Madudu yaliyoibuliwa bandarini na Rais Samia mbona hayasemwi?

Madudu yaliyoibuliwa bandarini na Rais Samia mbona hayasemwi?

WNACH
Kuna ufisadi mkubwa ambao unazimwa kwa kuleta kampuni kubwa za nje kuendesha bandari.

Wizi umezidi bandarini.

Kwanza hizi ICSID zote zijulikane zinafanyaje kazi na nani wapo nyuma yao

si ndio maana wanapiga kelele mpaka wameajiri wa kuwasaidia huku kwenye mitandao ya jamii. We unafikiri ni watanzania wa kawaida walipa kodi ndio wanaopiga kelele humu, kila siku wanaokoteza mauzushi. Ndio haohao wanaona sasa watanyanganywa tonge. Rais wangu akaze mwendo awapuuze hawa wezi na majambazi wa mapato ya nchi yetu. Sasa hivi wezi ndio wanajifanya wazalendo zaidi. Shughuli za bandari lazima zibinafsishwe ili tupate kuona matunda km nchi siyo watu wachache, wao waendelee kuhonga watashtukia pesa za kuhonga zimeisha na DP World ndani ya nyumba
HIyo mijizi ni viongozi waandamizi wa chama kwanini asikae nayo kwenye vikao vya chama na kuiambia isiwe inakuwa bila kunawa.. uwezi kukata kichwa kwa kutibu shingo. Bandari kama kichwa alafu unataka kuondoa uozo bandarini kisha unaweka rehani bandari. Shida ni utendaji bandarini. Atengeneze au anunue mifumo ambayo nitafanya konteina zilipiwe mizigo ilipiwe bila simu kupigwa huo mzigo wa fulani uache upite.
 
WNACH



HIyo mijizi ni viongozi waandamizi wa chama kwanini asikae nayo kwenye vikao vya chama na kuiambia isiwe inakuwa bila kunawa.. uwezi kukata kichwa kwa kutibu shingo. Bandari kama kichwa alafu unataka kuondoa uozo bandarini kisha unaweka rehani bandari. Shida ni utendaji bandarini. Atengeneze au anunue mifumo ambayo nitafanya konteina zilipiwe mizigo ilipiwe bila simu kupigwa huo mzigo wa fulani uache upite.
Wewe kama unayafamu yote hayo kwanini usiisaidie nchi yako?
 
Swwali zuri sana, hayo ndiyo yakuwauliza waliopewa amri ya kuchukuwa hatua.

Hii vita siyo ndogo lama mnavyodhania.
Acha kuspin. Kama ametoa amri halafu haijatekelzwa ..... Ina maana wamedharau!!?

Sasa yeye kafanya nini kama hawatekelezi amri zake....!!?
 
Kwani kazi ya kiongozi ni ipi? Mi nianze kumsifu kwakuwa kafanya wajibu wake? hatua gani alichukua baada ya kuibua madudu au ndo kaamua kuwapa DP?

NB: Jamiifor ni kigezo gani mnampa mtu platinum member?
 
Miezi michache baada ya kuapishwa Urais. Rais Samia Suluhu Hassan alivunja bodi ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na Shirika la Meli kwa kuwaondoa wenyeviti wake baada ya kutoridhishwa na utendaji wao.

Rais Samia alitangaza uamuzi huo Jumamosi Desemba 4, 2021 wakati wa uzinduzi wa gati namba 0 hadi 7 katika bandari ya Dar es Salaam.

Kabla ya tangazo hilo, Rais Samia alieleza baadhi ya mapungufu yanayoikabili mamlaka hiyo, baadhi yake yakiwa katika ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) akihoji kwa nini hakuna hatua zozote zilizochukuliwa hadi sasa.

Bodi ya TPA inaundwa na mwenyekiti wake Prof Ignas Rubaratuka na naibu wake ni Dk Delphine Magere. Wajumbe hao ni Malata Pascal, Dk Jabiri Bakari, Masanja Kadogosa, Jayne Nyimbo, Mhandisi Ephrem Kirenga na Eric Hamissi ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa Bandari.

Aidha, ameitaka PCCB kuchunguza bodi hizo kwa kile kinachoendelea bandarini na kuwachukulia hatua waliohusika na upotevu wa fedha uliotajwa katika ripoti hiyo.

"Mkurugenzi, PCCB nakuagiza uchukue hatua dhidi ya watu hawa haraka iwezekanavyo na kama hakuna taarifa nitakupa maelezo ya kilichotokea hapa," alisema Rais Samia.

Alisema mifumo ya malipo bandarini kwa muda mrefu imekuwa ikiendeshwa na watumishi jambo ambalo linaonesha kuwa mizigo imekuwa ikilipiwa langoni lakini kwa maana halisi si kweli inasababisha upotevu wa mapato kwa nchi.

Alitoa wito kwa shirika la kupambana na rushwa kuja na majibu ya kwa nini yote haya yanatokea bado bodi na wafanyakazi waliohusika bado wako ofisini.

Pia aligusia juu ya idhini ya zabuni bandia na Shirika la Usafirishaji, huku akijua kuwa vigezo sahihi havikufuatwa na bodi ilihusika katika idhini na serikali ilikuja tu kujua baada ya kutuma watu nchini Uturuki kuchunguza kampuni hiyo.

Alimtaka Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi kuchukua hatua za haraka na endapo atashindwa, anapaswa kumjulisha ili kuchukua hatua zinazohitajika ikiwa ni pamoja na kumteua waziri mpya.

Chanzo: Tanzania: President Samia Dissolves Tanzania Ports Authority, Shipping Corporation Boards
Rais hatakiwi kuibua madudu bali hutakiwa kuwachukulia hatua wanaofanya madudu.

Kama Rais atakuwa muibuaji wa madudu, ni nani atatakiwa kuchukua hatua?
 
Wewe kama unayafamu yote hayo kwanini usiisaidie nchi yako yangu macho tu JPM na ulinzi wote na roho wamemtoa sembuse mimi nisienageti mlango wa mabua.mimi na wewe tuendelee kupiga kelele humu kama mwenyewe tuliyempa dhamana alivyosema sisi ni kama kelele za mlango hatumnyimi usingizi, ila bawaba zikiwa na kutu kelele zake zinaleta.

 
UMEKOSA BUSARA, MAGUFULI ALIWATEGEMEZA MKAKOSA KUFIKIRI WENYEWE

Isome post #1, ukiweza na links zake, halafu tueleze unaongelea nini kuhusu hilo? Ulita serikali iyaachie hayo madudu?
 
Kahongwa nini?? Ina maana angebaki Balozi angefunga mdomo wake sasa kama wakati wa Magufuli???

Jisikilizie clip hii chini, mbona wazi kabisa:

 
Rostam yule mropokaji aliyeomba msamaha kwa kuropoka kwake au mwingine?!

Bibi tulia hili game bado sana.

Kamuomba msamaha nani? Au Slaa siku hizi kawa jaji?

Msikilize post ya juu hapo.
 
Rostam yule mropokaji aliyeomba msamaha kwa kuropoka kwake au mwingine?!

Bibi tulia hili game bado sana.

Hapa hakuna swala la kurekebisha mapungufu,the whole agreement must be scraped,na hatutaki tena CCM isimamie serikali yetu,it must go,we want a completely different setting,CCM has lost all credibity.Miaka nenda miaka rudi ni mikataba mibovu,rushwa na ufisadi kila eneo,hakuna kuwajibishana,no we are fed up,CCM imepoteza trust ya Watanzania it must be uprooted by all possible means.

Subiri sanduku la kura 2025.

Wakati unasubiri, soma vizuri post #1 juu hapo.
 
Miezi michache baada ya kuapishwa Urais. Rais Samia Suluhu Hassan alivunja bodi ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na Shirika la Meli kwa kuwaondoa wenyeviti wake baada ya kutoridhishwa na utendaji wao.

Rais Samia alitangaza uamuzi huo Jumamosi Desemba 4, 2021 wakati wa uzinduzi wa gati namba 0 hadi 7 katika bandari ya Dar es Salaam.

Kabla ya tangazo hilo, Rais Samia alieleza baadhi ya mapungufu yanayoikabili mamlaka hiyo, baadhi yake yakiwa katika ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) akihoji kwa nini hakuna hatua zozote zilizochukuliwa hadi sasa.

Bodi ya TPA inaundwa na mwenyekiti wake Prof Ignas Rubaratuka na naibu wake ni Dk Delphine Magere. Wajumbe hao ni Malata Pascal, Dk Jabiri Bakari, Masanja Kadogosa, Jayne Nyimbo, Mhandisi Ephrem Kirenga na Eric Hamissi ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa Bandari.

Aidha, ameitaka PCCB kuchunguza bodi hizo kwa kile kinachoendelea bandarini na kuwachukulia hatua waliohusika na upotevu wa fedha uliotajwa katika ripoti hiyo.

"Mkurugenzi, PCCB nakuagiza uchukue hatua dhidi ya watu hawa haraka iwezekanavyo na kama hakuna taarifa nitakupa maelezo ya kilichotokea hapa," alisema Rais Samia.

Alisema mifumo ya malipo bandarini kwa muda mrefu imekuwa ikiendeshwa na watumishi jambo ambalo linaonesha kuwa mizigo imekuwa ikilipiwa langoni lakini kwa maana halisi si kweli inasababisha upotevu wa mapato kwa nchi.

Alitoa wito kwa shirika la kupambana na rushwa kuja na majibu ya kwa nini yote haya yanatokea bado bodi na wafanyakazi waliohusika bado wako ofisini.

Pia aligusia juu ya idhini ya zabuni bandia na Shirika la Usafirishaji, huku akijua kuwa vigezo sahihi havikufuatwa na bodi ilihusika katika idhini na serikali ilikuja tu kujua baada ya kutuma watu nchini Uturuki kuchunguza kampuni hiyo.

Alimtaka Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi kuchukua hatua za haraka na endapo atashindwa, anapaswa kumjulisha ili kuchukua hatua zinazohitajika ikiwa ni pamoja na kumteua waziri mpya.

Chanzo: Tanzania: President Samia Dissolves Tanzania Ports Authority, Shipping Corporation Boards
Waliotakiwa kuchukua hatua ni serikali inayoongozwa na nani, na wanaotaka kuuza bandari yetu ni serikali inayoongozwa na nani?
 
Subiri sanduku la kura 2025.

Wakati unasubiri, soma vizuri post #1 juu hapo.
Not this time around,lady.Note this very carefully,hatujawahi kupaza sauti zetu this much.Hata mpira una elastic limit,we are there already.Ukisikia vijana wanasema tutafutiwe silaha twenda porini we are ready,you know something is seriously wrong.Listen to this.You believe this is business as usual?Not at all.

 
Waliotakiwa kuchukua hatua ni serikali inayoongozwa na nani, na wanaotaka kuuza bandari yetu ni serikali inayoongozwa na nani?
Kwani serikali inaongowa na nani?

Unafikiri bandari ni chapati ile hata iuzwe?
 
Not this time around,lady.Not this very carefully,hatujawahi kupaza sauti zetu this much.Hata mpira una elastic limit,we are there already.Ukisikia vijana wanasema tutafutiwe silaha twenda porini we are ready,you know something is seriously wrong.
Sasa hivi si mnadanganywa na hao walioporwa na tonge la wizi mdomoni.

Umeisoma post #1?
 
The truth is Eric Hamisi aliondokewa ili kurahisisha kazi ya kuwaleta DPW. Utakumbuka, hii ilikuwa siku chache baada ya ku kutoka Dubai Expo ambako mkataba wa DPW ulisainiwa.

Erick alikuwa anasisitiza utaratibu ufuatwe ikiwa ni pamoja na kutangaza tender
Kumbe nikikaa hapa nitapata abcd....... ongezea nyama kidogo mkuu
 
Mimi ushauri wangu huu uwekezaji usiishie kwenye bandari, kila ikisomwa ripoti ya CAG Ofisi yoyote itakayokutwa na mapungufu apewe mwekezaji[emoji205]
Wizara zote apewe muwekezaji naamini tutapiga hatua.
 
Back
Top Bottom