Uchaguzi 2020 "Maendeleo Hayana Vyama" v/s "Mkinichagulia Wapinzani Sitoleta Maendeleo"

Uchaguzi 2020 "Maendeleo Hayana Vyama" v/s "Mkinichagulia Wapinzani Sitoleta Maendeleo"

Magufuli ni mkatili na mtu mwenye roho mbaya kupita kawaida. Na mbaya zaidi roho mbaya yake kwenye masaa 24 anaweza kuificha kwa dakika zisizozidi 30 tu. Ndo mana kila mtanzania sasaivi anajionea ni kwa jinsi gani alivyo mtu wa ajabu na hafai kuwa kiongozi.

Katika upeo wangu na uzoefu wangu kamwe sijawai ona mgombea uraisi iwe Tanzania hata nje ya Tanzania aliyetamka hadharani tena mchana kweupe kuwa msipomteua mtu wake kuwa mbunge basi sahauni kupata maji. Nasema haijawai tokea. Magufuli ndo wa kwanza!!
Hali inatisha
 
Wakuu Kwema?

Wengi wetu tumekua tukimsikia Mgombea Urais kwa Tiketi ya CCM, Bw. John Joseph Magufuli akizitoa kauli hizi mbili za "Maendeleo Hayana Vyama" na "Mkinichagulia Wapinzani Sintoleta Maendeleo" katika maeneo mbalimbali kwenye Kampeni zake.

Amekua akizitoa aidha kwa wakati mmoja, au kauli mojawapo katika mikutano yake mbalimbali ya kampeni anayofanya. Ingawa kubagua kupeleka maendeleo sehemu zisizo na Mbunge wa CCM ni kuwasaliti hata madiwani wa CCM wa Jimbo hilo husika lakini hapa ninazungumzia maana ya kauli hizi katika lugha ya Kiswahili.

Mimi kwa uelewa wangu, na natumai wengi wetu tunaelewa hivyohivyo ni kua kauli hizi zinakinzana zenyewe. Yaani panapokuwepo na kauli mojawapo katika hizi basi ingine haiwezi kuwepo.

Huwezi ukabagua kupeleka maendeleo sehemu ambazo hawakumchagua mpinzani kisha kauli ya "Maendeleo Hayana Vyama" ikaendelea kua na mantiki. Hizi kauli mbili ni sawa na urushe "Shillingi" kisha matokeo yawe ni both "Head and Tail" kwa wakati mmoja, kitu ambacho ni haiwezekani.

Kwa Magufuli kuendelea kuhubiri kauli hizi ni kuthibitisha aidha ye mwenyewe hajui maana halisi ya kiswahili ya hizi kauli, au anazielewa vyema ila ameamua kutudhihaki Watanzania akijua kama hata kama anaongea vitu visivyoendena lakin mwishowe hatutakua na cha kumfanya.

Inawezekana hata wafuasi wake nao hawaelewi kwanini anaendelea kukosea kuhubiri kaulizi hizi mbili kwa pamoja lakini kwa kumuogopa wanashindwa cha kumfanya.

Wito wangu Kwa Ndugu Mgombea huyu ni achague tu upande mmoja bdio auhubiri huo huo. Yaani awe moto au baridi, lakini sio vuguvugu au kuuma na kupuliza kama anavyofanya, ni hayo tu.
Tushazoea kunywa tope, kura zetu kwa Lussu
 
Kwa kuwa amekubuhu kwa kiburi na jeuri dawa yake saizi ni hiyo,akisema hayo maneno ya kibaguzi,kiitikio kiwe "maendeleo hayana chama" mbona atakoma
 
Hizo kauli zinathibitisha kuwa Magufuli is a country bumpkin!

Mtu atakaempa Magufuli kura yake ni mpumbavu
 
Atuambie hayo maji anayatoa CHATO au kwenye hii arshi ya waTanzania wanaolipa kodi anapata hela za kutembea nazo kwenye kapu na kugawa atakavyo bila kupitia kwa Bunge . Huyu mtu atatupeleka kubaya na ndio maana tukimpa miaka 5 mi gine bila shaka atabadili katiba kwani ashadhani bila yeye Tanzania haipo.
WaTanzania kwanza.

Huyu jamaa ni mshamba sana -By Nape Nnauye!
 
Wa kukurupuka, ndio wale wanaosoma notes alafu akifunika material yanayeyuka yote kichwan anaanza upya
 
JPM Tunduma.JPG
 
"Leo nalala hapa ..ole wenu mninyime kura"

"maendelel hayana vyama...."

Msinichanganyie ..msinilte kachumbari"

Ila daaah[emoji2]
 
Magufuli ni mkatili na mtu mwenye roho mbaya kupita kawaida. Na mbaya zaidi roho mbaya yake kwenye masaa 24 anaweza kuificha kwa dakika zisizozidi 30 tu. Ndo mana kila mtanzania sasaivi anajionea ni kwa jinsi gani alivyo mtu wa ajabu na hafai kuwa kiongozi.

Katika upeo wangu na uzoefu wangu kamwe sijawai ona mgombea uraisi iwe Tanzania hata nje ya Tanzania aliyetamka hadharani tena mchana kweupe kuwa msipomteua mtu wake kuwa mbunge basi sahauni kupata maji. Nasema haijawai tokea. Magufuli ndo wa kwanza!!

Jana naangalia taarifa eti anaongea kwa hasira kwenye kampeni😁 hili jambo haliitaji hasira kampeni ingekuwa miezi mitatu tungeona mengi

Tunapoelekea ata futa mfumo wa vyama vingi
 
Yanayotekelezwa yako kwenye irani ya chama cha mapinduzi inamaana ukichagua upinzani umeyakana yote yaliyomo.JPM tuko sahihi
 
umeme mdogo kichwani, alafu sehemu zenye wapinzani na maendeleo pia analopoka ni juhudi zake (mfano kigoma) kukiwa hakuna maendeleo analopoka kwamba si mlichagua upinzani (mfano jimbo la seleman bundara 'bwege') kifupi jamaa umeme wake kichwani hautoshi.
 
Atuambie hayo maji anayatoa CHATO au kwenye hii arshi ya waTanzania wanaolipa kodi anapata hela za kutembea nazo kwenye kapu na kugawa atakavyo bila kupitia kwa Bunge . Huyu mtu atatupeleka kubaya na ndio maana tukimpa miaka 5 mi gine bila shaka atabadili katiba kwani ashadhani bila yeye Tanzania haipo.
WaTanzania kwanza.


Anajiona kawa Mungu mtu.
 
usifanye kosa kuchagua upinzani.......wewe chagua CCM ili ujihakikishie maendeleo endelevu.......huo ndio ukweli na utabakia kuwa ukweli....hapo hakuna kuremba. usijaribu kupoteza kura yako kwa upinzani.
Kama hilo jimbo lilikosa maji, barabara, na hospital zaidi ya miaka 50 na liko chini ya ccm leo ndio tubabaike, hataivo majibo yote yaliyo chini ya ccm bado yana matatizo hayohayo
 
Kauli chafu Kama hizi NEC kimya inakuaje mgombea anawafokea wapiga kura, utadhani nchi Ni baba yake. Kodi zetu uchukue wajibu wako usitimize hii si sawa
 
usifanye kosa kuchagua upinzani.......wewe chagua CCM ili ujihakikishie maendeleo endelevu.......huo ndio ukweli na utabakia kuwa ukweli....hapo hakuna kuremba. usijaribu kupoteza kura yako kwa upinzani.
Yeyote mwenye akili ya kawaida tu,hataki hats kuwasikiene, nafasi uliyoipata mliitumia vibaya. Make njee mjifunze.
 
Wagombea aina hii ukiuka Sheria za tume.
Huo ni wizi kwa kuchukua Kodi za wananchi Kisha usiwapelekee maendeleo
 
Nataka niwaambie ukweli ndugu zangu,maana msema ukweli ni mpenzi wa 'mungu'.Hata wewe ukiwa na chakuka na kuna watoto wana njaa ni lazima kwanza uwape wa kwako na huwezi kuwapa wa jirani.

Hata baba Askofu akiwa na chakula ni lazima kwanza ale yeye hawezi kuwapa ma padre. Ni lazima niwaambie ukweli ndugu zangu. Na huo ndiyo ukweli.Na hii yote ni kwa sababu MAAENDELEO HAYANA VYAMA.
Uzi tayari.
 
Back
Top Bottom