Maendeleo: Ndege za ATCL mbioni kuanza kutua Chato

Daah nakumbuka watu walisema kiwanja cha chato ni potential, ati wana kilimo cha umwagiliaji na ufugaji kwaio watakua wana export mboga mboga pamoja na nyama kwenda nchi za mbali,,,Muda utazungumza.
 
Duuh we sio mtu wa kawaida.....
 
https://jamii.app/JFUserGuide YOU.
 
Mkuu kati ya hao wakazi m4 abiria wangapi wanapatikana kwa sasa.
 
CHADEMA wavimbe na kupasuka
Mbona siku zote huna akili ktk kuandika kwako?
Si bora uwe unakaa kimya kuficha ujinga wako?
Unafikiri CDM ni mataga kama wewe?
Kumbuka akili za CDM mmoja ni sawa na mataga 300.
Njooni kwa hoja acheni blah blah!
Ndege kwenda chato kama kuna biashara (abiria) imekaa safi kabisa!
 
We jamaa mnafiki sana na mshenzi pia.
 

Pasco na wewe pia uliunga mkono juhudi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…