Maeneo ambayo Waislam wanawapiga Bao Wakristo

Maeneo ambayo Waislam wanawapiga Bao Wakristo

Sehemu Nayowapa Credit ni maswala ya UBINADAM(HURUMA NA KUSAIDIA)

Nadhani ni karibia hospital zote kubwa waislam Ndo wenye mchango mkubwa kuwasaidia wagonjwa wote bila kujali itikadi kwa kuwapa vyakula na maji.

Nilishawahi uguzaga Mgonjwa hospital mbili tofauti nikabahatika kuona hiyo hali , ilinivutia sana .Kwani ndani ya wodi alolazwa mgonjwa wangu karibia wote hawakuwa hata na ndugu wenye uwezo wa kukimu mahitaji la mlo kwa mara tatu. Hivyo ukipeleka chakula basi unazidisha angalau nae awape wenzake.Pia kupitia hizo taasisi za kiislam zilifanya wagonjwa wote kupata chakula na maji.

Nilijiuliza ni namna gani wanawasaidia watu katika hali ngumu kama ile huku imani ya pili huku ndo kwanza ni kuchangishana kwenye nyumba za ibada ili kujenga hospital alafu gharama zao ziko juuu.
Upo sahihi kabisa.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Mmh hujaelewa ndugu. Nilikuwa nafafanua chanzo cha hizi Sheria au Sharia ni Musa au Nabii Musa.
Uislam umekuja baada ya ukristo miaka 600 baadaye. Ukristo ulikuja baada ya uyahudi miaka elfu kadhaa baadaye. Ila kumbuka Dini zote ni Abrahamic. Chimbuko ni Ibrahim.

Sote ni Watoto wa Baba mmoja. Tuendelee kuishi kwa upendo tukishirikiana na kusaidiana. Ndio maana nikasema kila mmoja ana zuri la kujifunza kwa mwenzake.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
OK sawa ila Muhammad (pbuh) ndo alikuja miaka 600 baada ya ukristo lakini ukweli nikwamba nabii Ibrahim, Nabii Musa nabi Adamu nabii Issa wote walikua waislamu japo uashilishaji na majukumu yao kwa binadamu haufanani......ila uislamu ulikuepo ulikuja kukamilishwa na Mtume Muhammad hilo liko kwenye Quran kama sijasahau ch 5 :3.
 
Hongera kwa uchambuzi mzuri. Ila kumbuka Sheria au Sharia na Desturi nyingi zinazotumika katika Dini ya kiislam zilichukuliwa au kuendelezwa kutoka katika Dini ya Kiyahudi. Mengi unayoyaona yanafuatwa na kuzingatiwa na waislam yapo hivyo hivyo pia katika Dini ya Kiyahudi.
Na mengi ni yapo kama yalivyo kwenye Torati au Taurati ya Musa au yamenyumbulishwa kama walivyonyumbulisha waandishi wa sheria wa wakati ule na kupata sheria zaidi ya 600+++ kutokana na Torati.

Wakristo waliondokana na Sheria hizo kwa sababu nyingi zilikuwa mzigo mzito ambao walilazimishwa kuzitii watu wa chini huku waliozisimamia wakiishi kinafiki.

Ni kama Leo nchi ya Saudi Arabia ambayo inafuata Sharia Kali za kiislam na ni Suni na wananchi wanafuata.. lakini wanaozisimamia ambao ni utawala na familia ya kifalme ya Saudia wanaishi maisha ya kufuru na uchafu wa kila namna. Kila starehe Duniani unayoijua na usiyoijua wanafanya lakini kwao huko wanaonekana ni watakatifu mno maana ni descendants wa mtume.

Utaratibu na Sheria hizo ni nzuri kwa maana ya kuweka usawa kwa wote ingawa zinaweza kuleta changamoto kutokana na mazingira tofauti tofauti ya Ulimwenguni.
Zipo nchi za kiislam ambazo ukienda utashangaa hawafuati kabisa baadhi ya Sheria. Mf. Indonesia, Uturuki, Lebanon Kuna baadhi wanafuata Desturi zao badala ya sheria ya Dini.

Ila kwa ujumla ni nzuri sana Kila Dini ila jambo zuri la pekee ambalo Dini nyingine inaweza kujifunza.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Asante ndugu Fereke ila kwetu sisi waislaam tunaamini na inasema Qur an kwamba Qur an imekuja kusadikisha vitabu(zabur, taurat hiyo ya wayahud, injili ambayo mnaifuata sana nyie ndugu zetu wakristo) vilivyopita kadhalika imekuja kusadikosha mitumi waliopita(yaani issa~yesu, Mussa, harun, ibhaim, is haka, haqub) ambao na nyie mnao hao mitumi kulingana na imani yenu ya kikristo


Kwahiyo Qur an haija paste ndugu, bali imekuja kusadikisha yaliyopita tunavyoaamini sisi waislaam pia si tu kisadikisha Bali imekuja na sharia mpya ambazo hazikuwa kutumika katika kaum ama umma zilizopita

Na kuna point dhaifu baadhi ya watu huwa wapenda kuitumia kuwa Islaam imekuja 600 baada ya yesu, wanakosea, inabidi waseme mtumi Muhammad ndio kaja 570 baada ya yesu kwasababu uislaam ulikuwapo hata kabla ya yesu kuja, kwasababu what is Islam??

I can simply define it as a total a way of life ambayo kiimani inaamini mwenyezi ni mmoja tu na amewatuma wajumbe wengi na Muhammad ni mjumbe pia na mjumbe wa mwisho kutumwa na mjumbe wa umma/zama hii tuliopo

Na utaona sisi waislaam ndio hata ibada zetu tunafanya ibada kama alivyofanya yesu, yaani tunarukuu/inama yesu alikuwa akifanya hivyo, tunasujudu yesu alikuwa akifanya hivyo na tunakaa tunamtaja mwenyezi mungu yesu alkuwa akifanya hivyo...!

Kama ukristo ni kufuata alivyoishi nabii Issa na kufanya ibada namna alivyokuwa akifanya basi nasisi twafanya hivyo ila yeye ni mungu/Mwana wa mungu hapo waislaam hutukuti maana tunaamini mwenyezi ni mmoja hafanani na chochote hajazaa wala hajazaliwa na hafananishwi na chochote na hana mshirika wa mwili wala nafsi


Pia kumbuka injili imekuja miaka maefu haswa! Wengine wanasema 4000 baada ya taurat ya Mussa wanayoishika sana mayahud, ukisema uislaam ni fake na umecopy kwa sababu umekuja miaka 600 baada ya yesu basi na wayahudi ambao mpaka sasa hawaamini Issa yaani yesu ameshakuja duniani wapo sawa kwasababu injili pia itakuwa imecopy vitabu vilivyotangulia maana na yenyewe imekuja baadae sana(kumbuka Judas hawaamini injili kuwa tayari ipo)

Note: sio mjadala ila nime comment tu,

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Kulinda imani yao.

Huwezi kusikia dini yao inachezewa ovyo ovyo tu halafu wakakuangalia tu. Yaani msanii muislam yupo tayari kutengenezea maudhui yake kanisani ila sio akachezee msikitini.

mavazi ya kina dada.

hapo wameupiga mwingi sana .
 
Ime
Asante ndugu Fereke ila kwetu sisi waislaam tunaamini na inasema Qur an kwamba Qur an imekuja kusadikisha vitabu(zabur, taurat hiyo ya wayahud, injili ambayo mnaifuata sana nyie ndugu zetu wakristo) vilivyopita kadhalika imekuja kusadikosha mitumi waliopita(yaani issa~yesu, Mussa, harun, ibhaim, is haka, haqub) ambao na nyie mnao hao mitumi kulingana na imani yenu ya kikristo


Kwahiyo Qur an haija paste ndugu, bali imekuja kusadikisha yaliyopita tunavyoaamini sisi waislaam pia si tu kisadikisha Bali imekuja na sharia mpya ambazo hazikuwa kutumika katika kaum ama umma zilizopita

Na kuna point dhaifu baadhi ya watu huwa wapenda kuitumia kuwa Islaam imekuja 600 baada ya yesu, wanakosea, inabidi waseme mtumi Muhammad ndio kaja 570 baada ya yesu kwasababu uislaam ulikuwapo hata kabla ya yesu kuja, kwasababu what is Islam??

I can simply define it as a total a way of life ambayo kiimani inaamini mwenyezi ni mmoja tu na amewatuma wajumbe wengi na Muhammad ni mjumbe pia na mjumbe wa mwisho kutumwa na mjumbe wa umma/zama hii tuliopo

Na utaona sisi waislaam ndio hata ibada zetu tunafanya ibada kama alivyofanya yesu, yaani tunarukuu/inama yesu alikuwa akifanya hivyo, tunasujudu yesu alikuwa akifanya hivyo na tunakaa tunamtaja mwenyezi mungu yesu alkuwa akifanya hivyo...!

Kama ukristo ni kufuata alivyoishi nabii Issa na kufanya ibada namna alivyokuwa akifanya basi nasisi twafanya hivyo ila yeye ni mungu/Mwana wa mungu hapo waislaam hutukuti maana tunaamini mwenyezi ni mmoja hafanani na chochote hajazaa wala hajazaliwa na hafananishwi na chochote na hana mshirika wa mwili wala nafs

Korani inayofundisha watu kupiga wake zao
 
Mungu Huwa hafanyi double standards ,kurudia kitabu alishakiandika upya?tokea manabii wa agano la kale nabii mpya alikuja na kitu kipya lakini hakiondoi mambo ya kabla
 
Wengi wa waislamu ni wanafiki sana hasa Kwa wakristo,ni wamejaa zuluma sana hawana upendo,wavivu na watapeli ,waanaamini kumdhulumu mtu wa imani nyingine kwao siyo dhambi,hawataki kuwajibika hata Kwa watoto wanaowazaa ndiyo maana hukimbilia talaka,ulozi na ugannga ugannga ndio kitu pekee wanaweza kuongoza
 
Hata kwenye kutoa ndogo wapo vizuri
Kwa kuwa mabinti ni wasafi raha ya ndogo usafi asee kwa mtoaji ndogo haswa binti na sio binti tuu,,,Ni Binti wa kiislamu mwenye stara zake na usafi wake haswaa ukiongeza na yale ma uturi yao acha kabsaa!!,,,Pepo ni hapa hapa ulimwenguni!!
 
Back
Top Bottom