Maelfu wamiminika kuchukua Udongo mtakatifu huko Arusha kwa mtume Mwamposa

Maelfu wamiminika kuchukua Udongo mtakatifu huko Arusha kwa mtume Mwamposa

Maelfu ya watanzania wamonekana katika misururu mirefu wakipanga foleni kuchukua Udongo mtakatifu kutoka kwa mtume Mwamposa huko Arusha ili udongo huo uweze kuwatatulia matatizo Yao mbali mbali ikiwemo umasikini , njaa na magonjwa mbalimbali.

Baada ya kuja na version ya mafuta na maji sasa mtume amekuja na Udongo . Tusubiri next version atakuja na nini.
Badala ya kuchukua Udongo kupeleka maabara kupima kama unafaa kwa kilimo cha aina Fulani ya mazao watanzania wanachukua Udongo unaoitwa mtakatifu ili kuwatatulia matatizo waliyo nayo. We still have a long journey to Go.

Aiseee watu wangu wanahangamia kwa kukosa maarifa....Kuna msukule mmoja naye alikuwa anaamini wanamroga asijenge kwenye kiwanja chake basi akaja kuweka maudongo ya upako ,cha kushangaza mwaka wa nane huu hata tofali moja hajawaweka....kiwanja full majani.
 
Maelfu ya watanzania wamonekana katika misururu mirefu wakipanga foleni kuchukua Udongo mtakatifu kutoka kwa mtume Mwamposa huko Arusha ili udongo huo uweze kuwatatulia matatizo Yao mbali mbali ikiwemo umasikini , njaa na magonjwa mbalimbali.

Baada ya kuja na version ya mafuta na maji sasa mtume amekuja na Udongo . Tusubiri next version atakuja na nini.
Badala ya kuchukua Udongo kupeleka maabara kupima kama unafaa kwa kilimo cha aina Fulani ya mazao watanzania wanachukua Udongo unaoitwa mtakatifu ili kuwatatulia matatizo waliyo nayo. We still have a long journey to Go.
Wacrist wavivu sana kusoma kitabu Chao (bible) , Kila kitu kipo wazi mule kuhusu ujio wa hawa Vishandu, nduguzetu maharifa yanatafutwa kwenye maandiko, someni kitabu chenu musikubali kulishwa Upupu pori.
 
Maelfu ya watanzania wamonekana katika misururu mirefu wakipanga foleni kuchukua Udongo mtakatifu kutoka kwa mtume Mwamposa huko Arusha ili udongo huo uweze kuwatatulia matatizo Yao mbali mbali ikiwemo umasikini , njaa na magonjwa mbalimbali.

Baada ya kuja na version ya mafuta na maji sasa mtume amekuja na Udongo . Tusubiri next version atakuja na nini.
Badala ya kuchukua Udongo kupeleka maabara kupima kama unafaa kwa kilimo cha aina Fulani ya mazao watanzania wanachukua Udongo unaoitwa mtakatifu ili kuwatatulia matatizo waliyo nayo. We still have a long journey to Go.
Kuna waliochukua
Wakamwaga shambani na mazao yakazaa Kwa wingi
Tusiwabeze,kila mtu na Imani yake.
 
Maelfu ya watanzania wamonekana katika misururu mirefu wakipanga foleni kuchukua Udongo mtakatifu kutoka kwa mtume Mwamposa huko Arusha ili udongo huo uweze kuwatatulia matatizo Yao mbali mbali ikiwemo umasikini , njaa na magonjwa mbalimbali.

Baada ya kuja na version ya mafuta na maji sasa mtume amekuja na Udongo . Tusubiri next version atakuja na nini.
Badala ya kuchukua Udongo kupeleka maabara kupima kama unafaa kwa kilimo cha aina Fulani ya mazao watanzania wanachukua Udongo unaoitwa mtakatifu ili kuwatatulia matatizo waliyo nayo. We still have a long journey to Go.
Watu wajinga kweli hawa.
 
Sitaki niwe na imani ya namna hii. Nataka ni'struggle' katika maisha, huku nikimwomba Mungu anisadie kwa kutumia njia za kawaida na si kutafuta mafanikio kwa miujiza. Ukifanikiwa kutokana na 'struggle' unaweza hata ukamshauri mtu anayekuja kuomba ushauri jinsi ulivyo'struggle' hadi kufanikiwa, lakini ukifanikiwa kwa muujiza hutaweza kumshauri mtu mwingine namna gani umefanya hadi ukafanikiwa.
Kwanza kufanikiwa ki miujiza hakupo.. yaani uombewe tu ufanikiwe thubutuuu.
 
Aiseee watu wangu wanahangamia kwa kukosa maarifa....Kuna msukule mmoja naye alikuwa anaamini wanamroga asijenge kwenye kiwanja chake basi akaja kuweka maudongo ya upako ,cha kushangaza mwaka wa nane huu hata tofali moja hajawaweka....kiwanja full majani.
Hakuna Biblia iliyoandika "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"
Imeandikwa "watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa".
 
Back
Top Bottom