Hali inatishaMagufuli ni mkatili na mtu mwenye roho mbaya kupita kawaida. Na mbaya zaidi roho mbaya yake kwenye masaa 24 anaweza kuificha kwa dakika zisizozidi 30 tu. Ndo mana kila mtanzania sasaivi anajionea ni kwa jinsi gani alivyo mtu wa ajabu na hafai kuwa kiongozi.
Katika upeo wangu na uzoefu wangu kamwe sijawai ona mgombea uraisi iwe Tanzania hata nje ya Tanzania aliyetamka hadharani tena mchana kweupe kuwa msipomteua mtu wake kuwa mbunge basi sahauni kupata maji. Nasema haijawai tokea. Magufuli ndo wa kwanza!!
Tushazoea kunywa tope, kura zetu kwa LussuWakuu Kwema?
Wengi wetu tumekua tukimsikia Mgombea Urais kwa Tiketi ya CCM, Bw. John Joseph Magufuli akizitoa kauli hizi mbili za "Maendeleo Hayana Vyama" na "Mkinichagulia Wapinzani Sintoleta Maendeleo" katika maeneo mbalimbali kwenye Kampeni zake.
Amekua akizitoa aidha kwa wakati mmoja, au kauli mojawapo katika mikutano yake mbalimbali ya kampeni anayofanya. Ingawa kubagua kupeleka maendeleo sehemu zisizo na Mbunge wa CCM ni kuwasaliti hata madiwani wa CCM wa Jimbo hilo husika lakini hapa ninazungumzia maana ya kauli hizi katika lugha ya Kiswahili.
Mimi kwa uelewa wangu, na natumai wengi wetu tunaelewa hivyohivyo ni kua kauli hizi zinakinzana zenyewe. Yaani panapokuwepo na kauli mojawapo katika hizi basi ingine haiwezi kuwepo.
Huwezi ukabagua kupeleka maendeleo sehemu ambazo hawakumchagua mpinzani kisha kauli ya "Maendeleo Hayana Vyama" ikaendelea kua na mantiki. Hizi kauli mbili ni sawa na urushe "Shillingi" kisha matokeo yawe ni both "Head and Tail" kwa wakati mmoja, kitu ambacho ni haiwezekani.
Kwa Magufuli kuendelea kuhubiri kauli hizi ni kuthibitisha aidha ye mwenyewe hajui maana halisi ya kiswahili ya hizi kauli, au anazielewa vyema ila ameamua kutudhihaki Watanzania akijua kama hata kama anaongea vitu visivyoendena lakin mwishowe hatutakua na cha kumfanya.
Inawezekana hata wafuasi wake nao hawaelewi kwanini anaendelea kukosea kuhubiri kaulizi hizi mbili kwa pamoja lakini kwa kumuogopa wanashindwa cha kumfanya.
Wito wangu Kwa Ndugu Mgombea huyu ni achague tu upande mmoja bdio auhubiri huo huo. Yaani awe moto au baridi, lakini sio vuguvugu au kuuma na kupuliza kama anavyofanya, ni hayo tu.
Atuambie hayo maji anayatoa CHATO au kwenye hii arshi ya waTanzania wanaolipa kodi anapata hela za kutembea nazo kwenye kapu na kugawa atakavyo bila kupitia kwa Bunge . Huyu mtu atatupeleka kubaya na ndio maana tukimpa miaka 5 mi gine bila shaka atabadili katiba kwani ashadhani bila yeye Tanzania haipo.
WaTanzania kwanza.
Acheni kuchanganya context
Magufuli ni mkatili na mtu mwenye roho mbaya kupita kawaida. Na mbaya zaidi roho mbaya yake kwenye masaa 24 anaweza kuificha kwa dakika zisizozidi 30 tu. Ndo mana kila mtanzania sasaivi anajionea ni kwa jinsi gani alivyo mtu wa ajabu na hafai kuwa kiongozi.
Katika upeo wangu na uzoefu wangu kamwe sijawai ona mgombea uraisi iwe Tanzania hata nje ya Tanzania aliyetamka hadharani tena mchana kweupe kuwa msipomteua mtu wake kuwa mbunge basi sahauni kupata maji. Nasema haijawai tokea. Magufuli ndo wa kwanza!!
Atuambie hayo maji anayatoa CHATO au kwenye hii arshi ya waTanzania wanaolipa kodi anapata hela za kutembea nazo kwenye kapu na kugawa atakavyo bila kupitia kwa Bunge . Huyu mtu atatupeleka kubaya na ndio maana tukimpa miaka 5 mi gine bila shaka atabadili katiba kwani ashadhani bila yeye Tanzania haipo.
WaTanzania kwanza.
Kama hilo jimbo lilikosa maji, barabara, na hospital zaidi ya miaka 50 na liko chini ya ccm leo ndio tubabaike, hataivo majibo yote yaliyo chini ya ccm bado yana matatizo hayohayousifanye kosa kuchagua upinzani.......wewe chagua CCM ili ujihakikishie maendeleo endelevu.......huo ndio ukweli na utabakia kuwa ukweli....hapo hakuna kuremba. usijaribu kupoteza kura yako kwa upinzani.
Yeyote mwenye akili ya kawaida tu,hataki hats kuwasikiene, nafasi uliyoipata mliitumia vibaya. Make njee mjifunze.usifanye kosa kuchagua upinzani.......wewe chagua CCM ili ujihakikishie maendeleo endelevu.......huo ndio ukweli na utabakia kuwa ukweli....hapo hakuna kuremba. usijaribu kupoteza kura yako kwa upinzani.