Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wasomi wajinga piaWapo mpaka wasomi na degree zao kwenye foleni ya Udongo mtakatifu
Na ndio maana CCM inaendelea kuongozaKweli ujinga hauwezi kuisha
Maelfu ya watanzania wamonekana katika misururu mirefu wakipanga foleni kuchukua Udongo mtakatifu kutoka kwa mtume Mwamposa huko Arusha ili udongo huo uweze kuwatatulia matatizo Yao mbali mbali ikiwemo umasikini , njaa na magonjwa mbalimbali.
Baada ya kuja na version ya mafuta na maji sasa mtume amekuja na Udongo . Tusubiri next version atakuja na nini.
Badala ya kuchukua Udongo kupeleka maabara kupima kama unafaa kwa kilimo cha aina Fulani ya mazao watanzania wanachukua Udongo unaoitwa mtakatifu ili kuwatatulia matatizo waliyo nayo. We still have a long journey to Go.
😂😂😂Ndiyo huo udongo kijiko kimoja kinauzwa buku?
Wacrist wavivu sana kusoma kitabu Chao (bible) , Kila kitu kipo wazi mule kuhusu ujio wa hawa Vishandu, nduguzetu maharifa yanatafutwa kwenye maandiko, someni kitabu chenu musikubali kulishwa Upupu pori.Maelfu ya watanzania wamonekana katika misururu mirefu wakipanga foleni kuchukua Udongo mtakatifu kutoka kwa mtume Mwamposa huko Arusha ili udongo huo uweze kuwatatulia matatizo Yao mbali mbali ikiwemo umasikini , njaa na magonjwa mbalimbali.
Baada ya kuja na version ya mafuta na maji sasa mtume amekuja na Udongo . Tusubiri next version atakuja na nini.
Badala ya kuchukua Udongo kupeleka maabara kupima kama unafaa kwa kilimo cha aina Fulani ya mazao watanzania wanachukua Udongo unaoitwa mtakatifu ili kuwatatulia matatizo waliyo nayo. We still have a long journey to Go.
Mimi na ephen tutakuja kukusapoti kuzindua kanisa hilo.Biashara ya kanisa uhakika sana, ngoja nitafute tu mtaji......na kondoo mmoja wa maana nimuweke awe mtume.
Mtakua washauri wa kanisa, na ulivo na mineno miiiingiiii kondoo lazma waingie kingi tu.....Mimi na ephen tutakuja kukusapoti kuzindua kanisa hilo.
Wala usijali maana kanisa hilo naamini watu watakuwa wakimiminika kila jumapili na kububujikwa machozi ya furaha kwa kukutana na miujiza na majibu ya shida na taabu zaoMtakua washauri wa kanisa, na ulivo na mineno miiiingiiii kondoo lazma waingie kingi tu.....
Kuna waliochukuaMaelfu ya watanzania wamonekana katika misururu mirefu wakipanga foleni kuchukua Udongo mtakatifu kutoka kwa mtume Mwamposa huko Arusha ili udongo huo uweze kuwatatulia matatizo Yao mbali mbali ikiwemo umasikini , njaa na magonjwa mbalimbali.
Baada ya kuja na version ya mafuta na maji sasa mtume amekuja na Udongo . Tusubiri next version atakuja na nini.
Badala ya kuchukua Udongo kupeleka maabara kupima kama unafaa kwa kilimo cha aina Fulani ya mazao watanzania wanachukua Udongo unaoitwa mtakatifu ili kuwatatulia matatizo waliyo nayo. We still have a long journey to Go.
Unitafutie na mganga sasa huko mbeya kwenu..... Mganga wa kufanya miujiza hapo kanisani kwetuWala usijali maana kanisa hilo naamini watu watakuwa wakimiminika kila jumapili na kububujikwa machozi ya furaha kwa kukutana na miujiza na majibu ya shida na taabu zao
4. DiniMaadui watatu wa Nchi yetu ni Maradhi, Ujinga na Umasikini
Nadhani Mtume ameamua kutumia hiyo fursa kuweza kuzipiga za Wajinga
Tusisahau Wajinga ndiyo waliwao 🙌
Watu wajinga kweli hawa.Maelfu ya watanzania wamonekana katika misururu mirefu wakipanga foleni kuchukua Udongo mtakatifu kutoka kwa mtume Mwamposa huko Arusha ili udongo huo uweze kuwatatulia matatizo Yao mbali mbali ikiwemo umasikini , njaa na magonjwa mbalimbali.
Baada ya kuja na version ya mafuta na maji sasa mtume amekuja na Udongo . Tusubiri next version atakuja na nini.
Badala ya kuchukua Udongo kupeleka maabara kupima kama unafaa kwa kilimo cha aina Fulani ya mazao watanzania wanachukua Udongo unaoitwa mtakatifu ili kuwatatulia matatizo waliyo nayo. We still have a long journey to Go.
Wao wanaamini nguvu za MUNGU, ninyi mnaamni nguvu za waganga wa kienyeji, yupi alie Bora kati yako unayeamini uganga wa kienyeji na anayeamini mtumishi wa Mungu .Waswahili usema mjini shule mwache ajipigie maokoto yake
Kwanza kufanikiwa ki miujiza hakupo.. yaani uombewe tu ufanikiwe thubutuuu.Sitaki niwe na imani ya namna hii. Nataka ni'struggle' katika maisha, huku nikimwomba Mungu anisadie kwa kutumia njia za kawaida na si kutafuta mafanikio kwa miujiza. Ukifanikiwa kutokana na 'struggle' unaweza hata ukamshauri mtu anayekuja kuomba ushauri jinsi ulivyo'struggle' hadi kufanikiwa, lakini ukifanikiwa kwa muujiza hutaweza kumshauri mtu mwingine namna gani umefanya hadi ukafanikiwa.
Hakuna Biblia iliyoandika "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"Aiseee watu wangu wanahangamia kwa kukosa maarifa....Kuna msukule mmoja naye alikuwa anaamini wanamroga asijenge kwenye kiwanja chake basi akaja kuweka maudongo ya upako ,cha kushangaza mwaka wa nane huu hata tofali moja hajawaweka....kiwanja full majani.