Uchaguzi 2020 "Maendeleo Hayana Vyama" v/s "Mkinichagulia Wapinzani Sitoleta Maendeleo"

Uchaguzi 2020 "Maendeleo Hayana Vyama" v/s "Mkinichagulia Wapinzani Sitoleta Maendeleo"

Wananchi wagome kulipa Kodi Kama wasipoletewa maendeleo
Kama mbwai iwe mbwai Kodi asikusanye Kama hatapelekeqa watu wa chama chake afu unaomba kibabe kwa kufoka aisee... ni kauli za kibaguzi ...nadhani waliomfaham vizuri wanamuepuka kindumbilakuwili tuu
 
Wakuu Kwema?

Wengi wetu tumekua tukimsikia Mgombea Urais kwa Tiketi ya CCM, Bw. John Joseph Magufuli akizitoa kauli hizi mbili za "Maendeleo Hayana Vyama" na "Mkinichagulia Wapinzani Sintoleta Maendeleo" katika maeneo mbalimbali kwenye Kampeni zake.

Amekua akizitoa aidha kwa wakati mmoja, au kauli mojawapo katika mikutano yake mbalimbali ya kampeni anayofanya. Ingawa kubagua kupeleka maendeleo sehemu zisizo na Mbunge wa CCM ni kuwasaliti hata madiwani wa CCM wa Jimbo hilo husika lakini hapa ninazungumzia maana ya kauli hizi katika lugha ya Kiswahili.

Mimi kwa uelewa wangu, na natumai wengi wetu tunaelewa hivyohivyo ni kua kauli hizi zinakinzana zenyewe. Yaani panapokuwepo na kauli mojawapo katika hizi basi ingine haiwezi kuwepo.

Huwezi ukabagua kupeleka maendeleo sehemu ambazo hawakumchagua mpinzani kisha kauli ya "Maendeleo Hayana Vyama" ikaendelea kua na mantiki. Hizi kauli mbili ni sawa na urushe "Shillingi" kisha matokeo yawe ni both "Head and Tail" kwa wakati mmoja, kitu ambacho ni haiwezekani.

Kwa Magufuli kuendelea kuhubiri kauli hizi ni kuthibitisha aidha ye mwenyewe hajui maana halisi ya kiswahili ya hizi kauli, au anazielewa vyema ila ameamua kutudhihaki Watanzania akijua kama hata kama anaongea vitu visivyoendena lakin mwishowe hatutakua na cha kumfanya.

Inawezekana hata wafuasi wake nao hawaelewi kwanini anaendelea kukosea kuhubiri kaulizi hizi mbili kwa pamoja lakini kwa kumuogopa wanashindwa cha kumfanya.

Wito wangu Kwa Ndugu Mgombea huyu ni achague tu upande mmoja bdio auhubiri huo huo. Yaani awe moto au baridi, lakini sio vuguvugu au kuuma na kupuliza kama anavyofanya, ni hayo tu.
NI ubaguzi makubwa sana
 
Wakuu Kwema?

Wengi wetu tumekua tukimsikia Mgombea Urais kwa Tiketi ya CCM, Bw. John Joseph Magufuli akizitoa kauli hizi mbili za "Maendeleo Hayana Vyama" na "Mkinichagulia Wapinzani Sintoleta Maendeleo" katika maeneo mbalimbali kwenye Kampeni zake.

Amekua akizitoa aidha kwa wakati mmoja, au kauli mojawapo katika mikutano yake mbalimbali ya kampeni anayofanya. Ingawa kubagua kupeleka maendeleo sehemu zisizo na Mbunge wa CCM ni kuwasaliti hata madiwani wa CCM wa Jimbo hilo husika lakini hapa ninazungumzia maana ya kauli hizi katika lugha ya Kiswahili.

Mimi kwa uelewa wangu, na natumai wengi wetu tunaelewa hivyohivyo ni kua kauli hizi zinakinzana zenyewe. Yaani panapokuwepo na kauli mojawapo katika hizi basi ingine haiwezi kuwepo.

Huwezi ukabagua kupeleka maendeleo sehemu ambazo hawakumchagua mpinzani kisha kauli ya "Maendeleo Hayana Vyama" ikaendelea kua na mantiki. Hizi kauli mbili ni sawa na urushe "Shillingi" kisha matokeo yawe ni both "Head and Tail" kwa wakati mmoja, kitu ambacho ni haiwezekani.

Kwa Magufuli kuendelea kuhubiri kauli hizi ni kuthibitisha aidha ye mwenyewe hajui maana halisi ya kiswahili ya hizi kauli, au anazielewa vyema ila ameamua kutudhihaki Watanzania akijua kama hata kama anaongea vitu visivyoendena lakin mwishowe hatutakua na cha kumfanya.

Inawezekana hata wafuasi wake nao hawaelewi kwanini anaendelea kukosea kuhubiri kaulizi hizi mbili kwa pamoja lakini kwa kumuogopa wanashindwa cha kumfanya.

Wito wangu Kwa Ndugu Mgombea huyu ni achague tu upande mmoja bdio auhubiri huo huo. Yaani awe moto au baridi, lakini sio vuguvugu au kuuma na kupuliza kama anavyofanya, ni hayo tu.
Maendeleo hayana vyama!
 
usifanye kosa kuchagua upinzani.......wewe chagua CCM ili ujihakikishie maendeleo endelevu.......huo ndio ukweli na utabakia kuwa ukweli....hapo hakuna kuremba. usijaribu kupoteza kura yako kwa upinzani.
 
Atuambie hayo maji anayatoa CHATO au kwenye hii arshi ya waTanzania wanaolipa kodi anapata hela za kutembea nazo kwenye kapu na kugawa atakavyo bila kupitia kwa Bunge . Huyu mtu atatupeleka kubaya na ndio maana tukimpa miaka 5 mi gine bila shaka atabadili katiba kwani ashadhani bila yeye Tanzania haipo.
WaTanzania kwanza.
 
Back
Top Bottom