Maendeleo: Ndege za ATCL mbioni kuanza kutua Chato

Maendeleo: Ndege za ATCL mbioni kuanza kutua Chato

Kwa wale ambao hawapajui chato, kule hakuna uwakika wa abiria 10 wa Ndege kwa kila cku. Kijij ni cha wavuvi, kushoto ni pori la burigi. Hakuna shughuli za kibiashara. Hatutashangaa kupelekwa ndeg kumfurahisha mzee baba, ila wajue kuna cku watashitakia kwa ujumu uchumj hata baada ya miaka 10. Jinai huwa haiozi
haya mahoteli ya kitalii yaliyopo CHATO yanayojaza watalii ni ya nini?

 
Ungeniambia Kahama ningekuelewa kidogo
As soon as option ya kusafiri kwa ndege inakuwepo, wengi waliokuwa wanalazimika kupanda bus kwenda Kahama na maeneo jirani wanaweza kushawishika kuruka na pipa mpaka Chato then wasafiri na barabara

Ule uwanja lazima tuutafutie matumizi tu hata ikibidi kurusha ndege kwa gharama nafuu sana ili wakulima na wafanyakazi wa kawaida waweze kumudu😎
 
Kwa wale ambao hawapajui chato, kule hakuna uwakika wa abiria 10 wa Ndege kwa kila cku. Kijij ni cha wavuvi, kushoto ni pori la burigi. Hakuna shughuli za kibiashara. Hatutashangaa kupelekwa ndeg kumfurahisha mzee baba, ila wajue kuna cku watashitakia kwa ujumu uchumj hata baada ya miaka 10. Jinai huwa haiozi
Na sehemu iliyochangamka ni Restaurant iliyopo karibu na makazi ya mzee hata ukienda kunywa hapo unakunywa ukichunga mdomo na akili maana vinaweza kukuponza ukianza kuizungumzia keki ya nchi
 
Kama Mabus yameshindwa kupata abiria CHATO itakuaje Kwenye ndege?
Hapa kila mtalii anaye taka kwenda Ngorongoro, Serengeti au Zanzibar anapewa offer offer offer kutua Chato Airport na kutalii Burigi-Chato national park, kabla ya kuelekea huko anakotarajia kwenda. Hii package itasaidia kutangaza North West tourism circuit na uwanja wa Chato.

Chato Airport ipo na itakuwepo milele ya uhai wako! Tujifunza na kuikubali ili tuishi nayo. Badala ya kuiponda na kuchukia kitu ambacho huwezi kibadilisha, changia mawazo jinsi ya kuuboresha ili faida ipatikane ufaidike.
 
Inashauriwa pia ujengwe ukumbi wa kisasa wa mikutano pale Ili mikutano yote iwe ikifanyika pale kusudi ndege zisikose abiria
 
Inashauriwa pia ujengwe ukumbi wa kisasa wa mikutano pale Ili mikutano yote iwe ikifanyika pale kusudi ndege zisikose abiria
Najua anao watu wengi wanaojikomba kwake wanamjua ni mpenda sifa so hili linawezekana
 
Kwa wale ambao hawapajui chato, kule hakuna uwakika wa abiria 10 wa Ndege kwa kila cku. Kijij ni cha wavuvi, kushoto ni pori la burigi. Hakuna shughuli za kibiashara.

Hatutashangaa kupelekwa ndeg kumfurahisha mzee baba, ila wajue kuna cku watashitakia kwa ujumu uchumj hata baada ya miaka 10. Jinai huwa haiozi
waache wapumbavu wafurahi,biashara ya ndege kwa nchi maskini ni hasara
 
Mie napajua Chato, wewe hupajui, jaribu kuwa mkweli. The nearest aiport ni Lubumbashi maili 200 au Mwanza maili 300. Hapo katikati kuna watu zaidi ya milioni 4, wakulima na wafugaji, Watanzania kama wewe. Linganisha na safari fusion tu ya Moshi hadi Arusha maili 60 tu lakini kuna international airports 4 (KIA, Arusha, Kahe, Embakasi). Na idadi ya raia ni milioni 2 tu.

Ukitoa data za lami, shule, umeme, hospitali, maji na tigopesa, utakuta shida ni hiyo hiyo: eneo kubwa, watu wengi, utajiri mkubwa, lilisahauliwa. Ni eneo kubwa kuliko Belgium. Uchumi wake dhahabu, hadi mabeberu wanampa tundulissu nishani awatetee wazidi kutuibia makanikia.

Eti wakose abiria 10. Na hawo watalii wa Burigi Chato national Park wataenda na ungo? Akutukanaye?
Airport ya bukoba nayo iko maili 500?
 
Hapa kila mtalii anaye taka kwenda Ngorongoro, Serengeti au Zanzibar anapewa offer offer offer kutua Chato Airport na kutalii Burigi-Chato national park, kabla ya kuelekea huko anakotarajia kwenda. Hii package itasaidia kutangaza North West tourism circuit na uwanja wa Chato.

Chato Airport ipo na itakuwepo milele ya uhai wako! Tujifunza na kuikubali ili tuishi nayo. Badala ya kuiponda na kuchukia kitu ambacho huwezi kibadilisha, changia mawazo jinsi ya kuuboresha ili faida ipatikane ufaidike.
Huko burigi kuna nini ambacho hupati serengeti?
 
Akili yako ni ya kujua hiki choo, huu msosi, huyu samaki, huyu nyoka.
Basi
FB_IMG_1578677028602.jpg
 
Hii ni habari njema sana, route ikianza, abiria watapatikana, kitu muhimu ni kuutangaza utalii wa Chato. I was very right being optimistic kuhusu ujenzi wa uwanja huu.


P
Zimebaki nafasi mbili za ubunge mzee keep it up
 
Kwa wale ambao hawapajui chato, kule hakuna uwakika wa abiria 10 wa Ndege kwa kila cku. Kijij ni cha wavuvi, kushoto ni pori la burigi. Hakuna shughuli za kibiashara.

Hatutashangaa kupelekwa ndeg kumfurahisha mzee baba, ila wajue kuna cku watashitakia kwa ujumu uchumj hata baada ya miaka 10. Jinai huwa haiozi
Watu wa Geita na Biharamulo unawapeleka wapi?
 
Kwa wale ambao hawapajui chato, kule hakuna uwakika wa abiria 10 wa Ndege kwa kila cku. Kijij ni cha wavuvi, kushoto ni pori la burigi. Hakuna shughuli za kibiashara.

Hatutashangaa kupelekwa ndeg kumfurahisha mzee baba, ila wajue kuna cku watashitakia kwa ujumu uchumj hata baada ya miaka 10. Jinai huwa haiozi
Hah hah hah. Wanaforce kupeleka ndege huko baada ya vijembe vya Tundu Lissu kwa uwanaja ule anautumia yeye na mama yake tu. Sasa wanataka kum-prove wrong TL. Big gamble!
 
Logic yao ni kuwa mbona abiria wa kawaida wanapanda hizo ndege kutokea chato na sio namba moja pekee!

Yaani itatengenezwa cinema ambayo itaonesha umuhimu wa kibiashara wa uwanja ule na kwamba hela ya Umma haijapotea kujenga huo uwanja.
Okey na akishatoka madarakani na uwanja unakuwa useless
 
View attachment 1646383

Hii ndio taarifa mpya kwa sasa kuhusiana na ruti mpya ya ndege za ATCL , kwamba baada ya ukaguzi wa Uwanja huo na kuonekana uko sawa ndege hizo zitaanza kupeleka abiria na kuwachukua kutokea Chato.

Hayo yamebainishwa na ofisa wa shirika hilo Mh Kavishe.
Kupeleka watalii? Au zitakuwa empty flights? Tundu Lissu kaleta balaa!!
 
Back
Top Bottom