Maelezo ya Wenje yamenyooka zaidi kuliko tuhuma za Lissu! Huenda Mbowe bado ni mtu sahihi zaidi kuongoza CHADEMA

Unalipwa bei gani?
 
Unahitaji uwe kichaa ili utetee huu uchafu yaani malipo ya Lisu ayaulizie Kwa Abdul ambaye sio mfanyakazi wa serikali
Ingekuwa hivyo basi angekuwa ameishapata maana hajaanza jana kudai malipo yake serikalini. Hata alipoonana na Mkuu wa Nchi Ulaya alimwambia kuhusu malipo yake. Si wanasema dalili ya kichaa ni kurudia kufanya kile kile siku zote na kutegemea matokeo tofauti? Ulitaka Lissu aendelee kuwaomba watu wa serikali ambao siku zote wanampiga dana dana?

Amandla...
 
Sasa hayo maelezo yaliyonyooka yako wapi? Labda, hata wewe huyaamini hayo maelezo yake. Wenje ni ZZK tu, hawezi kuacha fursa yoyote ya hela, namjua kwa karibu sana.

Labda nikuache na wosia wangu, ni kwamba, mtu pekee wa kumwamini katika harakati, ni wewe mwenyewe.

Ova
 
Wewe kama mtu mzima, ulitarajia wenje atakubali kua zilikua ni pesa za hongo
 
Si kasema Lissu alikuwa anaharisha tokea Arusha Au hukusikia?

Sasa hiyo ni tafsir yako ya Rushwa ..

Nchi hii haya mambo yanayokea mara nyingi na ni ya kawaida sana...

Suala la gaps za miez sita ndio Lissu anakuja kusema hilo unalionaje
 
Inawezekana kabisa ukizingatia pia kuna pesa ambayo Wenje alikuwa anategemewa atalipiwa kutokea malipo ambayo Lissu angelipwa na serikali, imetokea wamekaa na mtu wa karibu kabisa wa demigod wa nchi akaona ngoja ajaribu bahati yake labda wanaweza kumtendea Lissu haki yake na yeye akaambulia shillingi alizotumbukiza kuokoa uhai wa Lissu.
 
Lissu ana make up story for political survival...

Ukimsikiliza Wenje anaongea vitu vinavyotokea kila siku kwenye maisha ya kaz na kwenye mapambano ya Kila Siku
Fikiria Wenje anamdai Lissu kea madai kwamba akilipwa na yeye atampa fedha zake, cha kushangaza mtu anamsaidia apate malipo yake ba Email anatuma..

Miez sita baadae anamwita mla rushwa ..kweli?
Hoja za kwenda nyumbani kwake ni kwasababu alikuwa anaharisha tokea Arusha mbona hilo hasemi?

Siasa za kuchafua wengine ili wewe ukae hapo juu ..

Mtu wa hovyo sana
 

Yako wapi maelezo yake?



Chawa yamewakuta!
 
Wenje anadai walimpelekea document abdul ili averify?

Abdul anaverify malipo ya serikali? Abdul anacheo gani serikalini?
Kwenye utawala wa Mama kuna cheo cha "rais mtoto" yule jamaa wa Chato alikuwa hapendi mambo ya kipumbavu ya kuwa na Mastermind km huyo.
 

Imekaa kinyonge sana:



Kwamba itakuwaje sasa, siyo?
 
Kwenye utawala wa Mama kuna cheo cha "rais mtoto" yule jamaa wa Chato alikuwa hapendi mambo ya kipumbavu ya kuwa na Mastermind km huyo.
Bashite na mpwa.
 
Yamenyoka lkn huyaweki hapa Ili na sisi tuyasikie. Lakini pia wewe ushachagua upande tangu muda mrefu kabla hata hujasikiliza hizo tuhuma.

Thubutu!

Ayaweke hapa?

Kwani akiulizwa cheo cha Abduli serikalini, majibu atayatoa wapi?

Si walisema njia ya mwongo ni fupi?
 

Yahitaji mwenda wazimu kuamini asemacho Wenje.

"Body language ya wenje inasema anadanganya, kwenye kusoma human body language when telling lies,Facial expressions,liars may have flared nostrils, bite their lip, blink rapidly, or sweat.
Fidgeting: Liars may shuffle their feet, rock back and forth,or move their head to the side."


Mwisho wa kumnukuu.

Hadi mwamba atakaponyoosha maelezo baadaye Leo, tutasikia mengi!
 
Huyu jamaa masaa aliyotoa kwamba atatoa uamuzi km atagombea si yashaisha?
Au bado anabembelezwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…