Maelezo jinsi Mke wa Bilionea Msuya alivyomuua wifi yake yasomwa mahakamani

Huyo binti alipewa hela ili aondoke akaenda kisarawe huko. Wao wakaja kufanya mauaji ili ionekane yule binti ndo kaua halafu kakimbia. Ukipata muda fuatilia huu mkasa vizuri utapata picha kwa ukubwa.
 
Milion 20 unafanya kazi kitoto namna hiyo [emoji30][emoji30][emoji30]

Ila tamaa mbaya sana yule kapoteza maisha wakati alishapewa 40% yake na huyu anakwenda kuozea Jela na hizo mali kuzikosa
 
Je unajuwaje Kama mtuhumiwa alikamatwa lakini akamalizana kimyakimya na wakamataji!? Watu wakafuta midomo Kama vile hakuna aliyekula!? Case study Mtwara Police!!
Nakubaliana na wewe hapo..hili linawezekana Sana tu ....

Ila wapo wamesomea serial killers .. utaalam toka hukohuko walikosomea njagu.. wengine waajiriwa kabisa!

Usipime .. ..wanaakili na mipango utashangaa

Walikamatwa watu kwa mauaji... ..wakati wapo sello..aliyeshuhudia kakutwa ndani mwao kafa ghafla.. ..kesi kwishney.. .. waliobaki wote wakakataa ushirikiano...

Kapuliziwa sumu..
 
Wanawake wenye sura kama hizo huwa ni magaidi wakiongozwa na roho mbaya.
 
Kuna watu humu ni wauaji, yaani mtu anakosoa plan alafu anatoa ya kwake.
Hii Dunia hatari sana furaha ya kweli hutakaa uipate kwenye mali
Hakika mkuu nimegundua kuna comment za watu wamewahi kuuwa ila wakae watambue damu ya mtu si kama ya kuku
 
Hiyo asili inaishia kizazi cha ngapi?

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Watu wanaroho kavu kwelikweli, Sijui wanazitoa wapi🤔
 
Kumbuka hawa n wachaga kwa pesa kuuwa mtu kwao sio ishu
 
 
Huyu mwanamke itakuwa ndo yeye alimuua mmewe pia. Ikute alilipa watu wamuue mmewe ili arithi mali. Sasa ona Kamuua wifi yake tena. Sasa hata mali kazikosa. Kweli damu ya mtu haipotei bure.
Umesoma uzi lakini..?!?..ni kama una assume,wakati ishawekwa wazi..

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Pole kwake
 
maisha haya wa kumwamini 99% ni mzazi wako tu! ndugu wengne; rafik ,jamaa ama mke/mume wnaeza kukubdlikia anytime!
 
"Siku ya tukio house maid aliamriwa aondoke na alinunuliwa simu kwa mawasiliano zaidi pia alionyeshwa pesa kwenye briefcase "yaani wameacha bonge la" Alama" lazima wangekuja tu kukamatwa! unless wangemtafuta pia huyo maid alipo wakamziba mdomo kama tunavyoonaga kwenye movies za kimafia. Kwenye matukio kama hayo kunawatu wanaitwa "Cleaners"kazi yao ni kufuta Alama zozote zinazowezekana kuachwa wakati wa process za tukio na mara nyingi huwa pia wanapita pia kwa yule aliyetekeleza hilo tukio ili kuondoa uwezekano wa huyo muuaji ku blackmail baadae, kwa hilo tukio cleaner angewanyamazisha huyo Ray na House maid soon baada ya tukio kukamilika hapo ndio mama angekuwa at least salama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…