Maendeleo: Ndege za ATCL mbioni kuanza kutua Chato

Maendeleo: Ndege za ATCL mbioni kuanza kutua Chato

Kwa wale ambao hawapajui chato, kule hakuna uwakika wa abiria 10 wa Ndege kwa kila cku. Kijij ni cha wavuvi, kushoto ni pori la burigi. Hakuna shughuli za kibiashara.

Hatutashangaa kupelekwa ndeg kumfurahisha mzee baba, ila wajue kuna cku watashitakia kwa ujumu uchumj hata baada ya miaka 10. Jinai huwa haiozi
acha mbwembwe wewe, ndege sio tu kwa ajili ya abiria wa hicho kijj ambacho uwanja upo, ni kwa ajiri ya ukanda mzima wa maeneo hayo, so abiria hawawezi kukosekana
 

Hii ndio taarifa mpya kwa sasa kuhusiana na ruti mpya ya ndege za ATCL, kwamba baada ya ukaguzi wa Uwanja huo na kuonekana uko sawa ndege hizo zitaanza kupeleka abiria na kuwachukua kutokea Chato.

Hayo yamebainishwa na ofisa wa shirika hilo Mh Kavishe.
'Route' hiyo ni ya moja kwa moja au inaunganisha na vituo vingine ili kukusanya abiria?

Labda niulize swali, mbali ya mada: Hivi hayo mabegi hao akina dada huwa wanayajaza vitu gani? Mapedi? Sijawahi ona wahudumu wa kiume wakiwa nayo kivile! Sijadharau jinsia, ni swali tu.

Erythro, unaweza kusaidia jibu?
 
Chato chato kijiji kinarazimishwa kiwe jiji patamu kwelikweli ila siku zote wanasema maji hayawezi kupanda mlima nooo
 
Mtendaji Mkuu wa ATCL, Mhandishi Ladislaus Matindi amesema wanatarajia kuanza safari za ndege kwenda mkoani Geita kutokea Dar es Salaam kuanzia Januari 9, 2021. Amesema wataanza na safari mbili kwa wiki na zitaongezeka kuwa tatu kuanzia Januari 18 (Jumatatu, Alhamisi & Jumamosi).

C64E5417-6099-4BC8-BEFF-C34657285AC6.jpeg
 
Mtendaji Mkuu wa ATCL, Mhandishi Ladislaus Matindi amesema wanatarajia kuanza safari za ndege kwenda mkoani Geita kutokea Dar es Salaam kuanzia Januari 9, 2021. Amesema wataanza na safari mbili kwa wiki na zitaongezeka kuwa tatu kuanzia Januari 18 (Jumatatu, Alhamisi & Jumamosi).

View attachment 1662691
Hivi Mfugale mpaka leo hajafikisha miaka 60 ya kustaafu?
 
Mtendaji Mkuu wa ATCL, Mhandishi Ladislaus Matindi amesema wanatarajia kuanza safari za ndege kwenda mkoani Geita kutokea Dar es Salaam kuanzia Januari 9, 2021. Amesema wataanza na safari mbili kwa wiki na zitaongezeka kuwa tatu kuanzia Januari 18 (Jumatatu, Alhamisi & Jumamosi).

View attachment 1662691
Ni jambo jema!
 
Mtendaji Mkuu wa ATCL, Mhandishi Ladislaus Matindi amesema wanatarajia kuanza safari za ndege kwenda mkoani Geita kutokea Dar es Salaam kuanzia Januari 9, 2021. Amesema wataanza na safari mbili kwa wiki na zitaongezeka kuwa tatu kuanzia Januari 18 (Jumatatu, Alhamisi & Jumamosi).

View attachment 1662691
Fantastic news. Au unatia tu Kamanda? Unajua eneo hilo ni kubwa lina watu milioni 4. Nearest other Airport ni Mwanza (350 kilometres) au Entebbe (429) au Lubumbashi (500). Linganisha na kwa Mbowe kuna international airports 3 ( KIA 45 kms, Embakasi 187, na Arusha 62), kwa watu milioni 2.5 tu. Which is better?
 
Back
Top Bottom