Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Hata kula unaruhusiwa maana ni kama tiba kwa jinsi wanavosema.Wanakula au unauweka ndani tu?
Adui mkubwa wa Taifa hili ni ujinga. Na ujinga ndo mtaji mkuu wa CCMMaelfu ya watanzania wamonekana katika misururu mirefu wakipanga foleni kuchukua Udongo mtakatifu kutoka kwa mtume Mwamposa huko Arusha ili udongo huo uweze kuwatatulia matatizo Yao mbali mbali ikiwemo umasikini , njaa na magonjwa mbalimbali.
Baada ya kuja na version ya mafuta na maji sasa mtume amekuja na Udongo . Tusubiri next version atakuja na nini.
View attachment 3102836View attachment 3102837
Badala ya kuchukua Udongo kupeleka maabara kupima kama unafaa kwa kilimo cha aina Fulani ya mazao watanzania wanachukua Udongo unaoitwa mtakatifu ili kuwatatulia matatizo waliyo nayo. We still have a long journey to Go.
Wapo mpaka wasomi na degree zao kwenye foleni ya Udongo mtakatifuKweli ujinga hauwezi kuisha
Sitaki niwe na imani ya namna hii. Nataka ni'struggle' katika maisha, huku nikimwomba Mungu anisadie kwa kutumia njia za kawaida na si kutafuta mafanikio kwa miujiza. Ukifanikiwa kutokana na 'struggle' unaweza hata ukamshauri mtu anayekuja kuomba ushauri jinsi ulivyo'struggle' hadi kufanikiwa, lakini ukifanikiwa kwa muujiza hutaweza kumshauri mtu mwingine namna gani umefanya hadi ukafanikiwa.Maelfu ya watanzania wamonekana katika misururu mirefu wakipanga foleni kuchukua Udongo mtakatifu kutoka kwa mtume Mwamposa huko Arusha ili udongo huo uweze kuwatatulia matatizo Yao mbali mbali ikiwemo umasikini , njaa na magonjwa mbalimbali.
Baada ya kuja na version ya mafuta na maji sasa mtume amekuja na Udongo . Tusubiri next version atakuja na nini.
View attachment 3102836View attachment 3102837
Badala ya kuchukua Udongo kupeleka maabara kupima kama unafaa kwa kilimo cha aina Fulani ya mazao watanzania wanachukua Udongo unaoitwa mtakatifu ili kuwatatulia matatizo waliyo nayo. We still have a long journey to Go.
Na anazichanga kweli kweli . Nabii mkuu Geo Davie atakua amemind jamaa amekuja Arusha kumuharibia soko lakeMaadui watatu wa Nchi yetu ni Maradhi, Ujinga na Umasikini
Nadhani Mtume ameamua kutumia hiyo fursa kuweza kuzipiga za Wajinga
Tusisahau Wajinga ndiyo waliwao 🙌
Na hakunaga mafanikio ya miujizaSitaki niwe na imani ya namna hii. Nataka ni'struggle' katika maisha, huku nikimwomba Mungu anisadie kwa kutumia njia za kawaida na si kutafuta mafanikio kwa miujiza.
Kapange foleni mkuu uchukue kilo zako 5Ujinga mtupu