Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh we sio mtu wa kawaida.....Kwa wale ambao hawapajui chato, kule hakuna uwakika wa abiria 10 wa Ndege kwa kila cku. Kijij ni cha wavuvi, kushoto ni pori la burigi. Hakuna shughuli za kibiashara.
Hatutashangaa kupelekwa ndeg kumfurahisha mzee baba, ila wajue kuna cku watashitakia kwa ujumu uchumj hata baada ya miaka 10. Jinai huwa haiozi
https://jamii.app/JFUserGuide YOU.Hii ni habari njema sana, route ikianza, abiria watapatikana, kitu muhimu ni kuutangaza utalii wa Chato. I was very right being optimistic kuhusu ujenzi wa uwanja huu.
Naunga mkono Uwanja wa Ndege wa Chato. Una justification, utakuwa kama Ggabolite au Yamoussoukro. Watalii watamiminika!
Wanabodi, Tangu kupatikana kwa taarifa ya kutelekezwa kujengwa kwa uwanja wa ndege wa Bukoba, eneo la Omukajunguti na badala yake sasa uwanja huo unajengwa Chato, kumetokea pingamizi kadhaa kupinga kujengwa kwa uwanja huo Chato kwa kutumia costs benefits index, hivyo mimi naunga mkono ujenzi...www.jamiiforums.com
P
Mkuu kati ya hao wakazi m4 abiria wangapi wanapatikana kwa sasa.Fantastic news. Au unatia tu Kamanda? Unajua eneo hilo ni kubwa lina watu milioni 4. Nearest other Airport ni Mwanza (350 kilometres) au Entebbe (429) au Lubumbashi (500). Linganisha na kwa Mbowe kuna international airports 3 ( KIA 45 kms, Embakasi 187, na Arusha 62), kwa watu milioni 2.5 tu. Which is better?
Jamani jamaniMkuu kati ya hao wakazi m4 abiria wangapi wanapatikana kwa sasa.
Mbona siku zote huna akili ktk kuandika kwako?CHADEMA wavimbe na kupasuka
We jamaa mnafiki sana na mshenzi pia.Hii ni habari njema sana, route ikianza, abiria watapatikana, kitu muhimu ni kuutangaza utalii wa Chato. I was very right being optimistic kuhusu ujenzi wa uwanja huu.
Naunga mkono Uwanja wa Ndege wa Chato. Una justification, utakuwa kama Ggabolite au Yamoussoukro. Watalii watamiminika!
Wanabodi, Tangu kupatikana kwa taarifa ya kutelekezwa kujengwa kwa uwanja wa ndege wa Bukoba, eneo la Omukajunguti na badala yake sasa uwanja huo unajengwa Chato, kumetokea pingamizi kadhaa kupinga kujengwa kwa uwanja huo Chato kwa kutumia costs benefits index, hivyo mimi naunga mkono ujenzi...www.jamiiforums.com
P
😆😆😆We jamaa mnafiki sana na mshenzi pia.
Hii ni habari njema sana, route ikianza, abiria watapatikana, kitu muhimu ni kuutangaza utalii wa Chato. I was very right being optimistic kuhusu ujenzi wa uwanja huu.
Naunga mkono Uwanja wa Ndege wa Chato. Una justification, utakuwa kama Ggabolite au Yamoussoukro. Watalii watamiminika!
Wanabodi, Tangu kupatikana kwa taarifa ya kutelekezwa kujengwa kwa uwanja wa ndege wa Bukoba, eneo la Omukajunguti na badala yake sasa uwanja huo unajengwa Chato, kumetokea pingamizi kadhaa kupinga kujengwa kwa uwanja huo Chato kwa kutumia costs benefits index, hivyo mimi naunga mkono ujenzi...www.jamiiforums.com
P
Hii dunia hii? Ama kweli Ukuu wa Mungu hauna mbadala!CHADEMA wavimbe na kupasuka