Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 3,278
- 6,843
watu hutupa mawe kuiga kile alichokifanya nabii ibraahim amani iwe juu yake wakati anamtupia mawe shetani akimshawishi asitekeleze amri ya kumchinja mwanawe, na haya yote yanafanyika kwaajili ya utiifu kwa mola wa mbingu na ardhi, vipi ufananishe na kwenda kuwanyenyekea babu zako waliogeuka mizimu huko msituni ambao hawawezi kukudhuru wala kukunufaisha?.Kuvaa mavazi meupe na kwenda kurusha mawe ya kumpiga shetani huko Makka na kuabudu miti kuna tofauti ipi ?
Sasa matendo au imani ya Nabii Ibrahim na wewe mtu wa Tanzania wapi na wapi ?watu hutupa mawe kuiga kile alichokifanya nabii ibraahim amani iwe juu yake wakati anamtupia mawe shetani akimshawishi asitekeleze amri ya kumchinja mwanawe, na haya yote yanafanyika kwaajili ya utiifu kwa mola wa mbingu na ardhi, vipi ufananishe na kwenda kuwanyenyekea babu zako waliogeuka mizimu huko msituni ambao hawawezi kukudhuru wala kukunufaisha?.
tatizo mkuu hapa itakuwa ngumu kidogo kuelewana unajua kwasababu gani? kwasababu sisi tumekubali kujisalimisha na kuyapokea yale yote yaliyokuja katika quran na hadithi za mtume,na wewe hujakubali umechagua njia unayoitaka mwenyewe, sasa kweli unataka unirudishe kuyaabudu makaburi kina ng'wana malundi kweli mkuu?.Sasa matendo au imani ya Nabii Ibrahim na wewe mtu wa Tanzania wapi na wapi ?
Okay, tufanye hivi na wewe mtoe mwanao awe sadaka ya kuteketezwa kama alivyofanya Nabii Ibrahim.
Mzee, kukataa asili yako siku zote ni utumwa.
si kweli, majibu ya hizo hoja nimekupa hapo juu ila umefanya kama huoni nimekueleza aya zote zina sababu ya kushuka kwake, hili nadhani limekuzidi maarifa tuachane nalo.
Kuhusu hilo suala la ndoa nakariri tena kwako ndoa ilifungwa akiwa na miaka 9 na alikabidhiwa baada ya kukua kutoka kwa wazazi wake, yeye mtume muhammad ndie baba wa ustaarabu ulimwenguni ni muhali yeye kufanya uchafu kama huo.
Ama kuwahusu hao magaidi ambao ukichunguza wameua waislamu wengi kuliko hata wakristo jambo lao nimeshakueleza hapo juu na hii haileti maana ya kuuchafua uislamu kwasababu wanachokifanya si katika mafunzo ya uislamu.
Niletee hiyo aya mkuu, quran dunia nzima iko sawa hakuna tofauti ya version wala herufi leta hiyo aya iliyosema hilo jambo la ndoa ya miaka 6, ukiileta hapa mimi leo leo napanda basi nakuja kuukana uislamu hapo nairobi maana ni mwenyeji na tutawapa update wana jamiiforums.Aya hushushwa kwa kusudi la kutoa maagizo kwa waumini wa dini, sitaki kuamini kwamba kuna aya za kufuata na zingine za kupuuzwa, mumeagizwa mchinje wasio waislamu, na kweli waislamu asili wanaendelea kutekeleza hayo, ila kwa nyie mliodandia ndio mpo busy kutuandikia nadharia....
kurani yenu inasema mohammed alikabidhiwa hako katoto kakikwa na umri wa miaka 6, ila akaja kukafumua kalipotimia umri wa miaka 9, ustaarabu upi huo mzee mzima wa kiarabu miaka 53 hana aibu kuingilia mtoto wa miaka 9 huku akikachezesha kwa midoli, hapo ndio laana yenu ilipoanzia.....nje huku kila nikitazama katoto kasichana ka umri huo nawaza ukatili wa huyo babu.
Kuna imani ya kidini ambayo watu wake hawazuru makaburini ?tatizo mkuu hapa itakuwa ngumu kidogo kuelewana unajua kwasababu gani? kwasababu sisi tumekubali kujisalimisha na kuyapokea yale yote yaliyokuja katika quran na hadithi za mtume,na wewe hujakubali umechagua njia unayoitaka mwenyewe, sasa kweli unataka unirudishe kuyaabudu makaburi kina ng'wana malundi kweli mkuu?.
Hujanielewa mkuu, ukienda kwenye kaburi ukaomba shida zako na kushitakia matatizo yaliyokuzidi unakuwa umeenda kuzuru au kufanya ibada ya maombi?.Kuna imani ya kidini ambayo watu wake hawazuru makaburini ?
Na kuzuru makabuurini sio kuabudu kaburi.
Mnahubiri amani huku mmeficha mapanga..heheee nani asiyejua nchi na matajiri wakiarabu wanafadhiri hayo makundi.Mashia wana swala yao wanayoijua wao, wana kila kitu tofauti na uislamu na sisi huwapiga vita kwa elimu duniani kote na kuwaharibia mipango yao ya kusambaza uyahudi kwa mlango wa nyuma.
Muasisi wa ushia ni abdullahi ibn saba' naye alikuwa myahudi, sisi tuko mbali nao na wao wako mbali na sisi.Ama uislamu ni dini ya amani isiyoruhusu damu ya mtu kumwagwa pasi na sababu bali uislamu umekataza kabisa mambo ya migomo na maandamano.
Na hao wanaosema allahu akbar kisha wakachinja watu mfano wa ISIS, boko haram au hao alshabaab wanaowasumbua hapo kenya, mbele ya uislamu hao watu ni mbwa wa motoni na uislamu umewataja vibaya mno na kwa mujibu wa uislamu wanatakiwa kuuwawa kwani madhara yao kwa umma na jamii kwa ujumla ni makubwa mno, kwa kumalizia hao wahuni wanaofanya vitendo hivyo kwa kisingizio cha allahu akbar wako mbali na uislamu na uislamu u mbali mno na wao.
Nikuulize mbona akichinja mtu mwingine hamli na mbona mnagangania muwe wachinjaji huko machinjioni hata kufuga hamjui zaidi ya kufuga midevu.mkuu uislamu unaelekeza hivi jinsi ya kuishi na watu wasio waislamu ambao hawana uadui wala hawatuzuii kwenye kutekeleza yaliyo ya lazima kwetu.
"allah hakukatazeni kuwafanyia wema na uadilifu wale ambao hawakukupigeni vita, wala hawakukutoeni katika majumba yenu, kwamba muwafanyie wema na muwafanyie uadilifu juu yao, hakika allah anawapenda wafanyao uadilifu."
quran 60:8
Sasa mbona waislamu wengi ndio wanaenda Makaburini kufanya hayo matambiko ?Hujanielewa mkuu, ukienda kwenye kaburi ukaomba shida zako na kushitakia matatizo yaliyokuzidi unakuwa umeenda kuzuru au kufanya ibada ya maombi?.
Umeeelezea Vizuri Sana. Lakini Shida Ni kwanini hamjitokezi Mbele ya UMA kuyapinga Hayo Makundi? Mnapo hubili Kwenye Nyumba zenu za Ibada Mbona Hamu laani Matendo Mabaya yanayo Fanya na Alshabab,BOKO haram,ISIS na ALQAIDA???Mashia wana swala yao wanayoijua wao, wana kila kitu tofauti na uislamu na sisi huwapiga vita kwa elimu duniani kote na kuwaharibia mipango yao ya kusambaza uyahudi kwa mlango wa nyuma.
Muasisi wa ushia ni abdullahi ibn saba' naye alikuwa myahudi, sisi tuko mbali nao na wao wako mbali na sisi.Ama uislamu ni dini ya amani isiyoruhusu damu ya mtu kumwagwa pasi na sababu bali uislamu umekataza kabisa mambo ya migomo na maandamano.
Na hao wanaosema allahu akbar kisha wakachinja watu mfano wa ISIS, boko haram au hao alshabaab wanaowasumbua hapo kenya, mbele ya uislamu hao watu ni mbwa wa motoni na uislamu umewataja vibaya mno na kwa mujibu wa uislamu wanatakiwa kuuwawa kwani madhara yao kwa umma na jamii kwa ujumla ni makubwa mno, kwa kumalizia hao wahuni wanaofanya vitendo hivyo kwa kisingizio cha allahu akbar wako mbali na uislamu na uislamu u mbali mno na wao.
Wakikemea nawao vichwa vyao halali ya boko bokohallam..unaambiwa hao magaidi ndio wanauishi uislam halisia...hawa wengine ni waissalm wa mchongo.Umeeelezea Vizuri Sana. Lakini Shida Ni kwanini hamjitokezi Mbele ya UMA kuyapinga Hayo Makundi? Mnapo hubili Kwenye Nyumba zenu za Ibada Mbona Hamu laani Matendo Mabaya yanayo Fanya na Alshabab,BOKO haram,ISIS na ALQAIDA???
Unambishia hadi Aisha mwenyewe tena Brother.Niletee hiyo aya mkuu, quran dunia nzima iko sawa hakuna tofauti ya version wala herufi leta hiyo aya iliyosema hilo jambo la ndoa ya miaka 6, ukiileta hapa mimi leo leo napanda basi nakuja kuukana uislamu hapo nairobi maana ni mwenyeji na tutawapa update wana jamiiforums.
Ukishindwa kuleta basi itakuwa hoja imeshakusimamia juu yako na utaangamia.
Niletee hiyo aya mkuu, quran dunia nzima iko sawa hakuna tofauti ya version wala herufi leta hiyo aya iliyosema hilo jambo la ndoa ya miaka 6, ukiileta hapa mimi leo leo napanda basi nakuja kuukana uislamu hapo nairobi maana ni mwenyeji na tutawapa update wana jamiiforums.
Ukishindwa kuleta basi itakuwa hoja imeshakusimamia juu yako na utaangamia.
naam wanaenda wengi tu waislamu na hilo jambo linapigwa vita na uislamu usiku na mchana na wao hawaachi kwenda, hii inawadhuru wao wenyewe na ushirikina wao na si dini ya uislamu katu.Sasa mbona waislamu wengi ndio wanaenda Makaburini kufanya hayo matambiko ?
Sijamaanisha wakristu hawaendi.
Mkuu hiyo kazi inafanyika usiku na mchana na sisi ndio tunaotuliza hali ya amani kwa upande wa hawa watu wenye siasa kali na ndio maana kila wakiibuka tunawaonesha ubaya wao hawadumu wanapotea, angalia aboud rogo, ibrahim lenard, ilunga kapungu na wengine wengi wenye kufuata mrengo kama huo usiohusiana na uislamu kwa lolote, watu hawa hakuna anaeweza kuwazungumza na kubatilisha hoja zao zaidi ya sisi waislamu wenyewe.Umeeelezea Vizuri Sana. Lakini Shida Ni kwanini hamjitokezi Mbele ya UMA kuyapinga Hayo Makundi? Mnapo hubili Kwenye Nyumba zenu za Ibada Mbona Hamu laani Matendo Mabaya yanayo Fanya na Alshabab,BOKO haram,ISIS na ALQAIDA???
Anaambiwa na nani? hao magaidi ungejua ni washirikina wabakaji bali walawiti kabisa kwasababu wao wanajidanganya kuwa maadam hakuna dola ya kiislamu duniani basi kila kitu ni halali mpaka dola ije, siku wakimkamata mkeo wakahamia nae mapangoni ndio utajua ni uislamu halisi au ni huo wa mchongo unaousemea.Wakikemea nawao vichwa vyao halali ya boko bokohallam..unaambiwa hao magaidi ndio wanauishi uislam halisia...hawa wengine ni waissalm wa mchongo.
#MaendeleoHayanaChama
Hutamuina Tena humu huyu jamaa. Umempiga na kitu kizito kichwanUnambishia hadi Aisha mwenyewe tena Brother.
Sahih Muslim 1422 b
'A'isha (Allah be pleased with her) reported:
Allah's Apostle (ﷺ) married me when I was six years old, and I was admitted to his house when I was nine years old.
وَحَدَّثَنَا يَحْيَى بْنُ يَحْيَى، أَخْبَرَنَا أَبُو مُعَاوِيَةَ، عَنْ هِشَامِ بْنِ عُرْوَةَ، ح وَحَدَّثَنَا ابْنُ نُمَيْرٍ، - وَاللَّفْظُ لَهُ - حَدَّثَنَا عَبْدَةُ، - هُوَ ابْنُ سُلَيْمَانَ - عَنْ هِشَامٍ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ عَائِشَةَ، قَالَتْ تَزَوَّجَنِي النَّبِيُّ صلى الله عليه وسلم وَأَنَا بِنْتُ سِتِّ سِنِينَ وَبَنَى بِي وَأَنَا بِنْتُ تِسْعِ سِنِينَ .
Sahih al-Bukhari 3896
Narrated Hisham's father:
Khadija died three years before the Prophet (ﷺ) departed to Medina. He stayed there for two years or so and then he married `AishAisha when she was a girl of six years of age, and he consumed that marriage when she was nine years old.
حَدَّثَنِي عُبَيْدُ بْنُ إِسْمَاعِيلَ، حَدَّثَنَا أَبُو أُسَامَةَ، عَنْ هِشَامٍ، عَنْ أَبِيهِ، قَالَ تُوُفِّيَتْ خَدِيجَةُ قَبْلَ مَخْرَجِ النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم إِلَى الْمَدِينَةِ بِثَلاَثِ سِنِينَ، فَلَبِثَ سَنَتَيْنِ أَوْ قَرِيبًا مِنْ ذَلِكَ، وَنَكَحَ عَائِشَةَ وَهْىَ بِنْتُ سِتِّ سِنِينَ، ثُمَّ بَنَى بِهَا وَهْىَ بِنْتُ تِسْعِ سِنِينَ.
Sahih al-Bukhari 5133
Narrated `Aisha:
that the Prophet (ﷺ) married her when she was six years old and he consummated his marriage when she was nine years old, and then she remained with him for nine years (i.e., till his death)
.، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ عَائِشَةَ ـ رضى الله عنها ـ أَنَّ النَّبِيَّ صلى الله عليه وسلم تَزَوَّجَهَا وَهْىَ بِنْتُ سِتِّ سِنِينَ، وَأُدْخِلَتْ عَلَيْهِ وَهْىَ بِنْتُ تِسْعٍ، وَمَكَثَتْ عِنْدَهُ تِسْعًا.
Sunan an-Nasa'i 3255
It was narrated from 'Aishah that the Messenger of Allah married her when she was six years old, and consummated the marriage with her when she was nine.
أَخْبَرَنَا إِسْحَاقُ بْنُ إِبْرَاهِيمَ، قَالَ أَنْبَأَنَا أَبُو مُعَاوِيَةَ، قَالَ حَدَّثَنَا هِشَامُ بْنُ عُرْوَةَ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ عَائِشَةَ، أَنَّ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم تَزَوَّجَهَا وَهِيَ بِنْتُ سِتٍّ وَبَنَى بِهَا وَهِيَ بِنْتُ تِسْعٍ .
Grade: Sahih (Darussalam)
Reference : Sunan an-Nasa'i 3255
unaelewa kinachozungumziwa hapa? basi umeleta hoja iliyokazia zaidi nilichokisema hakuishi nae kindoa akiwa na miaka sita bali baada ya kukua na kukabidhiwa kwake, ila makusudio ya hapo juu ilikuwa ni alete aya kwenye quran kama alivyodai jambo ambalo hatoliweza bali hata wewe hadithi uliyoileta imevunja hoja yake ya kusema alianza kutumikia ndoa akiwa na miaka 6.Unambishia hadi Aisha mwenyewe tena Brother.
Sahih Muslim 1422 b
'A'isha (Allah be pleased with her) reported:
Allah's Apostle (ﷺ) married me when I was six years old, and I was admitted to his house when I was nine years old.
وَحَدَّثَنَا يَحْيَى بْنُ يَحْيَى، أَخْبَرَنَا أَبُو مُعَاوِيَةَ، عَنْ هِشَامِ بْنِ عُرْوَةَ، ح وَحَدَّثَنَا ابْنُ نُمَيْرٍ، - وَاللَّفْظُ لَهُ - حَدَّثَنَا عَبْدَةُ، - هُوَ ابْنُ سُلَيْمَانَ - عَنْ هِشَامٍ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ عَائِشَةَ، قَالَتْ تَزَوَّجَنِي النَّبِيُّ صلى الله عليه وسلم وَأَنَا بِنْتُ سِتِّ سِنِينَ وَبَنَى بِي وَأَنَا بِنْتُ تِسْعِ سِنِينَ .
Sahih al-Bukhari 3896
Narrated Hisham's father:
Khadija died three years before the Prophet (ﷺ) departed to Medina. He stayed there for two years or so and then he married `AishAisha when she was a girl of six years of age, and he consumed that marriage when she was nine years old.
حَدَّثَنِي عُبَيْدُ بْنُ إِسْمَاعِيلَ، حَدَّثَنَا أَبُو أُسَامَةَ، عَنْ هِشَامٍ، عَنْ أَبِيهِ، قَالَ تُوُفِّيَتْ خَدِيجَةُ قَبْلَ مَخْرَجِ النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم إِلَى الْمَدِينَةِ بِثَلاَثِ سِنِينَ، فَلَبِثَ سَنَتَيْنِ أَوْ قَرِيبًا مِنْ ذَلِكَ، وَنَكَحَ عَائِشَةَ وَهْىَ بِنْتُ سِتِّ سِنِينَ، ثُمَّ بَنَى بِهَا وَهْىَ بِنْتُ تِسْعِ سِنِينَ.
Sahih al-Bukhari 5133
Narrated `Aisha:
that the Prophet (ﷺ) married her when she was six years old and he consummated his marriage when she was nine years old, and then she remained with him for nine years (i.e., till his death)
.، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ عَائِشَةَ ـ رضى الله عنها ـ أَنَّ النَّبِيَّ صلى الله عليه وسلم تَزَوَّجَهَا وَهْىَ بِنْتُ سِتِّ سِنِينَ، وَأُدْخِلَتْ عَلَيْهِ وَهْىَ بِنْتُ تِسْعٍ، وَمَكَثَتْ عِنْدَهُ تِسْعًا.
Sunan an-Nasa'i 3255
It was narrated from 'Aishah that the Messenger of Allah married her when she was six years old, and consummated the marriage with her when she was nine.
أَخْبَرَنَا إِسْحَاقُ بْنُ إِبْرَاهِيمَ، قَالَ أَنْبَأَنَا أَبُو مُعَاوِيَةَ، قَالَ حَدَّثَنَا هِشَامُ بْنُ عُرْوَةَ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ عَائِشَةَ، أَنَّ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم تَزَوَّجَهَا وَهِيَ بِنْتُ سِتٍّ وَبَنَى بِهَا وَهِيَ بِنْتُ تِسْعٍ .
Grade: Sahih (Darussalam)
Reference : Sunan an-Nasa'i 3255
Angalia YouTube clip yaAnaambiwa na nani? hao magaidi ungejua ni washirikina wabakaji bali walawiti kabisa kwasababu wao wanajidanganya kuwa maadam hakuna dola ya kiislamu duniani basi kila kitu ni halali mpaka dola ije, siku wakimkamata mkeo wakahamia nae mapangoni ndio utajua ni uislamu halisi au ni huo wa mchongo unaousemea.
Nisamehe kwa lugha kali sikuwa na namna.