Maendeleo: Ndege za ATCL mbioni kuanza kutua Chato

Maendeleo: Ndege za ATCL mbioni kuanza kutua Chato

Hii ni habari njema sana, route ikianza, abiria watapatikana, kitu muhimu ni kuutangaza utalii wa Chato. I was very right being optimistic kuhusu ujenzi wa uwanja huu


P
Yaan Paschal nikikumbuka miaka ya 1998 kipindi hiko nipo mdogo nilikuwa navutiwa na utangazaji wako nilikuwa nakupenda mno yaan.

Ila Baba angu aliwahi kuniambia sio kila unachoambiwa tu ww unakubali unatakiwa ujenge hoja na ukikubali bila kuwa na sababu sawa umekataa na ukikataa bila ya kuwa na sababu ni sawa umekubali.

Paschal kila kitu unakubali tu kama ingekuwa enzi za Muhamad ningekufananisha na Abuu Bakar Swidiq yaan yeye lolote atakalosema Muhamad anasema kweli hata kama hajaliona wakamapchika jina Abuu kukubali yaan Swidiq
 
walete mapato na matumizi hapa tuone mbale ya hadhira.chato ndio nini upuuzi mtupu..
 
Abiria wa Geita mjini wakishukia Chato airport haina shida,bei ikiwa nzuri watu wengi watapanda maana Kuna watu wanafanyakazi Geita mjini,Buselesele,Bwanga,Sengerema na Katoro na wanafamilia Dar wanaweza kuja kusalimia wakarudi kwenye shughuri zao.
 
‎Stop misleading, Mwanza's passengers don't just come out of Pansiansi, nor of Dar es Salaam, so do Chato!" Mwanza passengers are from all districts of Mara, Mwanza, Simiyu, Shinyanga, Geita etc. Currently Chato will come from The Districts of Geita Province, Shinyanga, Kagera. It is neighbouring major Mines Geita Gold Mine, Kahama, Biharamuro, Ngara etc. Chato is not a village headquartered in the District. Why are the ATCs going to Kigoma, Katavi, Songea etc., Why not Chato?!‎
Hahaha wasukuma mnamtesa mwenzenu naye anafuatilia huu mjadala, bora ungeandika kwa kisukuma kabisa,hivi mna mpa shida.

Sasa hii comment mpaka amuite nanihii kumtafsiria.
 
awamu hii ina maajabu, unaweza kukuta hao abiria wa chato woote ni staff...hawalipi hata tshs kumi wanapanda bure tu!.
 
Inapendeza sana Kila mkoa kuwa na uwanja wa ndege, Sasa Musoma na Shinyanga napo pawe na hadhi ya uwanja wa lami, kikubwa nauli zishuke ili tupishane hewani.
 
Kwa wale ambao hawapajui chato, kule hakuna uwakika wa abiria 10 wa Ndege kwa kila cku. Kijij ni cha wavuvi, kushoto ni pori la burigi. Hakuna shughuli za kibiashara. Hatutashangaa kupelekwa ndeg kumfurahisha mzee baba, ila wajue kuna cku watashitakia kwa ujumu uchumj hata baada ya miaka 10. Jinai huwa haiozi
Mmmmmh, maneno makali sana hayo.
 
Abiria kwenda Chato watapatikana tu hata kwa lazima.

ATCL wanaweza kuwa na trips 2-3 kwa week na wakiweza kupata angalau 50% ya carrying capacity ya ndege kwa kila trip, watakuwa wameachive lengo lao.
 
Zitaenda tupu na kurudi tupu. Huyo anayejiita mwendawazimu si ndiye alilazimisha CRDB wajenge branch kubwa pale kwa kudai kuna biashara matokeo yake wafanyakazi wa CRDB wanachapa usingizi ofisini na kucheza karata.
Nchi inaongozwa kwa show ya mtu mmoja,yeye ndiye Rais,yeye ndiye waziri wa wizara zote na yeye ndiye mkurugenzi wa mashirika yote!
1178909.jpg
 
Abiria kwenda Chato watapatikana tu hata kwa lazima.

ATCL wanaweza kuwa na trips 2-3 kwa week na wakiweza kupata angalau 50% ya carrying capacity ya ndege kwa kila trip, watakuwa wameachive lengo lao.
Ungeniambia Kahama ningekuelewa kidogo
 
Kwa wale ambao hawapajui chato, kule hakuna uwakika wa abiria 10 wa Ndege kwa kila cku. Kijij ni cha wavuvi, kushoto ni pori la burigi. Hakuna shughuli za kibiashara. Hatutashangaa kupelekwa ndeg kumfurahisha mzee baba, ila wajue kuna cku watashitakia kwa ujumu uchumj hata baada ya miaka 10. Jinai huwa haiozi
kuna mbuga kubwa wewe imeanzishwa hiyo hapo watalii wameashaanza kufurika kule hoteli za kitalii zipo pia

 
Back
Top Bottom