Haya tumbie mfumo upi huo ambao upo kwenye ilani yao utakaoweza kubadilisha elimu ya kukariri?Moja ya mambo watakayoyafanya ni kuyaasisi, na kubadilidha mfumo wa elimu ya kukaririsha watu ili iwakomboe Watanzania toka akili mgando kama ulizo nazo wewe mleta mada.
Your all right 💪Ninashauri modes muweke kitufe cha dislike ili wanajukwaa waweze kujitathmini baada ya kuangalia like na dislike,
Kwahiyo CHADEMA Ina fikra mpya?Ni mjinga kama wewe anayedhani nchi kuna watu wanahati miliki ya kuongoza! Hata wewe na baba yako mna mawazo tofauti sembuse wananchi wote. Hivyo watu wanataka fikra mpya na tofauti, wamechoka kunyanyaswa, kuuawa, kutukanwa na kusimangwa kwa mali zao wenyewe.
Wewe unayedhani watu wanataka kuwekewa fedha mfukoni utabaki na upumbavu wako!
Unauliza ujinga! Utapata akili ukiacha kunuka maziwa.Kwahiyo Chadema Ina fikra mpya?
Munjombe ulichoongea Ni fikra zako binafsi je unazani Tundu Lissu na CHADEMA wanaweza kufanya hivyo ikiwa tu wameshindwa kufanya ikiwa hawapo madarakani ndio wakipata madaraka ndio watayafanya?wanaweza kufanya vitu vile ila kwa style na akili tofauti.Mfano ujenzi wa barabara CCM wao wanajenga zaidi mjini lakini CHADEMA wanaweza kuamua kujenga kwanza vijijini kama alivyosema LISSU,wanaweza pia kuamua kua badala ya kununua ndege wasambaze maji kwa kiwango cha asilimia mia moja ili kulinda utu na thamani ya Mwafrica maana kwa akili zilizopo sasa wananunua magari ya milioni mia tano gari moja lakini bajeti ya maji hawana na ndio maana anakuja mzungu mmoja to Maerekani anapiga picha vijiji na kwenda kuomba msaada kwao ili atuletee maji tunaonekana wote ni hohe hahe.Umeme unasambazwa kwa piloting style CHADEMA wanaweza amua kusambaza kwa awamu bila kuruka vijiji au vitongji kama ilivyofanyika.Kwenye Kilimo CHADEMA wanaweza amua kutoa ruzuku kwenye matrekta ili angalau kila kijiji kiwe matrekta mawili au matatu watakodishana wenyewe kwa wenyewe.Unaweza fanya jambo lile lilokuwa linafanywa na CCM kwa njia isiyo sahihi nawe ukafanya kwa usahihi.
KWETU NJOMBE MRADI WA MAJI ULIANZA 2016 hadi leo haukamiliki.
Ebu jaribu kuweka ushabiki pembeni nikuuliza CHADEMA Ina fikra mpya?Unauliza ujinga! Utapata akili ukiacha kunuka maziwa.
Yuko Pemba baada ya Pemba anafungia DarWakuu leo ratiba ya Lissu inasemaje?
Hivi shuleni ulijifunza ujinga? Soma sera utofautishe?Ebu jaribu kuweka ushabiki pembeni nikuuliza CHADEMA Ina fikra mpya?
Unachoongea wewe Ni hopeness Chadema imeshindwa kuprove kwa watanzania wengi ipo tofauti na CCM hiyo tofauti ndio uitegemee wakiwa madarakani?Aisee ni wewe tu ndo hujui mchango binafsi wa Lissu kwa makundi mbalimbali akitumia taaluma yake kama mwanasheria! Kwa taarifa yako Lissu ana mchango mkubwa sana katika kujitolea kusaidia makundi msaada wa kisheria, zile 5milion unazomuona mgombea wa ccm akitoa kusaidia madawati hakuwahi kuzitoa popote akiwa mbunge kabla ya kuwa rais! Nimeacha bila kusema Lissu alimsaidia nani ili ubakie gizani hivoivo!
After all suala la maendeleo ni sera za chama, Kama wanakusanya kodi watashindwaje kutekeleza miradi ya maendeleo?
CCM wapishe wapate darasa la namna maendeleo yanavyofanyika sio kudanganya tu wananchi, alafu mkiingia ikulu unaanza kutoa sababu!
Kumkomboa masikini ni ngumu sana ila kumtawala ni rahisi mno! Sasa hoja ya ccm ni ipi? hii ya kuminya nyongeza za mishahara?lissu kiujumla hana hoja nzito pamoja na chadema kwa ujumla watanzania sasahivi wana akili wanachuja mbivu na mbichi kuongoza nchi si rahisi kama wanavyofikiri magufuli ameshaonyesha ni kitu gani anafanya sasa wao hata hawajulikani wanataka kufanya nini maana kampeni zao ni kumsema magufuli ambaye tayari anachakuonyesha wananchi kafanya nini sasa lissu anawaonyesha kitu gani alichofanya...
Huyo huyo Tundu lissu aliwahi kusema Lowassa ni fisadi papa na ushahidi wanao na huyo huyo akawa Ni mmoja ya watu waliompokea chamani na kumsafisha kiongozi wa namna hii Nitawezaje kumuamini?Hivi shuleni ulijifunza ujinga? Soma sera utofautishe?
Issue sio kubadilisha chama issue hiko chama mbadala kina uwezo tofauti na chama kilichopo?Kumkomboa masikini ni ngumu sana ila kumtawala ni rahisi mno! Sasa hoja ya ccm ni ipi? hii ya kuminya nyongeza za mishahara? Wadanganyika bado ni wengi sana , ni hii ndio shida. Nani amekuaminisha kuwa kubadili chama tawala ni kukaribisha fujo? Haki na Uhuru vikitamalaki hakuna tatizo popte!!