Nimekuuliza inachukua muda gani kwa mtu kupata usajili UBER hujajibu mpaka sasa. Wewe ni msemaji wa UBER au raia tu?Hongera sana mkuu, kutumia Uber
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuuliza inachukua muda gani kwa mtu kupata usajili UBER hujajibu mpaka sasa. Wewe ni msemaji wa UBER au raia tu?Hongera sana mkuu, kutumia Uber
Huduma ya kusajili madreva wapya imesimamishwa kwa sasa mkuu; mpaka December.Samahani kwa kuchelewa kukujibu.Nimekuuliza inachukua muda gani kwa mtu kupata usajili UBER hujajibu mpaka sasa. Wewe ni msemaji wa UBER au raia tu?
Mhe salama ? Hoja yangu ni kuhusu uwekezaji uber kwa maana wamiliki wa magari kwa kutumia soko la uber.Teknolojia inaenda mbele, tusibaki nyuma wadau. Epuka kulipa gharama kubwa,Tumia Uber, ni rahisi,nafuu na salama.
Bado lipo ?Kama kuna dereva anahijaji gari kwa ajili ya Uber ni PM.
Kiongozi ushaanza tayr kazPoa poa mkuu
Ndio mkuu...ila saiv nimesitisha kidogo niko mkoani
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
Iyo c3 naweza nikaipata haina shida ila waswas wangu upo kwenye abiria na kama kwel kuna maslah maana kuna mtu anataka kunipa gari ila yeye hesabu ni 20000 kwa siku je na mim ntabak na kitu nikikomaa mkuu em nielekeze kwa experince yako uliyovyofanya kazClass D mkuu kwa gari za usafirishaji kama uber haiwezekani maana ile ni Tax...unatakiwa uwe na leseni daraja C3
Gari iwe na cc ndogo, iwe na ac, hapo utapiga kazi Tsh 20,000 kwa siku ndogo mkuu... mimi hesabu yangu ilikua Tsh 30,000 na nilikua nalipa na pesa yangu kidogo napata bila shida....komaa chukua kazi iyo
Jaribu kuwafuta wenyewe.....nadhan tovut yao INA contact zao