m2mixh
JF-Expert Member
- Jan 3, 2017
- 614
- 391
Hapo Sasa unataka kuleta mambo ya theoretically.Kwahiyo unapinga au unafafanua zaid, ila nacho jua uislamu ni wasiku nyingi kuliko uyahudi Jewish
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo Sasa unataka kuleta mambo ya theoretically.Kwahiyo unapinga au unafafanua zaid, ila nacho jua uislamu ni wasiku nyingi kuliko uyahudi Jewish
Hata kwenye kutoa ndogo wapo vizuri
Nje na Quran, kuna kitabu kingine Chochote hata cha kihistoria kinachothibitisha hayo madai yako?OK sawa ila Muhammad (pbuh) ndo alikuja miaka 600 baada ya ukristo lakini ukweli nikwamba nabii Ibrahim, Nabii Musa nabi Adamu nabii Issa wote walikua waislamu japo uashilishaji na majukumu yao kwa binadamu haufanani......ila uislamu ulikuepo ulikuja kukamilishwa na Mtume Muhammad hilo liko kwenye Quran kama sijasahau ch 5 :3.
[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]Umesahau mambo mengine katika uislamu Ambao ni ya utu na kuvutia.
1. Ujirani na muislamu ni kama undugu ye utawajibika kwa Allah usipo mjulia hali jirani yako.
2.wazazi dini yao inawalazimiasha kusaidia wazazi wao hasa mzazi wa kike.
3. Hawana hightable kwenye sherehe zao manaake hawana matabaka katika jamii wote wako sawa. Wanakula pamoja hata wale wasio waislamu wakati wakupakua wanapewa chakula, muislamu huona chakula kama kitu cha kawaida hawezi kumnyima mtu.
4 husaidiana wakati washida za kijamii msiba, harusi au biashara hawachagishani wanatoa kwa hiari zao, wenyewe wanasema muislamu ndugu ye muislamu. nk.
Hakuna kitu ninachopenda kama kuona mwanamke wa kiislamu amejistili inavyotakiwa ,anapendeza sana na ni ngumu kupigwa miluzi na wahuni na kuvuta matanio ya wanaume .Kulinda imani yao.
Huwezi kusikia dini yao inachezewa ovyo ovyo tu halafu wakakuangalia tu. Yaani msanii muislam yupo tayari kutengenezea maudhui yake kanisani ila sio akachezee msikitini.
mavazi ya kina dada.
hapo wameupiga mwingi sana .
Saiv ukifikwaa na msiba kwetu wakristo ni stress tupu...catering msibani..kaburi kujengewaa..sare za familiaa..mziki wa maombolezo...mpk msiba uishe upoo hoii🙌wakristo tunaoverdo jamaniTena kwenye kuzika wenzetu hawarembi kabisa
Wakristo mtu akifa sijui itatengenezwa badget ya mamilion,watu sijui mchange blahblah kibao
Ova
Wakujipua na kuvaa mabomu ni extremist ,harakati hizo zinapigwa vikali na sheria za uislamu Masheikh wametunga vitabu wakieleza asilinya itikadi hiyo na jinsi walivyopotoka na kuvuka mipaka wao wanaua watoto ,Wanamama mpaka misikitini wanalipua ni kundi ovu mno.Natamani sana uislamu. Shida ni Kujiripua na kuvaa mabomu. Ila ni wazuri sana hasa stara. Siyo huku kwetu watu wana roho mbaya kama sijui nini?
Mafundisho yote ya uislam kupitia Sunnah na Quran hayawafundishi na hayaelezei kuidhurumu nafsi yoyote isiyo na hatia hata kama sio muislam,huwa nashangaa hao jamaa wa jihadi wanafuata mafundisho yapiNatamani sana uislamu. Shida ni Kujiripua na kuvaa mabomu. Ila ni wazuri sana hasa stara. Siyo huku kwetu watu wana roho mbaya kama sijui nini?
Yeah ni ngumu kwakweli, pia unapewa heshima zote yaani hadi rsha[emoji1545]Hakuna kitu ninachopenda kama kuona mwanamke wa kiislamu amejistili inavyotakiwa ,anapendeza sana na ni ngumu kupigwa miluzi na wahuni na kuvuta matanio ya wanaume .View attachment 2659597
MmmmhKwenye heshima nadhani Wakristo wako vema sana hapa naongelea ukiristo dini na sio jina
Natamani kua mkristo ila shida ni kuambiwa na Pastor Mckenzie ufunge bila kula mpaka ufe ili ukaonane na Yesu haraka sana huko mbinguni.Natamani sana uislamu. Shida ni Kujiripua na kuvaa mabomu. Ila ni wazuri sana hasa stara. Siyo huku kwetu watu wana roho mbaya kama sijui nini?
Fala tuu wewe
Wewe mfia nini?Wafia dini kazi mnayoo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wafia dini kazi mnayoo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pimbi ya Ijumaa Fala mkuuWatibeli sio wafia dini. Popote penye Wema tunakambi
Kwenye tasnia ya majini na ulozi
Pimbi ya Ijumaa Fala mkuu