Hakuna bora bali wote wanapigwaWao wanaamini nguvu za MUNGU, ninyi mnaamni nguvu za waganga wa kienyeji, yupi alie Bora kati yako unayeamini uganga wa kienyeji na anayeamini mtumishi wa Mungu .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna bora bali wote wanapigwaWao wanaamini nguvu za MUNGU, ninyi mnaamni nguvu za waganga wa kienyeji, yupi alie Bora kati yako unayeamini uganga wa kienyeji na anayeamini mtumishi wa Mungu .
Hii inasikitisha sana, kuja kupata maendeleo kuanzia ngazi ya kaya ni ngumu sana. Watu kama hawa unategemea watakuja kutoboaje kama wanategemea miujiza ya kipumbavu kama hii.Maelfu ya watanzania wamonekana katika misururu mirefu wakipanga foleni kuchukua Udongo mtakatifu kutoka kwa mtume Mwamposa huko Arusha ili udongo huo uweze kuwatatulia matatizo Yao mbali mbali ikiwemo umasikini , njaa na magonjwa mbalimbali.
Baada ya kuja na version ya mafuta na maji sasa mtume amekuja na Udongo . Tusubiri next version atakuja na nini.
Badala ya kuchukua Udongo kupeleka maabara kupima kama unafaa kwa kilimo cha aina Fulani ya mazao watanzania wanachukua Udongo unaoitwa mtakatifu ili kuwatatulia matatizo waliyo nayo. We still have a long journey to Go.
Wapo mpaka wasomi na degree zao kwenye foleni ya Udongo mtakatifu
Sahihi kabisa 🙏4. Dini
Sema uislam hauna huo upumbavu, but hapo waislam wapo Kama wote. Mpuuzi akishakisika Kuna mafanikio ya miujiza popote anaenda.Bora waislamu hawanaga huu upumbavu, majingq
Hujaona huko juu Kuna mtu anatetea? Huyo lazima atakuwa mfuasi.UUskute ata wanajamiiforum pia wapo hapo
Watanzania wamshukuru sana Rais Samia kwa kuwezesha kupatikana kwa huu udongo mtukufu maana hili nalo limewezeshwa kwa uongozi wake shupavu chini ya chama chao cha CCM!Maelfu ya watanzania wamonekana katika misururu mirefu wakipanga foleni kuchukua Udongo mtakatifu kutoka kwa mtume Mwamposa huko Arusha ili udongo huo uweze kuwatatulia matatizo Yao mbali mbali ikiwemo umasikini , njaa na magonjwa mbalimbali.
Baada ya kuja na version ya mafuta na maji sasa mtume amekuja na Udongo . Tusubiri next version atakuja na nini.
Badala ya kuchukua Udongo kupeleka maabara kupima kama unafaa kwa kilimo cha aina Fulani ya mazao watanzania wanachukua Udongo unaoitwa mtakatifu ili kuwatatulia matatizo waliyo nayo. We still have a long journey to Go.
Kwenye hilo nyomi nakwaambia mpaka wasomi wamo.Adui mkubwa wa Taifa hili ni ujinga. Na ujinga ndo mtaji mkuu wa CCM
Ila kweli! Humo huingia watu na PhD zao tena wanapiga mpk magoti. But still ndo ujinga wenyewe huoKwenye hilo nyomi nakwaambia mpaka wasomi wamo.
adui mkubwa ni hiyo DINI yenyewe.
Ni kwa vile tuu huwajui vzurBora waislamu hawanaga huu upumbavu, majingq
Mtu yeyote yule ayeamini kuna dini asiwacheke hawa maana na wewe mjinga kama hawa tu.Maelfu ya watanzania wamonekana katika misururu mirefu wakipanga foleni kuchukua Udongo mtakatifu kutoka kwa mtume Mwamposa huko Arusha ili udongo huo uweze kuwatatulia matatizo Yao mbali mbali ikiwemo umasikini , njaa na magonjwa mbalimbali.
Baada ya kuja na version ya mafuta na maji sasa mtume amekuja na Udongo . Tusubiri next version atakuja na nini.
Badala ya kuchukua Udongo kupeleka maabara kupima kama unafaa kwa kilimo cha aina Fulani ya mazao watanzania wanachukua Udongo unaoitwa mtakatifu ili kuwatatulia matatizo waliyo nayo. We still have a long journey to Go.
Kama una dini hata wewe ni wa kusikikitiwa.In
Inatia hasira sana
Loh! Watabubujikwa machozi ya furaha!Wala usijali maana kanisa hilo naamini watu watakuwa wakimiminika kila jumapili na kububujikwa machozi ya furaha kwa kukutana na miujiza na majibu ya shida na taabu zao
Maelfu ya watanzania wamonekana katika misururu mirefu wakipanga foleni kuchukua Udongo mtakatifu kutoka kwa mtume Mwamposa huko Arusha ili udongo huo uweze kuwatatulia matatizo Yao mbali mbali ikiwemo umasikini , njaa na magonjwa mbalimbali.
Baada ya kuja na version ya mafuta na maji sasa mtume amekuja na Udongo . Tusubiri next version atakuja na nini.
Badala ya kuchukua Udongo kupeleka maabara kupima kama unafaa kwa kilimo cha aina Fulani ya mazao watanzania wanachukua Udongo unaoitwa mtakatifu ili kuwatatulia matatizo waliyo nayo. We still have a long journey to Go.
Imani...Maelfu ya watanzania wamonekana katika misururu mirefu wakipanga foleni kuchukua Udongo mtakatifu kutoka kwa mtume Mwamposa huko Arusha ili udongo huo uweze kuwatatulia matatizo Yao mbali mbali ikiwemo umasikini , njaa na magonjwa mbalimbali.
Baada ya kuja na version ya mafuta na maji sasa mtume amekuja na Udongo . Tusubiri next version atakuja na nini.
Badala ya kuchukua Udongo kupeleka maabara kupima kama unafaa kwa kilimo cha aina Fulani ya mazao watanzania wanachukua Udongo unaoitwa mtakatifu ili kuwatatulia matatizo waliyo nayo. We still have a long journey to Go.