Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazana baba. Utakuwa DC wa Chato. The reality is: It is a hostile location for an airline business.Hii ni habari njema sana, route ikianza, abiria watapatikana, kitu muhimu ni kuutangaza utalii wa Chato. I was very right being optimistic kuhusu ujenzi wa uwanja huu.
Naunga mkono Uwanja wa Ndege wa Chato. Una justification, utakuwa kama Ggabolite au Yamoussoukro. Watalii watamiminika!
Wanabodi, Tangu kupatikana kwa taarifa ya kutelekezwa kujengwa kwa uwanja wa ndege wa Bukoba, eneo la Omukajunguti na badala yake sasa uwanja huo unajengwa Chato, kumetokea pingamizi kadhaa kupinga kujengwa kwa uwanja huo Chato kwa kutumia costs benefits index, hivyo mimi naunga mkono ujenzi...www.jamiiforums.com
P
Absolutely SirOkey na akishatoka madarakani na uwanja unakuwa useless
View attachment 1646383
Hii ndio taarifa mpya kwa sasa kuhusiana na ruti mpya ya ndege za ATCL , kwamba baada ya ukaguzi wa Uwanja huo na kuonekana uko sawa ndege hizo zitaanza kupeleka abiria na kuwachukua kutokea Chato.
Hayo yamebainishwa na ofisa wa shirika hilo Mh Kavishe.
Hii nchi ni shamba la bibiAbsolutely Sir
Tatizo lake hatutaki kujifunza kupitia makosa ya wengine, refer uwanja wa Mizengo Pinda ule wa Katavi.
The same scenario will happen to this beautiful port of ours, Chato baada ya huyu Mhe. Sana kuondoka.
Itabeba hata mawe siyo lazima abiriaKama abiria wapo hakuna shida ziende
Na hii ni proof kwamba hataondoka madarakani atafia humohumoATCL ni shirika linalojiendesha kisiasa kuliko kibiashara, Napata ukakasi sana kuamini kama kweli shirika hili lina business plan, au kama lina sustainable plan,
Hivi mkuu wa shirika hili alipatikanaje, Vetting ilifanyika, Vigezo vipi vilitumika?? Je board ya wakurugenzi ilipatikanaje??? Je malengo ya kulifufua shirika hili yalikuwa ni yapi??? je yalikuwa ni kurahisisha ufisadi au yalikuwa ni nini hasa.
Kama malengo yalikuwa kufanya bishashara kwa nini shirika hili lilihamishiwa vote ambayo haikaguliwi na ''CAG" Lengo lilikuwa kuficha nini hasa? Kwa sasa tuishie hapo, Baada ya serikali ya awamu ya Tano kuondoka madarakani huenda yaliyojificha yatafichuliwa.
Hii ni habari njema sana, route ikianza, abiria watapatikana, kitu muhimu ni kuutangaza utalii wa Chato. I was very right being optimistic kuhusu ujenzi wa uwanja huu.
Naunga mkono Uwanja wa Ndege wa Chato. Una justification, utakuwa kama Ggabolite au Yamoussoukro. Watalii watamiminika!
Wanabodi, Tangu kupatikana kwa taarifa ya kutelekezwa kujengwa kwa uwanja wa ndege wa Bukoba, eneo la Omukajunguti na badala yake sasa uwanja huo unajengwa Chato, kumetokea pingamizi kadhaa kupinga kujengwa kwa uwanja huo Chato kwa kutumia costs benefits index, hivyo mimi naunga mkono ujenzi...www.jamiiforums.com
P
View attachment 1646383
Hii ndio taarifa mpya kwa sasa kuhusiana na ruti mpya ya ndege za ATCL , kwamba baada ya ukaguzi wa Uwanja huo na kuonekana uko sawa ndege hizo zitaanza kupeleka abiria na kuwachukua kutokea Chato.
Hayo yamebainishwa na ofisa wa shirika hilo Mh Kavishe.
CHATO ni GBADOLITE ,Just Matter of Time.
Agiza pepsi baridiii nakuja kulipaKama Mabus yameshindwa kupata abiria CHATO itakuaje Kwenye ndege?
Usitukane mamba kabla hujavuka mto, huenda na wewe ukawa hivyo hivyo tukikupa ridhaa ya kutuongoza Watanzania.Hii nchi ni shamba la bibi
Sawa Mkuu ,Ngoja tuje kusubiria MAGOFU ya Makumbusho kwa ajili ya watoto na wajukuu wetu.That wont be the case. Mark my words. Chato will open up new avenues in that area
Very sadMwisho wao unakuwaga mbaya sana!! BOKASA na MAOBUTU Mahekalu waliyojenga yamebakia MAGOFU.
Niite GK aka Bokasa.
View attachment 1647137
View attachment 1647138
View attachment 1647139
View attachment 1647140
View attachment 1647142
View attachment 1647149
Serengeti ni dry Savanah - Burigi ni wet Equatorial nafikiri kutokana na climate classification hiyo ni vitu viwili tofauti.Huko burigi kuna nini ambacho hupati serengeti?
Sawa Mkuu ,Ngoja tuje kusubiria MAGOFU ya Makumbusho kwa ajili ya watoto na wajukuu wetu.