Maelfu wamiminika kuchukua Udongo mtakatifu huko Arusha kwa mtume Mwamposa

Maelfu wamiminika kuchukua Udongo mtakatifu huko Arusha kwa mtume Mwamposa

Wapo mpaka wasomi na degree zao kwenye foleni ya Udongo mtakatifu
Kuna tofauti kati ya kua na elimu na kuelimika,
Unaweza ukawa na elimu ila ukawa hujaelimika,elimu ikashindwa kukukomboa kifikra,
Akili ni kile kinachobaki kichwani mwako baada ya kuondoa kile ulichofundishwa darasani.
 
Kuna tofauti kati ya kua na elimu na kuelimika,
Unaweza ukawa na elimu ila ukawa hujaelimika,elimu ikashindwa kukukomboa kifikra,
Akili ni kile kinachobaki kichwani mwako baada ya kuondoa kile ulichofundishwa darasani.
Kwa mfano huu nchi hii labda ina wasomi wengi ambao hawajaelimika
 
Maelfu ya watanzania wamonekana katika misururu mirefu wakipanga foleni kuchukua Udongo mtakatifu kutoka kwa mtume Mwamposa huko Arusha ili udongo huo uweze kuwatatulia matatizo Yao mbali mbali ikiwemo umasikini , njaa na magonjwa mbalimbali.
Baada ya kuja na version ya mafuta na maji sasa mtume amekuja na Udongo . Tusubiri next version atakuja na nini.
View attachment 3102836View attachment 3102837
Badala ya kuchukua Udongo kupeleka maabara kupima kama unafaa kwa kilimo cha aina Fulani ya mazao watanzania wanachukua Udongo unaoitwa mtakatifu ili kuwatatulia matatizo waliyo nayo. We still have a long journey to Go.
Wewe umeshachukua?
 
Sitaki niwe na imani ya namna hii. Nataka ni'struggle' katika maisha, huku nikimwomba Mungu anisadie kwa kutumia njia za kawaida na si kutafuta mafanikio kwa miujiza.
Imani za hivi ni vifungo vya kifikra na kukataa tamaa watu wanaamini katika miujiza badala ya juhudi na maarifa.
 
Maelfu ya watanzania wamonekana katika misururu mirefu wakipanga foleni kuchukua Udongo mtakatifu kutoka kwa mtume Mwamposa huko Arusha ili udongo huo uweze kuwatatulia matatizo Yao mbali mbali ikiwemo umasikini , njaa na magonjwa mbalimbali.
Baada ya kuja na version ya mafuta na maji sasa mtume amekuja na Udongo . Tusubiri next version atakuja na nini.
View attachment 3102836View attachment 3102837
Badala ya kuchukua Udongo kupeleka maabara kupima kama unafaa kwa kilimo cha aina Fulani ya mazao watanzania wanachukua Udongo unaoitwa mtakatifu ili kuwatatulia matatizo waliyo nayo. We still have a long journey to Go.
Zamani kwenye miaka ya 90's tulizoea kuona watoto wa mjini (waisilamu?) wakiwa wamefungwa hirizi(transistor )kiunoni au mkononi.
Leo hii kibao kimegeuka hirizi wanatembea nazo wanawake wa kikristo kwenye pochi zao ama ni udongo, chumvi, mafuta, rozari, kitambaa nk zenye kunuiwa ni hirizi.
Neno la Yesu ni hili
'njooni kwangu ninyi nyote msumbukao na kuelemewa na mizigo, nami nitawapumzisha'
Sasa wamemwacha Yesu huku wakintaja tu kwa mtajo lakini tumaini lao wakiliweka kwa hirizi.
Ni aibu na ni ushahidi wa umasikini unaosababishwa na uwezo mdogo wa kupambanua mambo.
 
Imani za hivi ni vifungo vya kifikra na kukataa tamaa watu wanaamini katika miujiza badala ya juhudi na maarifa.
Mfano, katika hao wote unadhani kama mtu shida yake ni kukosa mtaji wa biashara, au ada ya masomo, au shamba la kununua kwa sababu hela uliyonayo haitoshi, au mzazi ni mgonjwa nyumbani kwa sababu ya uzee, au matatizo mengine yote, nani atakayefanikiwa?
 
Back
Top Bottom