Abstract. This book offers an analysis of the law of treaties as it emerges from the interplay between the 1969 Vienna Convention on the Law of Treaties an
opil.ouplaw.com
Mmekazana sana na mambo yasiyo na kichwa wala miguu kwenye huo mkataba kama sehemu ya matatizo.
Pitia article 18 ya ‘VCLT 1969’ hizo signature ndani ya huo mkataba hazina nguvu zozote za kisheria pekee yake, bila ya ratification.
Nguvu ya kisheria kwenye treaty inakuja baada ya ratification ya bunge. Vinginevyo mikataba yote ya baadae terms zake ambazo zipo kwenye treaty azitambuliki mahakamani kama ratification aikufanyika.
Kwanza nchi ingeweza ata ikana hiyo treaty (IGA) yenyewe ata kama raisi mwenyewe angekuwa ndio la sign; provided katika muda huo bunge lilikuwa bado alijaridhia.
Yaani watu mmekezana na upotoshaji badala ya kuwabana hawa watu tujue huko mbele ni kipi hawa wakezaji wanatoa, wanarudisha vipi investment yao na win situation kwetu ina sura gani katika hiyo mikataba. Hayo mambo hawajifikia bado au ndio wanajadiliana kwa sasa nyuma ya pazia.
Lakini wapotoshaji mmekazana na mambo yasiyo ya kichwa wala miguu; kuivuruga serikali matokeo yake tunaweza ata kuwatoa umakini kwenye future negotiations ambazo huko sasa wakiingia kichwa kichwa ndio nchi inaenda tandikwa kweli.