Uchaguzi 2020 "Maendeleo Hayana Vyama" v/s "Mkinichagulia Wapinzani Sitoleta Maendeleo"

Huyu mtu ana ndimi mbili hatufai kabisa.
 
Kama ni hivyo basi, majimbo ya upinzani asikusanye kodi, asiweke Dc wala Rc wapinzani wakusanye kodi na kuwahudumia watu wao.. Pesa za kodi sio za Ccm ni za serikali. Jpm kuna mahali ana potoka. Na wasaidizi wake hawamuambii.
Vitisho vya kuto peleka maendeleo kuna mikoa ilisha kutana navyo na wamevuka miaka mitano wakiwa powa. Kama Kagera, Kilimanjaro, Mbeya, na Arusha aliwasusia kwa miaka mitano lakini wameroboa sasa mkuu anaendelea kuongeza wigo wa maadui. Hongera Ccm kwa uelewa mdogo.. Mna mpigia kampeni Lissu bila kujitambua.
 
Nchi yetu inaaibishwa sana hata kimataifa, sasa unaposem maendeleo hayana chama hapo hapo unasema mkimchagua mpinzani sileti maji tafsiri yake ninini??
Tafsiri yake ni aidha huelewi maana ya sentensi mojawapo katika hizi, au haelewi maana ya sentensi zote zinamaanisha nini, au anaelewa lakin ameamua tu kuongea akijua hakuna wa kumuhoji
 
Huyu analopoka tu chochote bila kujua anaongea maeneo gani, hata wakazi wa mbalizi anawambia walikosa connection wakati mbunge wao alikua wa ccm, mbalizi ni jimbo la mbeya vijijini na mbunge wao alikua wa ccm
 

The conduct of the upcoming elections in Tanzania has important consequences not only for Tanzania, but for the entire East African region. Tanzania’s history of peaceful multi-party elections stretching back 25 years has made it a model on the continent.

The United States government reaffirms unequivocally that it does not support any specific candidate or party in Tanzania’s upcoming elections. The United States supports the democratic process itself. We support a genuinely free, fair, transparent, and peaceful electoral process, before, during, and after election day. This includes ensuring the safety of all contestants, respect for the rule of law, and the absolute impartiality of the authorities in charge of managing the elections.

The United States, along with other democratic nations, will be paying close attention to actions of individuals who interfere in the democratic process or instigate violence against the civilian population before, during, or after the elections. We will not hesitate to consider consequences for those found to be responsible for election-related violence or undermining the democratic process.

We welcome the calls by the leading candidates for a peaceful and transparent electoral process, and we urge them and their supporters to take measures to decrease tensions and avoid inciteful rhetoric.

By U.S. Embassy Dar es Salaam | 1 October, 2020 | Topics: Press Releases
 
Kama mbwai iwe mbwai Kodi asikusanye Kama hatapelekeqa watu wa chama chake afu unaomba kibabe kwa kufoka aisee... ni kauli za kibaguzi ...nadhani waliomfaham vizuri wanamuepuka kindumbilakuwili tuu
The conduct of the upcoming elections in Tanzania has important consequences not only for Tanzania, but for the entire East African region. Tanzania’s history of peaceful multi-party elections stretching back 25 years has made it a model on the continent.

The United States government reaffirms unequivocally that it does not support any specific candidate or party in Tanzania’s upcoming elections. The United States supports the democratic process itself. We support a genuinely free, fair, transparent, and peaceful electoral process, before, during, and after election day. This includes ensuring the safety of all contestants, respect for the rule of law, and the absolute impartiality of the authorities in charge of managing the elections.

The United States, along with other democratic nations, will be paying close attention to actions of individuals who interfere in the democratic process or instigate violence against the civilian population before, during, or after the elections. We will not hesitate to consider consequences for those found to be responsible for election-related violence or undermining the democratic process.

We welcome the calls by the leading candidates for a peaceful and transparent electoral process, and we urge them and their supporters to take measures to decrease tensions and avoid inciteful rhetoric.

By U.S. Embassy Dar es Salaam | 1 October, 2020 | Topics: Press Releases
 
The conduct of the upcoming elections in Tanzania has important consequences not only for Tanzania, but for the entire East African region. Tanzania’s history of peaceful multi-party elections stretching back 25 years has made it a model on the continent.

The United States government reaffirms unequivocally that it does not support any specific candidate or party in Tanzania’s upcoming elections. The United States supports the democratic process itself. We support a genuinely free, fair, transparent, and peaceful electoral process, before, during, and after election day. This includes ensuring the safety of all contestants, respect for the rule of law, and the absolute impartiality of the authorities in charge of managing the elections.

The United States, along with other democratic nations, will be paying close attention to actions of individuals who interfere in the democratic process or instigate violence against the civilian population before, during, or after the elections. We will not hesitate to consider consequences for those found to be responsible for election-related violence or undermining the democratic process.

We welcome the calls by the leading candidates for a peaceful and transparent electoral process, and we urge them and their supporters to take measures to decrease tensions and avoid inciteful rhetoric.

By U.S. Embassy Dar es Salaam | 1 October, 2020 | Topics: Press Releases
 
Huyu mtu hafai kabisa ni hovyo.
 
Maendeleo hayana chama means maendeleo hayabagui. Kama ni ndege si wanapanda, Umeme wanatumia, flyover twatumia sote. Inahitajika chama kuyaleta hayo maendeleo, na chama chenyewe ni CCM na sio vinginevyo.
Sawa ila maji wasipate kabisaaaaaaa
 
Funzo walilolipata CCM kwa kumsukumiza Mhutu hawatakuwa warudie tena . Jitu Lina roho ya ajabu sana . Yeye hapangiwi ila sisi wananchi wenye mamlaka yote ndio anatupangia ?
 
Inabidi wananchi watafakari upya kuhusu ulipaji kodi
 

Inabidi hata kodi akachukue kwa hao
 
Kwahiyo ndugu shark a.k.a papa mwenye akili za kamongo ulitaka mgombea urais wa ccm amuombee kura mgombea ubunge wa upinzani? Hiyo michezo ya kutoeleweka upande wanayo wapinzani..
 
Anatakiwa aseme, mkinichagulia mpinzani sitachukua kodi zenu, hvyo kodi pelekeni kwa mbunge wenu awapelekee maji maana Mimi sitawaletea maji.


Huwezi sema hutawaletea maji na bado unachukua kodi zao.


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…