OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Huo ni uganga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes it really worked kwa watu. Unajua mambo ya ImaniMaelfu ya watanzania wamonekana katika misururu mirefu wakipanga foleni kuchukua Udongo mtakatifu kutoka kwa mtume Mwamposa huko Arusha ili udongo huo uweze kuwatatulia matatizo Yao mbali mbali ikiwemo umasikini , njaa na magonjwa mbalimbali.
Baada ya kuja na version ya mafuta na maji sasa mtume amekuja na Udongo . Tusubiri next version atakuja na nini.
Badala ya kuchukua Udongo kupeleka maabara kupima kama unafaa kwa kilimo cha aina Fulani ya mazao watanzania wanachukua Udongo unaoitwa mtakatifu ili kuwatatulia matatizo waliyo nayo. We still have a long journey to Go.
Adui mkubwa wa Taifa hili ni ujinga. Na ujinga ndo mtaji mkuu wa CCM
Wanaenda kufanyia nini?
Dini zinapumbaza sana watu
ExactlyZamani kwenye miaka ya 90's tulizoea kuona watoto wa mjini (waisilamu?) wakiwa wamefungwa hirizi(transistor )kiunoni au mkononi.
Leo hii kibao kimegeuka hirizi wanatembea nazo wanawake wa kikristo kwenye pochi zao ama ni udongo, chumvi, mafuta, rozari, kitambaa nk zenye kunuiwa ni hirizi.
Neno la Yesu ni hili
'njooni kwangu ninyi nyote msumbukao na kuelemewa na mizigo, nami nitawapumzisha'
Sasa wamemwacha Yesu huku wakintaja tu kwa mtajo lakini tumaini lao wakiliweka kwa hirizi.
Ni aibu na ni ushahidi wa umasikini unaosababishwa na uwezo mdogo wa kupambanua mambo.
Hakuna mafanikio ya miujizaMfano, katika hao wote unadhani kama mtu shida yake ni kukosa mtaji wa biashara, au ada ya masomo, au shamba la kununua kwa sababu hela uliyonayo haitoshi, au mzazi ni mgonjwa nyumbani kwa sababu ya uzee, au matatizo mengine yote, nani atakayefanikiwa?
Uko wapi?Biashara ya kanisa uhakika sana, ngoja nitafute tu mtaji......na kondoo mmoja wa maana nimuweke awe mtume.
Kwenye hii mikutano 90 % ni wanawake na wanaume wanaoburuzwa na wake zao na wale ambao wananufaika na hela za wajingaWanawake wa Tanzania ni wajinga sana
Hawa ndio wanaofanya viongozi wa Brazil watuone sisi ni zero brainMaelfu ya watanzania wamonekana katika misururu mirefu wakipanga foleni kuchukua Udongo mtakatifu kutoka kwa mtume Mwamposa huko Arusha ili udongo huo uweze kuwatatulia matatizo Yao mbali mbali ikiwemo umasikini , njaa na magonjwa mbalimbali.
Baada ya kuja na version ya mafuta na maji sasa mtume amekuja na Udongo . Tusubiri next version atakuja na nini.
Badala ya kuchukua Udongo kupeleka maabara kupima kama unafaa kwa kilimo cha aina Fulani ya mazao watanzania wanachukua Udongo unaoitwa mtakatifu ili kuwatatulia matatizo waliyo nayo. We still have a long journey to Go.
Hauna sauti nzito nzito uwe mtume bro??? Hii hela hii ni pesa ya maana tu afu hutoui jasho hata....Uko wapi?
Ukitaka maspika nicheki PM.
Sauti nzito ninayo ila hua sitoki majasho nikiongea,utume inatakiwa uwe unatoka majasho na kua na kitambaa cha kujifuta futa.Hauna sauti nzito nzito uwe mtume bro??? Hii hela hii ni pesa ya maana tu afu hutoui jasho hata....
Haleloyaaaa chioniii ya leoooo mbengoo zetafongokaaaa......Sauti nzito ninayo ila hua sitoki majasho nikiongea,utume inatakiwa uwe unatoka majasho na kua na kitambaa cha kujifuta futa.