, hivyo kukitokea madudu ya ajabu ya kisheria kama ubatili kwenye katiba yetu, rais ambaye sio mwanasheria, hawezi kujua kwasababu anawategemea washauri wake ambao ni wanasheria.

Mtu ambaye sii mwanasheria, hawezi kuujua ubatili wa sheria, atawategemea washauri wake wamwambie kuhusu issues zozote za kisheria, ikitokea hao washauri nao japo ni wanasheria lakini hawajui sheria kikamilifu, unategemea nini?!.

Mfano mzuri na mfano hai ni katiba ya Tanzania ya 1977, imenajisiwa kwa kuchomekewa kifungu fulani batili, waliokichomekea kifungu hicho ni Bunge la JMT, aliyeubaini ubatili huo ni Mahakama Kuu ya Tanzania, aliyeulinda ubatili huo ni Mahakama ya Rufani ya JMT, hivyo mpaka hapa ninapozungumza, usikute Rais wa JMT, she is an innocent victim, hajui kuwa katiba ya JMT imenajisiwa kwa ubatili fulani kwasababu wanasheria washauri wake rasmi ni ama hawaujui ubatili huo ama wanaojua lakini hawamwambii ukweli rais wetu, hivyo ikitokea tukaenda kwenye uchaguzi Mkuu wa 2025 bila kuuondoa ubatili huu, mtu wa kulaumiwa sio Rais Samia, kwasababu yeye sio mwanasheria, and after all, tumekuwa tukiendesha chaguzi zetu zote kwa ubatili huu, hivyo taifa letu kujikuta linalaanika kwa adhabu za karma bila kujijua!.

Kwenye ubatili huu ninao uzungumzia hapa, kiukweli kabisa mhimili wa Serikali, Bunge na Mahakama, umetukosea sana Watanzania!.
Katika mihimili hiyo mitatu, ni mhimili wa serikali tuu ndio pekee unapowakosea Watanzania, unaweza kuushitaki mahakamani lakini mhimili wa Bunge na mhimili wa Mahakama, unapowakosea Watanzania, hakuna mahali popote pa kuwashitaki zaidi ya kutegemea huruma ya rais wa JMT pekee. Madudu haya ya ajabu ya kisheria yaliweza kufanyika vipi wakati tuna Wanasheria?

Kama hao wanasheria manguli wabobezi na wabobevu wa sheria ambao rais wa JMT anawategemea wamshauri, ndio hao hao waliotunga sheria batili inayokwenda kinyume cha katiba, na wakaipeleka Bungeni kutungwa kuwa sheria, sasa kunapotokea madudu ya ajabu ya marekebisho ya sheria kama haya yaliyoletwa jana Bungeni, unategemea nini?. Kumlaumu Rais Samia ambaye sii mwanasheria, ni kumuonea bure!.

Tukubali tukatae, Tanzania tuna tatizo kubwa la wanasheria wa ajabu!. Sakata la IGA ya DPW na Bandari ndio limetufungua macho!. Kwa mujibu wa katiba yetu Ile IGA ya DPW na Bandari zetu ni batili!, lakini IGA hiyo, pamoja na ubatili wake wote, bado ilipitishwa na Bunge letu Tukufu hivyo hivyo ilivyo without any reservations!, Japo Bunge Limeridhia, DPW Kuendesha Bandari Zetu, ni Makubaliano Tu, Tukithibisha Kuna Matatizo, Tunarekebisha Mkataba wa HGA, Kazi Nzuri Iendelee! tukauliza "IGA ya DPW imetusaidia sana kujitambua. Tuna wanasheria wa Aina Gani!, Bunge na Serikali yetu, Ilipitishaje IGA Hii? mwisho wa siku hii IGA, iliwekwa pembeni HGA safi ikasainiwa. Sasa unapowategemea wanasheria wa type hii ndio washauri wa sheria na wasaidizi wa Rais Samia, unategemea nini?!. Tusimlaumu kabisa Rais Samia.

Unaweza kufuatilia baadhi ya madudu ya ajabu ya kisheria yaliyofanywa na wanasheria wetu!


Mpaka leo ninapoandika hapa, ubatili huo bado uko ndani ya katiba yetu!. Kwa vile Rais wa JMT sio mwanasheria, tulichofanya akina sisi, ni kumweleza Rais Samia kuwa baadhi ya wanasheria anaowategemea hawamsaidii, hivyo akina sisi tukajitolea kuwa bypass and reach out kumfikia Samia mwenyewe na kumweleza kupitia mitandao ya kijamii na makala magazetini kuwa katiba yetu ni batili!.

Kuhusu huu ubatili kwenye katiba yetu, kama ni kumweleza Rais Samia, tumemweleza sana!.


Kikosi kazi kilipomaliza kazi tumampongeza tukamkumbusha. Pongezi Rais Samia, Serikali, Kukubali Kubadili Sheria ya Uchaguzi, Tume Huru ya Uchaguzi!. Tuanze na Katiba Kwanza Ndipo Sheria Au?.

Wakati hayo yote yakiendelea, watu tukajitolea kufanya uelimishaji umma kuhusu katiba kupitia vipindi vya TV, Redio, makala magazetini na kwenye mitandao ya kijamii.
View: https://youtu.be/Ku8I626xl_k?si=obas7_hk4kMwpfcY

Nikazungumza na wanasisa mbalimbali wana mategemeo gani kuhusu hali ya siasa, nikatengeneza Vox Populi, kwenye Vox Populi, ukikusanya sauti za wengi, ukaziweka sauti hizo pamoja, sauti hizo haziwi tena ni Vox Populi, zinageuka ni Vox Dei!.


Baada ya Serikali yetu sikivu kukubali italeta mabadiliko ya sheria ya uchaguzi na mabadiliko ya tume ya uchaguzi, tukashauri tena na tena!. Mabadiliko ya Sheria Bila Mabadiliko ya Katiba,Sawa na Kula Bila Kunawa!. Je Watanzania Tuna Haraka Sana na Uchaguzi Hadi Tukimbilie Kula Bila Kunawa?

Hatimaye jana Ijumaa, hiki ndio tukaletewa!. Sisi wa kupongeza tukapongeza Lile fupa lililowashinda marais wanaume 4, rais mwanamke 1 aligegeda kama mlenda!. Miswada 3 ya ukombozi mpya wa taifa letu yatua bungeni asubuhi hii

Kuna watu watamlaumu Rais Samia kwa kuamini ni yeye!, kumbe masikini ya Mungu, sio Rais Samia, yeye sio mwanasheria, hiki kilicholetwa Bungeni jana yaani ile Miswada ni kazi ya washauri wake ambao ni wanasheria. Tujifunze kuwa na Shukrani kwa Madogo ili Tupatiwe Makubwa!. Japo Tulitaka Kikubwa, Tumepewa Kiduchu!, Tukipokee Tushukuru, au Tususe Kudai Kikubwa?.

Sasa kwa vile tunayo miezi 3, ya kujadili na kutoa mapendekezo yetu, nashauri na kuwasisitiza tusimlaumu Rais Samia, wala tusiwalaumu wasaidizi wake, bali tutoe mapendekezo yetu kama tulivyofanya kwenye ile IGA, tukapata HGA nzuri.

Tupendekeze sheria nzuri ya uchaguzi na Tume huru na Shirikishi ya uchaguzi, naamini kabisa Rais Samia ni Rais msikivu na tutasikilizwa na mwisho wa siku tutabadili kwanza katiba kuondoa ubatili, kisha tutaunda Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi, Tutabadili sheria yetu ya uchaguzi kuleta sheria mzuri ya haki ya uchaguzi ambayo itasawazisha uwanja wa siasa, a level playing field, tutafanya uchaguzi wa Rais, Wabunge, Madiwani na serikali za mitaa, hivyo utafanyika kwa siku moja na utasimamiwa na Tume moja Huru ya Uchaguzi na uchaguzi Mkuu wa 2025 utakuwa ni uchaguzi huru na wa haki!.

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali[/LIST]

Wakati mwingine unaandika point lakini ukishaanza kuwaza teuzi unapoteza akili.
 
Hatujawahi kuwa na rais mwanasheria lakini hata Kenya walipobadili katiba hawakuwa na rahisi mwanasheria. Bunge linaongozwa na mwanasheria na ndilo linaongozwa kwa kupitisha na kubadili mikataba na miswada mibovu.
Hapo utaona tatizosiyo rais kutokuwa mwanasheria Bali uwezo wake wa kuchambua vitu.
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa. Makala ya leo ni kuhusu fursa ya kuufanya uchaguzi Mkuu ujao wa Rais, Wabunge, Madiwani na serikali za mitaa utakuwa ni uchaguzi huru na wa haki.

Kwanza tukubaliane katika uendeshaji wa nchi, katiba, sheria, taratibu na kanuni ndio kila kitu.

Tangu tumepata uhuru wetu, nchi yetu Tanzania haijawahi kubahatika kupata rais ambaye ni mwanasheria, hivyo marais wetu wote wanawategemea wanasheria kwenye utengenezaji wa katiba, sheria, taratibu na kanuni, hivyo kukitokea madudu ya ajabu ya kisheria kama ubatili kwenye katiba yetu, rais ambaye sio mwanasheria, hawezi kujua kwasababu anawategemea washauri wake ambao ni wanasheria.

Mtu ambaye sii mwanasheria, hawezi kuujua ubatili wa sheria, atawategemea washauri wake wamwambie kuhusu issues zozote za kisheria, ikitokea hao washauri nao japo ni wanasheria lakini hawajui sheria kikamilifu, unategemea nini?!.

Mfano mzuri na mfano hai ni katiba ya Tanzania ya 1977, imenajisiwa kwa kuchomekewa kifungu fulani batili, waliokichomekea kifungu hicho ni Bunge la JMT, aliyeubaini ubatili huo ni Mahakama Kuu ya Tanzania, aliyeulinda ubatili huo ni Mahakama ya Rufani ya JMT, hivyo mpaka hapa ninapozungumza, usikute Rais wa JMT, she is an innocent victim, hajui kuwa katiba ya JMT imenajisiwa kwa ubatili fulani kwasababu wanasheria washauri wake rasmi ni ama hawaujui ubatili huo ama wanaojua lakini hawamwambii ukweli rais wetu, hivyo ikitokea tukaenda kwenye uchaguzi Mkuu wa 2025 bila kuuondoa ubatili huu, mtu wa kulaumiwa sio Rais Samia, kwasababu yeye sio mwanasheria, and after all, tumekuwa tukiendesha chaguzi zetu zote kwa ubatili huu, hivyo taifa letu kujikuta linalaanika kwa adhabu za karma bila kujijua!.

Kwenye ubatili huu ninao uzungumzia hapa, kiukweli kabisa mhimili wa Serikali, Bunge na Mahakama, umetukosea sana Watanzania!.
Katika mihimili hiyo mitatu, ni mhimili wa serikali tuu ndio pekee unapowakosea Watanzania, unaweza kuushitaki mahakamani lakini mhimili wa Bunge na mhimili wa Mahakama, unapowakosea Watanzania, hakuna mahali popote pa kuwashitaki zaidi ya kutegemea huruma ya rais wa JMT pekee. Madudu haya ya ajabu ya kisheria yaliweza kufanyika vipi wakati tuna Wanasheria?

Kama hao wanasheria manguli wabobezi na wabobevu wa sheria ambao rais wa JMT anawategemea wamshauri, ndio hao hao waliotunga sheria batili inayokwenda kinyume cha katiba, na wakaipeleka Bungeni kutungwa kuwa sheria, sasa kunapotokea madudu ya ajabu ya marekebisho ya sheria kama haya yaliyoletwa jana Bungeni, unategemea nini?. Kumlaumu Rais Samia ambaye sii mwanasheria, ni kumuonea bure!.

Tukubali tukatae, Tanzania tuna tatizo kubwa la wanasheria wa ajabu!. Sakata la IGA ya DPW na Bandari ndio limetufungua macho!. Kwa mujibu wa katiba yetu Ile IGA ya DPW na Bandari zetu ni batili!, lakini IGA hiyo, pamoja na ubatili wake wote, bado ilipitishwa na Bunge letu Tukufu hivyo hivyo ilivyo without any reservations!, Japo Bunge Limeridhia, DPW Kuendesha Bandari Zetu, ni Makubaliano Tu, Tukithibisha Kuna Matatizo, Tunarekebisha Mkataba wa HGA, Kazi Nzuri Iendelee! tukauliza "IGA ya DPW imetusaidia sana kujitambua. Tuna wanasheria wa Aina Gani!, Bunge na Serikali yetu, Ilipitishaje IGA Hii? mwisho wa siku hii IGA, iliwekwa pembeni HGA safi ikasainiwa. Sasa unapowategemea wanasheria wa type hii ndio washauri wa sheria na wasaidizi wa Rais Samia, unategemea nini?!. Tusimlaumu kabisa Rais Samia.

Unaweza kufuatilia baadhi ya madudu ya ajabu ya kisheria yaliyofanywa na wanasheria wetu!


Mpaka leo ninapoandika hapa, ubatili huo bado uko ndani ya katiba yetu!. Kwa vile Rais wa JMT sio mwanasheria, tulichofanya akina sisi, ni kumweleza Rais Samia kuwa baadhi ya wanasheria anaowategemea hawamsaidii, hivyo akina sisi tukajitolea kuwa bypass and reach out kumfikia Samia mwenyewe na kumweleza kupitia mitandao ya kijamii na makala magazetini kuwa katiba yetu ni batili!.

Kuhusu huu ubatili kwenye katiba yetu, kama ni kumweleza Rais Samia, tumemweleza sana!.


Kikosi kazi kilipomaliza kazi tumampongeza tukamkumbusha. Pongezi Rais Samia, Serikali, Kukubali Kubadili Sheria ya Uchaguzi, Tume Huru ya Uchaguzi!. Tuanze na Katiba Kwanza Ndipo Sheria Au?.

Wakati hayo yote yakiendelea, watu tukajitolea kufanya uelimishaji umma kuhusu katiba kupitia vipindi vya TV, Redio, makala magazetini na kwenye mitandao ya kijamii.
View: https://youtu.be/Ku8I626xl_k?si=obas7_hk4kMwpfcY

Nikazungumza na wanasisa mbalimbali wana mategemeo gani kuhusu hali ya siasa, nikatengeneza Vox Populi, kwenye Vox Populi, ukikusanya sauti za wengi, ukaziweka sauti hizo pamoja, sauti hizo haziwi tena ni Vox Populi, zinageuka ni Vox Dei!.


Baada ya Serikali yetu sikivu kukubali italeta mabadiliko ya sheria ya uchaguzi na mabadiliko ya tume ya uchaguzi, tukashauri tena na tena!. Mabadiliko ya Sheria Bila Mabadiliko ya Katiba,Sawa na Kula Bila Kunawa!. Je Watanzania Tuna Haraka Sana na Uchaguzi Hadi Tukimbilie Kula Bila Kunawa?

Hatimaye jana Ijumaa, hiki ndio tukaletewa!. Sisi wa kupongeza tukapongeza Lile fupa lililowashinda marais wanaume 4, rais mwanamke 1 aligegeda kama mlenda!. Miswada 3 ya ukombozi mpya wa taifa letu yatua bungeni asubuhi hii

Kuna watu watamlaumu Rais Samia kwa kuamini ni yeye!, kumbe masikini ya Mungu, sio Rais Samia, yeye sio mwanasheria, hiki kilicholetwa Bungeni jana yaani ile Miswada ni kazi ya washauri wake ambao ni wanasheria. Tujifunze kuwa na Shukrani kwa Madogo ili Tupatiwe Makubwa!. Japo Tulitaka Kikubwa, Tumepewa Kiduchu!, Tukipokee Tushukuru, au Tususe Kudai Kikubwa?.

Sasa kwa vile tunayo miezi 3, ya kujadili na kutoa mapendekezo yetu, nashauri na kuwasisitiza tusimlaumu Rais Samia, wala tusiwalaumu wasaidizi wake, bali tutoe mapendekezo yetu kama tulivyofanya kwenye ile IGA, tukapata HGA nzuri.

Tupendekeze sheria nzuri ya uchaguzi na Tume huru na Shirikishi ya uchaguzi, naamini kabisa Rais Samia ni Rais msikivu na tutasikilizwa na mwisho wa siku tutabadili kwanza katiba kuondoa ubatili, kisha tutaunda Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi, Tutabadili sheria yetu ya uchaguzi kuleta sheria mzuri ya haki ya uchaguzi ambayo itasawazisha uwanja wa siasa, a level playing field, tutafanya uchaguzi wa Rais, Wabunge, Madiwani na serikali za mitaa, hivyo utafanyika kwa siku moja na utasimamiwa na Tume moja Huru ya Uchaguzi na uchaguzi Mkuu wa 2025 utakuwa ni uchaguzi huru na wa haki!.

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali[/LIST]

Bwana Paskali Mayala (Magufulu alikuita Njaa) mwenye tatizo ni wewe siyo Rais. Hukumu ya Mahakama ya Rufaa huwezi ukaiita ni ubatili labda uwe na njaa kikwelikweli. Mgombea binafsi inaonekana ni kitu kizuri lakini ni lazima pawe na masharti. Mabilionea wa CHADEMA au Mo au Bill Gates au "Sauti ya Watanzania" wa Dr Slaa walio nje majambazi na watakatisha fedha kesho na keshokutwa watanunua kura zote tupate Rais binafsi atathibitiwa na nani? Kuhusu tumehuru, naamini kabisa tume iliyopo ni totally huru 100% kwa vile ni ya Majaji wa Mahakama ya Rufaa. Hata Kenya huwezi kumshitaki Rais mchaguliwa akishapitishwa na Supreme Court, sisi tume yetu ni Supreme Court tayari. Rais ndiye kielelwzo cha Nchi, ndiye sovereign, haiwezi kukawa na taasisi ingine juu yake au isiyowajibika kwake. Kwa maoni yangu Tume ya Uchaguzi ya sasa ni perfect, inatosha. Anything less ni kuipunguzia uhuru wake. Jambo moja mnalosahau ni kuwa Wajumbe wa Tume nao ni Watanzania, wana kura mija moja kila mtu. Hawawezi kutuchagulia mtu tusiyemtaka.
 
Akipatia sifa haziendi kwa washauri, ila mambo yakienda hovyo wakalaumiwa ni washauri! Ila chawa kazi mnayo. Ni mtu mjinga tu anaweza kuamini Kuna mabadiliko ya kweli yataletwa na wanaomini ni haki ya chama chao kukaa madarakani kwa njia yoyote ile.
Ila wasilojua ni kuwa binadamu asipopenda kufanya mabadiliko kwa hiari na kistaarabu basi utafikia wakati mabadiliko hayo huwa ni kwa nguvu na pengine yakiambatana na ukatili mkubwa.
Tumeona hivyo katika maeneo mbali mbali duniani. Jee nasi twataka iwe hivyo? Yafaa nini katika maisha kutengenezea shida na mateso ya kizazi chako kwa shibe isiyo halali ya leo?
Hebu viongozi waangalie ya Nyerere, hadi wajukuu leo wanaishi peaceful kwa ajili ya aliyofanya na mahusiano yake na jamii wakati wao acha watoto hadi wenyewe wako kwenye red alert!
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa. Makala ya leo ni kuhusu fursa ya kuufanya uchaguzi Mkuu ujao wa Rais, Wabunge, Madiwani na serikali za mitaa utakuwa ni uchaguzi huru na wa haki.

Kwanza tukubaliane katika uendeshaji wa nchi, katiba, sheria, taratibu na kanuni ndio kila kitu.

Tangu tumepata uhuru wetu, nchi yetu Tanzania haijawahi kubahatika kupata rais ambaye ni mwanasheria, hivyo marais wetu wote wanawategemea wanasheria kwenye utengenezaji wa katiba, sheria, taratibu na kanuni, hivyo kukitokea madudu ya ajabu ya kisheria kama ubatili kwenye katiba yetu, rais ambaye sio mwanasheria, hawezi kujua kwasababu anawategemea washauri wake ambao ni wanasheria.

Mtu ambaye sii mwanasheria, hawezi kuujua ubatili wa sheria, atawategemea washauri wake wamwambie kuhusu issues zozote za kisheria, ikitokea hao washauri nao japo ni wanasheria lakini hawajui sheria kikamilifu, unategemea nini?!.

Mfano mzuri na mfano hai ni katiba ya Tanzania ya 1977, imenajisiwa kwa kuchomekewa kifungu fulani batili, waliokichomekea kifungu hicho ni Bunge la JMT, aliyeubaini ubatili huo ni Mahakama Kuu ya Tanzania, aliyeulinda ubatili huo ni Mahakama ya Rufani ya JMT, hivyo mpaka hapa ninapozungumza, usikute Rais wa JMT, she is an innocent victim, hajui kuwa katiba ya JMT imenajisiwa kwa ubatili fulani kwasababu wanasheria washauri wake rasmi ni ama hawaujui ubatili huo ama wanaojua lakini hawamwambii ukweli rais wetu, hivyo ikitokea tukaenda kwenye uchaguzi Mkuu wa 2025 bila kuuondoa ubatili huu, mtu wa kulaumiwa sio Rais Samia, kwasababu yeye sio mwanasheria, and after all, tumekuwa tukiendesha chaguzi zetu zote kwa ubatili huu, hivyo taifa letu kujikuta linalaanika kwa adhabu za karma bila kujijua!.

Kwenye ubatili huu ninao uzungumzia hapa, kiukweli kabisa mhimili wa Serikali, Bunge na Mahakama, umetukosea sana Watanzania!.
Katika mihimili hiyo mitatu, ni mhimili wa serikali tuu ndio pekee unapowakosea Watanzania, unaweza kuushitaki mahakamani lakini mhimili wa Bunge na mhimili wa Mahakama, unapowakosea Watanzania, hakuna mahali popote pa kuwashitaki zaidi ya kutegemea huruma ya rais wa JMT pekee. Madudu haya ya ajabu ya kisheria yaliweza kufanyika vipi wakati tuna Wanasheria?

Kama hao wanasheria manguli wabobezi na wabobevu wa sheria ambao rais wa JMT anawategemea wamshauri, ndio hao hao waliotunga sheria batili inayokwenda kinyume cha katiba, na wakaipeleka Bungeni kutungwa kuwa sheria, sasa kunapotokea madudu ya ajabu ya marekebisho ya sheria kama haya yaliyoletwa jana Bungeni, unategemea nini?. Kumlaumu Rais Samia ambaye sii mwanasheria, ni kumuonea bure!.

Tukubali tukatae, Tanzania tuna tatizo kubwa la wanasheria wa ajabu!. Sakata la IGA ya DPW na Bandari ndio limetufungua macho!. Kwa mujibu wa katiba yetu Ile IGA ya DPW na Bandari zetu ni batili!, lakini IGA hiyo, pamoja na ubatili wake wote, bado ilipitishwa na Bunge letu Tukufu hivyo hivyo ilivyo without any reservations!, Japo Bunge Limeridhia, DPW Kuendesha Bandari Zetu, ni Makubaliano Tu, Tukithibisha Kuna Matatizo, Tunarekebisha Mkataba wa HGA, Kazi Nzuri Iendelee! tukauliza "IGA ya DPW imetusaidia sana kujitambua. Tuna wanasheria wa Aina Gani!, Bunge na Serikali yetu, Ilipitishaje IGA Hii? mwisho wa siku hii IGA, iliwekwa pembeni HGA safi ikasainiwa. Sasa unapowategemea wanasheria wa type hii ndio washauri wa sheria na wasaidizi wa Rais Samia, unategemea nini?!. Tusimlaumu kabisa Rais Samia.

Unaweza kufuatilia baadhi ya madudu ya ajabu ya kisheria yaliyofanywa na wanasheria wetu!


Mpaka leo ninapoandika hapa, ubatili huo bado uko ndani ya katiba yetu!. Kwa vile Rais wa JMT sio mwanasheria, tulichofanya akina sisi, ni kumweleza Rais Samia kuwa baadhi ya wanasheria anaowategemea hawamsaidii, hivyo akina sisi tukajitolea kuwa bypass and reach out kumfikia Samia mwenyewe na kumweleza kupitia mitandao ya kijamii na makala magazetini kuwa katiba yetu ni batili!.

Kuhusu huu ubatili kwenye katiba yetu, kama ni kumweleza Rais Samia, tumemweleza sana!.


Kikosi kazi kilipomaliza kazi tumampongeza tukamkumbusha. Pongezi Rais Samia, Serikali, Kukubali Kubadili Sheria ya Uchaguzi, Tume Huru ya Uchaguzi!. Tuanze na Katiba Kwanza Ndipo Sheria Au?.

Wakati hayo yote yakiendelea, watu tukajitolea kufanya uelimishaji umma kuhusu katiba kupitia vipindi vya TV, Redio, makala magazetini na kwenye mitandao ya kijamii.
View: https://youtu.be/Ku8I626xl_k?si=obas7_hk4kMwpfcY

Nikazungumza na wanasisa mbalimbali wana mategemeo gani kuhusu hali ya siasa, nikatengeneza Vox Populi, kwenye Vox Populi, ukikusanya sauti za wengi, ukaziweka sauti hizo pamoja, sauti hizo haziwi tena ni Vox Populi, zinageuka ni Vox Dei!.


Baada ya Serikali yetu sikivu kukubali italeta mabadiliko ya sheria ya uchaguzi na mabadiliko ya tume ya uchaguzi, tukashauri tena na tena!. Mabadiliko ya Sheria Bila Mabadiliko ya Katiba,Sawa na Kula Bila Kunawa!. Je Watanzania Tuna Haraka Sana na Uchaguzi Hadi Tukimbilie Kula Bila Kunawa?

Hatimaye jana Ijumaa, hiki ndio tukaletewa!. Sisi wa kupongeza tukapongeza Lile fupa lililowashinda marais wanaume 4, rais mwanamke 1 aligegeda kama mlenda!. Miswada 3 ya ukombozi mpya wa taifa letu yatua bungeni asubuhi hii

Kuna watu watamlaumu Rais Samia kwa kuamini ni yeye!, kumbe masikini ya Mungu, sio Rais Samia, yeye sio mwanasheria, hiki kilicholetwa Bungeni jana yaani ile Miswada ni kazi ya washauri wake ambao ni wanasheria. Tujifunze kuwa na Shukrani kwa Madogo ili Tupatiwe Makubwa!. Japo Tulitaka Kikubwa, Tumepewa Kiduchu!, Tukipokee Tushukuru, au Tususe Kudai Kikubwa?.

Sasa kwa vile tunayo miezi 3, ya kujadili na kutoa mapendekezo yetu, nashauri na kuwasisitiza tusimlaumu Rais Samia, wala tusiwalaumu wasaidizi wake, bali tutoe mapendekezo yetu kama tulivyofanya kwenye ile IGA, tukapata HGA nzuri.

Tupendekeze sheria nzuri ya uchaguzi na Tume huru na Shirikishi ya uchaguzi, naamini kabisa Rais Samia ni Rais msikivu na tutasikilizwa na mwisho wa siku tutabadili kwanza katiba kuondoa ubatili, kisha tutaunda Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi, Tutabadili sheria yetu ya uchaguzi kuleta sheria mzuri ya haki ya uchaguzi ambayo itasawazisha uwanja wa siasa, a level playing field, tutafanya uchaguzi wa Rais, Wabunge, Madiwani na serikali za mitaa, hivyo utafanyika kwa siku moja na utasimamiwa na Tume moja Huru ya Uchaguzi na uchaguzi Mkuu wa 2025 utakuwa ni uchaguzi huru na wa haki!.

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali[/LIST]

Unategemea mchawi asimamie vita dhidi ya uchawi?
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa. Makala ya leo ni kuhusu fursa ya kuufanya uchaguzi Mkuu ujao wa Rais, Wabunge, Madiwani na serikali za mitaa utakuwa ni uchaguzi huru na wa haki.

Kwanza tukubaliane katika uendeshaji wa nchi, katiba, sheria, taratibu na kanuni ndio kila kitu.

Tangu tumepata uhuru wetu, nchi yetu Tanzania haijawahi kubahatika kupata rais ambaye ni mwanasheria, hivyo marais wetu wote wanawategemea wanasheria kwenye utengenezaji wa katiba, sheria, taratibu na kanuni, hivyo kukitokea madudu ya ajabu ya kisheria kama ubatili kwenye katiba yetu, rais ambaye sio mwanasheria, hawezi kujua kwasababu anawategemea washauri wake ambao ni wanasheria.

Mtu ambaye sii mwanasheria, hawezi kuujua ubatili wa sheria, atawategemea washauri wake wamwambie kuhusu issues zozote za kisheria, ikitokea hao washauri nao japo ni wanasheria lakini hawajui sheria kikamilifu, unategemea nini?!.

Mfano mzuri na mfano hai ni katiba ya Tanzania ya 1977, imenajisiwa kwa kuchomekewa kifungu fulani batili, waliokichomekea kifungu hicho ni Bunge la JMT, aliyeubaini ubatili huo ni Mahakama Kuu ya Tanzania, aliyeulinda ubatili huo ni Mahakama ya Rufani ya JMT, hivyo mpaka hapa ninapozungumza, usikute Rais wa JMT, she is an innocent victim, hajui kuwa katiba ya JMT imenajisiwa kwa ubatili fulani kwasababu wanasheria washauri wake rasmi ni ama hawaujui ubatili huo ama wanaojua lakini hawamwambii ukweli rais wetu, hivyo ikitokea tukaenda kwenye uchaguzi Mkuu wa 2025 bila kuuondoa ubatili huu, mtu wa kulaumiwa sio Rais Samia, kwasababu yeye sio mwanasheria, and after all, tumekuwa tukiendesha chaguzi zetu zote kwa ubatili huu, hivyo taifa letu kujikuta linalaanika kwa adhabu za karma bila kujijua!.

Kwenye ubatili huu ninao uzungumzia hapa, kiukweli kabisa mhimili wa Serikali, Bunge na Mahakama, umetukosea sana Watanzania!.
Katika mihimili hiyo mitatu, ni mhimili wa serikali tuu ndio pekee unapowakosea Watanzania, unaweza kuushitaki mahakamani lakini mhimili wa Bunge na mhimili wa Mahakama, unapowakosea Watanzania, hakuna mahali popote pa kuwashitaki zaidi ya kutegemea huruma ya rais wa JMT pekee. Madudu haya ya ajabu ya kisheria yaliweza kufanyika vipi wakati tuna Wanasheria?

Kama hao wanasheria manguli wabobezi na wabobevu wa sheria ambao rais wa JMT anawategemea wamshauri, ndio hao hao waliotunga sheria batili inayokwenda kinyume cha katiba, na wakaipeleka Bungeni kutungwa kuwa sheria, sasa kunapotokea madudu ya ajabu ya marekebisho ya sheria kama haya yaliyoletwa jana Bungeni, unategemea nini?. Kumlaumu Rais Samia ambaye sii mwanasheria, ni kumuonea bure!.

Tukubali tukatae, Tanzania tuna tatizo kubwa la wanasheria wa ajabu!. Sakata la IGA ya DPW na Bandari ndio limetufungua macho!. Kwa mujibu wa katiba yetu Ile IGA ya DPW na Bandari zetu ni batili!, lakini IGA hiyo, pamoja na ubatili wake wote, bado ilipitishwa na Bunge letu Tukufu hivyo hivyo ilivyo without any reservations!, Japo Bunge Limeridhia, DPW Kuendesha Bandari Zetu, ni Makubaliano Tu, Tukithibisha Kuna Matatizo, Tunarekebisha Mkataba wa HGA, Kazi Nzuri Iendelee! tukauliza "IGA ya DPW imetusaidia sana kujitambua. Tuna wanasheria wa Aina Gani!, Bunge na Serikali yetu, Ilipitishaje IGA Hii? mwisho wa siku hii IGA, iliwekwa pembeni HGA safi ikasainiwa. Sasa unapowategemea wanasheria wa type hii ndio washauri wa sheria na wasaidizi wa Rais Samia, unategemea nini?!. Tusimlaumu kabisa Rais Samia.

Unaweza kufuatilia baadhi ya madudu ya ajabu ya kisheria yaliyofanywa na wanasheria wetu!


Mpaka leo ninapoandika hapa, ubatili huo bado uko ndani ya katiba yetu!. Kwa vile Rais wa JMT sio mwanasheria, tulichofanya akina sisi, ni kumweleza Rais Samia kuwa baadhi ya wanasheria anaowategemea hawamsaidii, hivyo akina sisi tukajitolea kuwa bypass and reach out kumfikia Samia mwenyewe na kumweleza kupitia mitandao ya kijamii na makala magazetini kuwa katiba yetu ni batili!.

Kuhusu huu ubatili kwenye katiba yetu, kama ni kumweleza Rais Samia, tumemweleza sana!.


Kikosi kazi kilipomaliza kazi tumampongeza tukamkumbusha. Pongezi Rais Samia, Serikali, Kukubali Kubadili Sheria ya Uchaguzi, Tume Huru ya Uchaguzi!. Tuanze na Katiba Kwanza Ndipo Sheria Au?.

Wakati hayo yote yakiendelea, watu tukajitolea kufanya uelimishaji umma kuhusu katiba kupitia vipindi vya TV, Redio, makala magazetini na kwenye mitandao ya kijamii.
View: https://youtu.be/Ku8I626xl_k?si=obas7_hk4kMwpfcY

Nikazungumza na wanasisa mbalimbali wana mategemeo gani kuhusu hali ya siasa, nikatengeneza Vox Populi, kwenye Vox Populi, ukikusanya sauti za wengi, ukaziweka sauti hizo pamoja, sauti hizo haziwi tena ni Vox Populi, zinageuka ni Vox Dei!.


Baada ya Serikali yetu sikivu kukubali italeta mabadiliko ya sheria ya uchaguzi na mabadiliko ya tume ya uchaguzi, tukashauri tena na tena!. Mabadiliko ya Sheria Bila Mabadiliko ya Katiba,Sawa na Kula Bila Kunawa!. Je Watanzania Tuna Haraka Sana na Uchaguzi Hadi Tukimbilie Kula Bila Kunawa?

Hatimaye jana Ijumaa, hiki ndio tukaletewa!. Sisi wa kupongeza tukapongeza Lile fupa lililowashinda marais wanaume 4, rais mwanamke 1 aligegeda kama mlenda!. Miswada 3 ya ukombozi mpya wa taifa letu yatua bungeni asubuhi hii

Kuna watu watamlaumu Rais Samia kwa kuamini ni yeye!, kumbe masikini ya Mungu, sio Rais Samia, yeye sio mwanasheria, hiki kilicholetwa Bungeni jana yaani ile Miswada ni kazi ya washauri wake ambao ni wanasheria. Tujifunze kuwa na Shukrani kwa Madogo ili Tupatiwe Makubwa!. Japo Tulitaka Kikubwa, Tumepewa Kiduchu!, Tukipokee Tushukuru, au Tususe Kudai Kikubwa?.

Sasa kwa vile tunayo miezi 3, ya kujadili na kutoa mapendekezo yetu, nashauri na kuwasisitiza tusimlaumu Rais Samia, wala tusiwalaumu wasaidizi wake, bali tutoe mapendekezo yetu kama tulivyofanya kwenye ile IGA, tukapata HGA nzuri.

Tupendekeze sheria nzuri ya uchaguzi na Tume huru na Shirikishi ya uchaguzi, naamini kabisa Rais Samia ni Rais msikivu na tutasikilizwa na mwisho wa siku tutabadili kwanza katiba kuondoa ubatili, kisha tutaunda Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi, Tutabadili sheria yetu ya uchaguzi kuleta sheria mzuri ya haki ya uchaguzi ambayo itasawazisha uwanja wa siasa, a level playing field, tutafanya uchaguzi wa Rais, Wabunge, Madiwani na serikali za mitaa, hivyo utafanyika kwa siku moja na utasimamiwa na Tume moja Huru ya Uchaguzi na uchaguzi Mkuu wa 2025 utakuwa ni uchaguzi huru na wa haki!.

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali[/LIST]

Inategemea unaongea na nani. Kama unaongea na sisi wananchi wa kawaida, wapiga kura wa CCM, basi huwezi kutuambia tusimlaumu SSH. SSH ndio mtumishi wetu. Sisi ni ma boss wa SSH(Rais aliyepo madarakani). Wasaidizi wake huwatafuta yeye baada ya sisi wananchi kumpa yeye kazi. Hao hatuwajui. Tunamjua Rais was JMT. Lawama za kila kitu tunaelekeza kwa Rais.
Kwa nguvu tuliompa anaweza kutafuta wasaidizi waaminifu na kuwachekecha kila wakifanya jambo na siyo kuwaachiaaaaaaaaa.
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa. Makala ya leo ni kuhusu fursa ya kuufanya uchaguzi Mkuu ujao wa Rais, Wabunge, Madiwani na serikali za mitaa utakuwa ni uchaguzi huru na wa haki.

Kwanza tukubaliane katika uendeshaji wa nchi, katiba, sheria, taratibu na kanuni ndio kila kitu.

Tangu tumepata uhuru wetu, nchi yetu Tanzania haijawahi kubahatika kupata rais ambaye ni mwanasheria, hivyo marais wetu wote wanawategemea wanasheria kwenye utengenezaji wa katiba, sheria, taratibu na kanuni, hivyo kukitokea madudu ya ajabu ya kisheria kama ubatili kwenye katiba yetu, rais ambaye sio mwanasheria, hawezi kujua kwasababu anawategemea washauri wake ambao ni wanasheria.

Mtu ambaye sii mwanasheria, hawezi kuujua ubatili wa sheria, atawategemea washauri wake wamwambie kuhusu issues zozote za kikatiba na kisheria, ikitokea hao washauri nao japo ni wanasheria lakini hawajui sheria kikamilifu, ndio wanampotosha rais wetu, ndio maana bandiko hili ni utetezi kwa rais wa JMT Asilaumiwe kwa yanayotokea kwenye issues zote za katiba na sheria kwasababu yeye sio mwanasheria.

Japo kuna huu msemo wa Kiswahili usemao "Mkubwa ni jalala" na "aliyekutwa na ngozi ndiye aliyekula nyama" maadam rais ndio kipo chetu na macho yetu yote tumeyaelekeza kwake, lakini kuna mengine tutakuwa tunamuonea bure!, ndio maana niliwahi kushauri Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda

Mfano mzuri na mfano hai ni katiba ya Tanzania ya 1977, imenajisiwa kwa kuchomekewa kifungu fulani batili, waliokichomekea kifungu hicho ni Bunge la JMT, aliyeubaini ubatili huo ni Mahakama Kuu ya Tanzania, aliyeulinda ubatili huo ni Mahakama ya Rufani ya JMT, hivyo mpaka hapa ninapozungumza, usikute Rais wa JMT, she is an innocent victim, hajui kuwa katiba ya JMT imenajisiwa kwa ubatili fulani kwasababu wanasheria washauri wake rasmi ni ama hawaujui ubatili huo ama wanaojua lakini hawamwambii ukweli rais wetu, hivyo ikitokea tukaenda kwenye uchaguzi Mkuu wa 2025 bila kuuondoa ubatili huu, mtu wa kulaumiwa sio Rais Samia, kwasababu yeye sio mwanasheria, and after all, tumekuwa tukiendesha chaguzi zetu zote kwa ubatili huu, hivyo taifa letu kujikuta linalaanika kwa adhabu za karma bila kujijua!.

Kwenye ubatili huu ninao uzungumzia hapa, kiukweli kabisa mhimili wa Serikali, Bunge na Mahakama, umetukosea sana Watanzania!.
Katika mihimili hiyo mitatu, ni mhimili wa serikali tuu ndio pekee unapowakosea Watanzania, unaweza kuushitaki mahakamani lakini mhimili wa Bunge na mhimili wa Mahakama, unapowakosea Watanzania, hakuna mahali popote pa kuwashitaki zaidi ya kutegemea huruma ya rais wa JMT pekee. Madudu haya ya ajabu ya kisheria yaliweza kufanyika vipi wakati tuna Wanasheria?

Kama hao wanasheria manguli wabobezi na wabobevu wa sheria ambao rais wa JMT anawategemea wamshauri, ndio hao hao waliotunga sheria batili inayokwenda kinyume cha katiba, na wakaipeleka Bungeni kutungwa kuwa sheria, sasa kunapotokea madudu ya ajabu ya marekebisho ya sheria kama haya yaliyoletwa jana Bungeni, unategemea nini?. Kumlaumu Rais Samia ambaye sii mwanasheria, ni kumuonea bure!.

Tukubali tukatae, Tanzania tuna tatizo kubwa la wanasheria wa ajabu!. Sakata la IGA ya DPW na Bandari ndio limetufungua macho!. Kwa mujibu wa katiba yetu Ile IGA ya DPW na Bandari zetu ni batili!, lakini IGA hiyo, pamoja na ubatili wake wote, bado ilipitishwa na Bunge letu Tukufu hivyo hivyo ilivyo without any reservations!, Japo Bunge Limeridhia, DPW Kuendesha Bandari Zetu, ni Makubaliano Tu, Tukithibisha Kuna Matatizo, Tunarekebisha Mkataba wa HGA, Kazi Nzuri Iendelee! tukauliza "IGA ya DPW imetusaidia sana kujitambua. Tuna wanasheria wa Aina Gani!, Bunge na Serikali yetu, Ilipitishaje IGA Hii? mwisho wa siku hii IGA, iliwekwa pembeni HGA safi ikasainiwa. Sasa unapowategemea wanasheria wa type hii ndio washauri wa sheria na wasaidizi wa Rais Samia, unategemea nini?!. Tusimlaumu kabisa Rais Samia.

Unaweza kufuatilia baadhi ya madudu ya ajabu ya kisheria yaliyofanywa na wanasheria wetu!


Mpaka leo ninapoandika hapa, ubatili huo bado uko ndani ya katiba yetu!. Kwa vile Rais wa JMT sio mwanasheria, tulichofanya akina sisi, ni kumweleza Rais Samia kuwa baadhi ya wanasheria anaowategemea hawamsaidii, hivyo akina sisi tukajitolea kuwa bypass and reach out kumfikia Samia mwenyewe na kumweleza kupitia mitandao ya kijamii na makala magazetini kuwa katiba yetu ni batili!.

Kuhusu huu ubatili kwenye katiba yetu, kama ni kumweleza Rais Samia, tumemweleza sana!.


Kikosi kazi kilipomaliza kazi tumampongeza tukamkumbusha. Pongezi Rais Samia, Serikali, Kukubali Kubadili Sheria ya Uchaguzi, Tume Huru ya Uchaguzi!. Tuanze na Katiba Kwanza Ndipo Sheria Au?.

Wakati hayo yote yakiendelea, watu tukajitolea kufanya uelimishaji umma kuhusu katiba kupitia vipindi vya TV, Redio, makala magazetini na kwenye mitandao ya kijamii.
View: https://youtu.be/Ku8I626xl_k?si=obas7_hk4kMwpfcY

Nikazungumza na wanasisa mbalimbali wana mategemeo gani kuhusu hali ya siasa, nikatengeneza Vox Populi, kwenye Vox Populi, ukikusanya sauti za wengi, ukaziweka sauti hizo pamoja, sauti hizo haziwi tena ni Vox Populi, zinageuka ni Vox Dei!.


Baada ya Serikali yetu sikivu kukubali italeta mabadiliko ya sheria ya uchaguzi na mabadiliko ya tume ya uchaguzi, tukashauri tena na tena!. Mabadiliko ya Sheria Bila Mabadiliko ya Katiba,Sawa na Kula Bila Kunawa!. Je Watanzania Tuna Haraka Sana na Uchaguzi Hadi Tukimbilie Kula Bila Kunawa?

Hatimaye jana Ijumaa, hiki ndio tukaletewa!. Sisi wa kupongeza tukapongeza Lile fupa lililowashinda marais wanaume 4, rais mwanamke 1 aligegeda kama mlenda!. Miswada 3 ya ukombozi mpya wa taifa letu yatua bungeni asubuhi hii

Kuna watu watamlaumu Rais Samia kwa kuamini ni yeye!, kumbe masikini ya Mungu, sio Rais Samia, yeye sio mwanasheria, hiki kilicholetwa Bungeni jana yaani ile Miswada ni kazi ya washauri wake ambao ni wanasheria. Tujifunze kuwa na Shukrani kwa Madogo ili Tupatiwe Makubwa!. Japo Tulitaka Kikubwa, Tumepewa Kiduchu!, Tukipokee Tushukuru, au Tususe Kudai Kikubwa?.

Sasa kwa vile tunayo miezi 3, ya kujadili na kutoa mapendekezo yetu, nashauri na kuwasisitiza tusimlaumu Rais Samia, wala tusiwalaumu wasaidizi wake, bali tutoe mapendekezo yetu kama tulivyofanya kwenye ile IGA, tukapata HGA nzuri.

Tupendekeze sheria nzuri ya uchaguzi na Tume huru na Shirikishi ya uchaguzi, naamini kabisa Rais Samia ni Rais msikivu na tutasikilizwa na mwisho wa siku tutabadili kwanza katiba kuondoa ubatili, kisha tutaunda Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi, Tutabadili sheria yetu ya uchaguzi kuleta sheria mzuri ya haki ya uchaguzi ambayo itasawazisha uwanja wa siasa, a level playing field, tutafanya uchaguzi wa Rais, Wabunge, Madiwani na serikali za mitaa, hivyo utafanyika kwa siku moja na utasimamiwa na Tume moja Huru ya Uchaguzi na uchaguzi Mkuu wa 2025 utakuwa ni uchaguzi huru na wa haki!.

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali

Maanake ukubwa wa taasisi ya urais hauna tija hata kama Rais si mwanasheria,pili tumekuwa na Marais copy and paste ambao wanajua kusaini bila perusing kwa hiyo kama kuchomekewa ni sababu ya udhaifu wao tu.

Anapofanga vikao na wadau mbalimbali inaonyesha haweki kumbukumbu ya kile alichokisemea kitu ambacho kina mfanya kuto deal na key point za speech zake pale anapoletewa kusaini.

Kelele zikipigwa site ndiyo anashtuka kuwa hee hili mlipitishaje,lakini hatusiki walio temper docs wamechukuliwa hatua. Hii nchi ngumu sana.
 
Wanabodi,

Mtu ambaye sii mwanasheria, hawezi kuujua ubatili wa sheria, atawategemea washauri wake wamwambie kuhusu issues zozote za kikatiba na kisheria, ikitokea hao washauri nao japo ni wanasheria lakini hawajui sheria kikamilifu, ndio wanampotosha rais wetu, ndio maana bandiko hili ni utetezi kwa rais wa JMT Asilaumiwe kwa yanayotokea kwenye issues zote za katiba na sheria kwasababu yeye sio mwanasheria.

Japo kuna huu msemo wa Kiswahili usemao "Mkubwa ni jalala" na "aliyekutwa na ngozi ndiye aliyekula nyama" maadam rais ndio kipo chetu na macho yetu yote tumeyaelekeza kwake, lakini kuna mengine tutakuwa tunamuonea bure!, ndio maana niliwahi kushauri Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda

Kama hao wanasheria manguli wabobezi na wabobevu wa sheria ambao rais wa JMT anawategemea wamshauri, ndio hao hao waliotunga sheria batili inayokwenda kinyume cha katiba, na wakaipeleka Bungeni kutungwa kuwa sheria, sasa kunapotokea madudu ya ajabu ya marekebisho ya sheria kama haya yaliyoletwa jana Bungeni, unategemea nini?. Kumlaumu Rais Samia ambaye sii mwanasheria, ni kumuonea bure!.

Unaweza kufuatilia baadhi ya madudu ya ajabu ya kisheria yaliyofanywa na wanasheria wetu!

Mpaka leo ninapoandika hapa, ubatili huo bado uko ndani ya katiba yetu!. Kwa vile Rais wa JMT sio mwanasheria, tulichofanya akina sisi, ni kumweleza Rais Samia kuwa baadhi ya wanasheria anaowategemea hawamsaidii, hivyo akina sisi tukajitolea kuwa bypass and reach out kumfikia Samia mwenyewe na kumweleza kupitia mitandao ya kijamii na makala magazetini kuwa katiba yetu ni batili!.

Kikosi kazi kilipomaliza kazi tumampongeza tukamkumbusha. Pongezi Rais Samia, Serikali, Kukubali Kubadili Sheria ya Uchaguzi, Tume Huru ya Uchaguzi!. Tuanze na Katiba Kwanza Ndipo Sheria Au?.

Kuna watu watamlaumu Rais Samia kwa kuamini ni yeye!, kumbe masikini ya Mungu, sio Rais Samia, yeye sio mwanasheria, hiki kilicholetwa Bungeni jana yaani ile Miswada ni kazi ya washauri wake ambao ni wanasheria. Tujifunze kuwa na Shukrani kwa Madogo ili Tupatiwe Makubwa!. Japo Tulitaka Kikubwa, Tumepewa Kiduchu!, Tukipokee Tushukuru, au Tususe Kudai Kikubwa?.

Sasa kwa vile tunayo miezi 3, ya kujadili na kutoa mapendekezo yetu, nashauri na kuwasisitiza tusimlaumu Rais Samia, wala tusiwalaumu wasaidizi wake, bali tutoe mapendekezo yetu kama tulivyofanya kwenye ile IGA, tukapata HGA nzuri.

Tupendekeze sheria nzuri ya uchaguzi na Tume huru na Shirikishi ya uchaguzi, naamini kabisa Rais Samia ni Rais msikivu na tutasikilizwa na mwisho wa siku tutabadili kwanza katiba kuondoa ubatili, kisha tutaunda Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi, Tutabadili sheria yetu ya uchaguzi kuleta sheria mzuri ya haki ya uchaguzi ambayo itasawazisha uwanja wa siasa, a level playing field, tutafanya uchaguzi wa Rais, Wabunge, Madiwani na serikali za mitaa, hivyo utafanyika kwa siku moja na utasimamiwa na Tume moja Huru ya Uchaguzi na uchaguzi Mkuu wa 2025 utakuwa ni uchaguzi huru na wa haki!.

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
Mbowe amesema hamuamini Rais Samia wala chama chake sababu miswada yake haikisi R4 anazozihubiri na wenzake, akisemw kiongozi anapaswa kutembea kwenye maneno yake, ambavyo haikua hivyo.

Akiongeza kuwa miswada hiyo haikupuuza tu maoni ya CHADEMA, bali ilipuuza hata ya kikosi kazi, waangalizi wa kimataifa, maelezo ya mahakama na kwamba yeye Mbowe ni nani mpaka ang’ang’anie kuwa Rais Samia na chama chake kina nia njema wakati kila kitu kipo wazi?

Mbowe akaongeza yawezekana Marwa alijua mapema kuwa CCM haiaminiki, lakini CHADEMA imefanya kila juhudi, wamejidhihirishia wenyewe kuwa CCM na Rais Samia haimaniki.

 
Wanabodi,

Mtu ambaye sii mwanasheria, hawezi kuujua ubatili wa sheria, atawategemea washauri wake wamwambie kuhusu issues zozote za kikatiba na kisheria, ikitokea hao washauri nao japo ni wanasheria lakini hawajui sheria kikamilifu, ndio wanampotosha rais wetu, ndio maana bandiko hili ni utetezi kwa rais wa JMT Asilaumiwe kwa yanayotokea kwenye issues zote za katiba na sheria kwasababu yeye sio mwanasheria.

Tupendekeze sheria nzuri ya uchaguzi na Tume huru na Shirikishi ya uchaguzi, naamini kabisa Rais Samia ni Rais msikivu na tutasikilizwa na mwisho wa siku tutabadili kwanza katiba kuondoa ubatili, kisha tutaunda Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi, Tutabadili sheria yetu ya uchaguzi kuleta sheria mzuri ya haki ya uchaguzi ambayo itasawazisha uwanja wa siasa, a level playing field, tutafanya uchaguzi wa Rais, Wabunge, Madiwani na serikali za mitaa, hivyo utafanyika kwa siku moja na utasimamiwa na Tume moja Huru ya Uchaguzi na uchaguzi Mkuu wa 2025 utakuwa ni uchaguzi huru na wa haki!.

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
Hii ni zawadi yangu kwa Birthday ya Mama leo, nilipanga kumpa wiki ya mwisho ya October 2025,

Ili zawadi hii iwe na manufaa kwake, nikisubiri mpaka hiyo 2025, it might be a bit too little too late, kuna ubaya hiyo zawadi, kutolewa mapema mwaka huu ili iweze kutumika mwaka kesho?.

Zawadi yenyewe ni Salaam tuu za Birthday zenye ki parcel fulani!

HBD Mhe. Rais Samia kwa kutimiza miaka 64!, nakupongeza sana na kukuombea afya njema!.

Mwakani 2025 utakuwa unatimiza umri wa miaka 65 na 2030 utakuwa na umri wa miaka 70, hivyo zawadi yangu ya pekee kwako ni HII na kukusisitizia, sio lazima kuizingatia saana kivile, ila ni muhimu kuisikiliza na kujisikilizia kama na wewe pia uliambiwa kama nilivyoambiwa mimi, kwasababu yule YEYE, sometimes ana tabia na mtindo wa kuwaambia watu wake, kupitia kwa watu wengine!, hivyo just listen and try to make sense of this, a think about it, if makes any sense to you, ikitokea it doesn't make any sense to you, then dismiss it as just another set of crap!.

Ila ikitokea na wewe pia uliambiwa, but you are not very sure kama ni YEYE au ni yeye, then don't take a chance!, usipuuze!, maana hicho kitu chenyewe, is nothing compared!.

If this being the case, then tunakuomba sana sana sana, ututekelezee haya mambo tunayokulilia nayo tangu umeingia kwenye usukani, tekeleza tuu yale yaliyomo ndani ya uwezo wako, maana kusubiria post 2025, it might be too little too late!. Please Mama!.

Na ikitokea wewe hujaambiwa mpaka 2025 inaingia na hujawahi kuambiwa na mtu mwingine yeyote, then ipuuze HII itakuwa sio sauti yake YEYE bali itakuwa ni sauti ya yeye tuu ambaye sio YEYE!.

Hivyo endelea na ule mpango wako wa 2025!, na Watanzania wanaolitakia mema taifa letu hili, wote tutakuwa Tuko nyuma yako,
Tuko pamoja nawe,
Tuko nawe!.

Mungu Akubariki Sana!.
HBD Mamaa!.
Paskali
 
Wanabodi,

Mtu ambaye sii mwanasheria, hawezi kuujua ubatili wa sheria, atawategemea washauri wake wamwambie kuhusu issues zozote za kikatiba na kisheria, ikitokea hao washauri nao japo ni wanasheria lakini hawajui sheria kikamilifu, ndio wanampotosha rais wetu, ndio maana bandiko hili ni utetezi kwa rais wa JMT Asilaumiwe kwa yanayotokea kwenye issues zote za katiba na sheria kwasababu yeye sio mwanasheria.

Mfano mzuri na mfano hai ni katiba ya Tanzania ya 1977, imenajisiwa kwa kuchomekewa kifungu fulani batili, waliokichomekea kifungu hicho ni Bunge la JMT, aliyeubaini ubatili huo ni Mahakama Kuu ya Tanzania, aliyeulinda ubatili huo ni Mahakama ya Rufani ya JMT, hivyo mpaka hapa ninapozungumza, usikute Rais wa JMT, she is an innocent victim, hajui kuwa katiba ya JMT imenajisiwa kwa ubatili fulani kwasababu wanasheria washauri wake rasmi ni ama hawaujui ubatili huo ama wanaojua lakini hawamwambii ukweli rais wetu, hivyo ikitokea tukaenda kwenye uchaguzi Mkuu wa 2025 bila kuuondoa ubatili huu, mtu wa kulaumiwa sio Rais Samia, kwasababu yeye sio mwanasheria, and after all, tumekuwa tukiendesha chaguzi zetu zote kwa ubatili huu, hivyo taifa letu kujikuta linalaanika kwa adhabu za karma bila kujijua!.

Kwenye ubatili huu ninao uzungumzia hapa, kiukweli kabisa mhimili wa Serikali, Bunge na Mahakama, umetukosea sana Watanzania!.
Katika mihimili hiyo mitatu, ni mhimili wa serikali tuu ndio pekee unapowakosea Watanzania, unaweza kuushitaki mahakamani lakini mhimili wa Bunge na mhimili wa Mahakama, unapowakosea Watanzania, hakuna mahali popote pa kuwashitaki zaidi ya kutegemea huruma ya rais wa JMT pekee. Madudu haya ya ajabu ya kisheria yaliweza kufanyika vipi wakati tuna Wanasheria?

Kama hao wanasheria manguli wabobezi na wabobevu wa sheria ambao rais wa JMT anawategemea wamshauri, ndio hao hao waliotunga sheria batili inayokwenda kinyume cha katiba, na wakaipeleka Bungeni kutungwa kuwa sheria, sasa kunapotokea madudu ya ajabu ya marekebisho ya sheria kama haya yaliyoletwa jana Bungeni, unategemea nini?. Kumlaumu Rais Samia ambaye sii mwanasheria, ni kumuonea bure!.

Mpaka leo ninapoandika hapa, ubatili huo bado uko ndani ya katiba yetu!. Kwa vile Rais wa JMT sio mwanasheria, tulichofanya akina sisi, ni kumweleza Rais Samia kuwa baadhi ya wanasheria anaowategemea hawamsaidii, hivyo akina sisi tukajitolea kuwa bypass and reach out kumfikia Samia mwenyewe na kumweleza kupitia mitandao ya kijamii na makala magazetini kuwa katiba yetu ni batili!.

Paskali
Hili hoja ya ubatili wa katiba yetu uliochomekewa kiubatili bado ipo mpaka leo kwa hiki kinachoendelea sasa kwenye vikao vya Bunge vinaendelea jijini Dodoma kupitishwa miswada 3 ya sheria, ikiwemo sheria mpya ya uchaguzi inayokwenda kupitishwa na ubatili ule ule!

Swali ambalo bado najiuliza, mambo haya ya ajabu hivi ya Bunge letu Tukufu kujadili sheria ya uchaguzi yenye kifungu batili kinachokwenda kinyume cha katiba ya JMT
yanaweza kufanyika vipi wakati tuna wanasheria manguli wabobezi na wabobevu wa sheria!, huo unguli, ubobezi na ubobevu wa sheria ni kwenye nini?.
P
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa. Makala ya leo ni kuhusu fursa ya kuufanya uchaguzi Mkuu ujao wa Rais, Wabunge, Madiwani na serikali za mitaa utakuwa ni uchaguzi huru na wa haki.

Kwanza tukubaliane katika uendeshaji wa nchi, katiba, sheria, taratibu na kanuni ndio kila kitu.

Tangu tumepata uhuru wetu, nchi yetu Tanzania haijawahi kubahatika kupata rais ambaye ni mwanasheria, hivyo marais wetu wote wanawategemea wanasheria kwenye utengenezaji wa katiba, sheria, taratibu na kanuni, hivyo kukitokea madudu ya ajabu ya kisheria kama ubatili kwenye katiba yetu, rais ambaye sio mwanasheria, hawezi kujua kwasababu anawategemea washauri wake ambao ni wanasheria.

Mtu ambaye sii mwanasheria, hawezi kuujua ubatili wa sheria, atawategemea washauri wake wamwambie kuhusu issues zozote za kikatiba na kisheria, ikitokea hao washauri nao japo ni wanasheria lakini hawajui sheria kikamilifu, ndio wanampotosha rais wetu, ndio maana bandiko hili ni utetezi kwa rais wa JMT Asilaumiwe kwa yanayotokea kwenye issues zote za katiba na sheria kwasababu yeye sio mwanasheria.

Japo kuna huu msemo wa Kiswahili usemao "Mkubwa ni jalala" na "aliyekutwa na ngozi ndiye aliyekula nyama" maadam rais ndio kipo chetu na macho yetu yote tumeyaelekeza kwake, lakini kuna mengine tutakuwa tunamuonea bure!, ndio maana niliwahi kushauri Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda

Mfano mzuri na mfano hai ni katiba ya Tanzania ya 1977, imenajisiwa kwa kuchomekewa kifungu fulani batili, waliokichomekea kifungu hicho ni Bunge la JMT, aliyeubaini ubatili huo ni Mahakama Kuu ya Tanzania, aliyeulinda ubatili huo ni Mahakama ya Rufani ya JMT, hivyo mpaka hapa ninapozungumza, usikute Rais wa JMT, she is an innocent victim, hajui kuwa katiba ya JMT imenajisiwa kwa ubatili fulani kwasababu wanasheria washauri wake rasmi ni ama hawaujui ubatili huo ama wanaojua lakini hawamwambii ukweli rais wetu, hivyo ikitokea tukaenda kwenye uchaguzi Mkuu wa 2025 bila kuuondoa ubatili huu, mtu wa kulaumiwa sio Rais Samia, kwasababu yeye sio mwanasheria, and after all, tumekuwa tukiendesha chaguzi zetu zote kwa ubatili huu, hivyo taifa letu kujikuta linalaanika kwa adhabu za karma bila kujijua!.

Kwenye ubatili huu ninao uzungumzia hapa, kiukweli kabisa mhimili wa Serikali, Bunge na Mahakama, umetukosea sana Watanzania!.
Katika mihimili hiyo mitatu, ni mhimili wa serikali tuu ndio pekee unapowakosea Watanzania, unaweza kuushitaki mahakamani lakini mhimili wa Bunge na mhimili wa Mahakama, unapowakosea Watanzania, hakuna mahali popote pa kuwashitaki zaidi ya kutegemea huruma ya rais wa JMT pekee. Madudu haya ya ajabu ya kisheria yaliweza kufanyika vipi wakati tuna Wanasheria?

Kama hao wanasheria manguli wabobezi na wabobevu wa sheria ambao rais wa JMT anawategemea wamshauri, ndio hao hao waliotunga sheria batili inayokwenda kinyume cha katiba, na wakaipeleka Bungeni kutungwa kuwa sheria, sasa kunapotokea madudu ya ajabu ya marekebisho ya sheria kama haya yaliyoletwa jana Bungeni, unategemea nini?. Kumlaumu Rais Samia ambaye sii mwanasheria, ni kumuonea bure!.

Tukubali tukatae, Tanzania tuna tatizo kubwa la wanasheria wa ajabu!. Sakata la IGA ya DPW na Bandari ndio limetufungua macho!. Kwa mujibu wa katiba yetu Ile IGA ya DPW na Bandari zetu ni batili!, lakini IGA hiyo, pamoja na ubatili wake wote, bado ilipitishwa na Bunge letu Tukufu hivyo hivyo ilivyo without any reservations!, Japo Bunge Limeridhia, DPW Kuendesha Bandari Zetu, ni Makubaliano Tu, Tukithibisha Kuna Matatizo, Tunarekebisha Mkataba wa HGA, Kazi Nzuri Iendelee! tukauliza "IGA ya DPW imetusaidia sana kujitambua. Tuna wanasheria wa Aina Gani!, Bunge na Serikali yetu, Ilipitishaje IGA Hii? mwisho wa siku hii IGA, iliwekwa pembeni HGA safi ikasainiwa. Sasa unapowategemea wanasheria wa type hii ndio washauri wa sheria na wasaidizi wa Rais Samia, unategemea nini?!. Tusimlaumu kabisa Rais Samia.

Unaweza kufuatilia baadhi ya madudu ya ajabu ya kisheria yaliyofanywa na wanasheria wetu!


Mpaka leo ninapoandika hapa, ubatili huo bado uko ndani ya katiba yetu!. Kwa vile Rais wa JMT sio mwanasheria, tulichofanya akina sisi, ni kumweleza Rais Samia kuwa baadhi ya wanasheria anaowategemea hawamsaidii, hivyo akina sisi tukajitolea kuwa bypass and reach out kumfikia Samia mwenyewe na kumweleza kupitia mitandao ya kijamii na makala magazetini kuwa katiba yetu ni batili!.

Kuhusu huu ubatili kwenye katiba yetu, kama ni kumweleza Rais Samia, tumemweleza sana!.


Kikosi kazi kilipomaliza kazi tumampongeza tukamkumbusha. Pongezi Rais Samia, Serikali, Kukubali Kubadili Sheria ya Uchaguzi, Tume Huru ya Uchaguzi!. Tuanze na Katiba Kwanza Ndipo Sheria Au?.

Wakati hayo yote yakiendelea, tukamsikia Rais Samia akizungumzia haki tukajiuliza Rais Samia ana nia njema Watanzania wapate haki, ila Watanzania hawajui Haki! Je, Tumsaidie kuelimisha umma Katiba, Sheria na Haki au?

Kisha watu tukajitolea kufanya uelimishaji umma kuhusu katiba kupitia vipindi vya TV, Redio, makala magazetini na kwenye mitandao ya kijamii.
View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04?si=ElCUzq4FKy4oiGxP

Nikazungumza na wanasisa mbalimbali wana mategemeo gani kuhusu hali ya siasa, nikatengeneza Vox Populi, kwenye Vox Populi, ukikusanya sauti za wengi, ukaziweka sauti hizo pamoja, sauti hizo haziwi tena ni Vox Populi, zinageuka ni Vox Dei!.


Baada ya Serikali yetu sikivu kukubali italeta mabadiliko ya sheria ya uchaguzi na mabadiliko ya tume ya uchaguzi, tukashauri tena na tena!. Mabadiliko ya Sheria Bila Mabadiliko ya Katiba,Sawa na Kula Bila Kunawa!. Je Watanzania Tuna Haraka Sana na Uchaguzi Hadi Tukimbilie Kula Bila Kunawa?

Hatimaye jana Ijumaa, hiki ndio tukaletewa!. Sisi wa kupongeza tukapongeza Lile fupa lililowashinda marais wanaume 4, rais mwanamke 1 aligegeda kama mlenda!. Miswada 3 ya ukombozi mpya wa taifa letu yatua bungeni asubuhi hii

Kuna watu watamlaumu Rais Samia kwa kuamini ni yeye!, kumbe masikini ya Mungu, sio Rais Samia, yeye sio mwanasheria, hiki kilicholetwa Bungeni jana yaani ile Miswada ni kazi ya washauri wake ambao ni wanasheria. Tujifunze kuwa na Shukrani kwa Madogo ili Tupatiwe Makubwa!. Japo Tulitaka Kikubwa, Tumepewa Kiduchu!, Tukipokee Tushukuru, au Tususe Kudai Kikubwa?.

Sasa kwa vile tunayo miezi 3, ya kujadili na kutoa mapendekezo yetu, nashauri na kuwasisitiza tusimlaumu Rais Samia, wala tusiwalaumu wasaidizi wake, bali tutoe mapendekezo yetu kama tulivyofanya kwenye ile IGA, tukapata HGA nzuri.

Tupendekeze sheria nzuri ya uchaguzi na Tume huru na Shirikishi ya uchaguzi, naamini kabisa Rais Samia ni Rais msikivu na tutasikilizwa na mwisho wa siku tutabadili kwanza katiba kuondoa ubatili, kisha tutaunda Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi, Tutabadili sheria yetu ya uchaguzi kuleta sheria mzuri ya haki ya uchaguzi ambayo itasawazisha uwanja wa siasa, a level playing field, tutafanya uchaguzi wa Rais, Wabunge, Madiwani na serikali za mitaa, hivyo utafanyika kwa siku moja na utasimamiwa na Tume moja Huru ya Uchaguzi na uchaguzi Mkuu wa 2025 utakuwa ni uchaguzi huru na wa haki!.

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali

Mchakato wa kuwapata Wanasheria wa serikali upoje?au ndiyo mwendo wa vimemo!
Ile aibu tulipata kwenye Mahakama ya usuluhishi wa migogoro ya Kibiashara juu ya usitishwaji holela wa leseni za Madini ni balaa!, Wanasheria wetu bado sana!
 
Mchakato wa kuwapata Wanasheria wa serikali upoje?au ndiyo mwendo wa vimemo!
Ile aibu tulipata kwenye Mahakama ya usuluhishi wa migogoro ya Kibiashara juu ya usitishwaji holela wa leseni za Madini ni balaa!, Wanasheria wetu bado sana!
Nafasi huo zinatangazwa watu wanaomba.
P
 
Back
Top Bottom