Maendeleo ya mtu yana uzuri asilimia 30 tu zinazobakia asilmia 70 ni uchafu mtupu ambao hubaki siri yake maisha

Yaani wewe haujuhi kwamba chakula unavyokula ndo vizuri. Utajiri wa kula chakula ambavyo si natural ni kutoka tu
 
Kwa amani πŸ‘πŸ‘
Nyie lazima mtakuwa na roho ya kwanini sana...Mjifunze kufurahia mafanikio ya wenzenu, ndipo sa nanyi mtafanikiwa...Formular ya maisha ipo hivi, you cannot give what you do not have...Moyo wako ukijaa umasikini kama mnavyo onyesha wewe na mtoa mada lazima maisha yenu yajaee huzuni na umasikini.

Njoo kwetu kaskazini nikuonyeshe watu wenye mafanikio, elimu, pesa, watoto n.k lakini hawana mbambamba kabisa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…