msabillah
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 4,764
- 3,192
hilo halina shaka kabisa.Mara ya mwisho mimi kuumwa na kula dawa za kisasa ni 2003. NADHANI NIKIUMWA SASA NAKUFA MOJA KWA MOJA MAANA SIJAWAHI KUUMWA.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hilo halina shaka kabisa.Mara ya mwisho mimi kuumwa na kula dawa za kisasa ni 2003. NADHANI NIKIUMWA SASA NAKUFA MOJA KWA MOJA MAANA SIJAWAHI KUUMWA.
Na hapo unakuta anahudumia vijiji vitatuWewe unaishi nchi ipi? Kijijini tunakua na nesi moja wa cheti anafanya kazi zote, ndo mfamasia, dakitali bingwa nda anae zalisha, nda anae kuelekeza dawa, na maisha ya naenda tena sio kila siku upo . Kumkuta ni bahati kwa wiki anakuepo siku tatu tu, hi nchi bado sanaaaa
Umewakagua au umehadithiwa ukakimbilia huku?....Wengi wanaofanya hizo huduma hawana taaluma yoyote