Maeneo ambayo Waislam wanawapiga Bao Wakristo

Maeneo ambayo Waislam wanawapiga Bao Wakristo

Jiheshimu
Twende kazi, najua wapo mmaojitawaza kwa maji pia wapo mnaojitawaza kwa magazeti.
Ukweli usemwe tu, wanawake wa kiislamu kwenye hili la usafu wapo mbali sana, mbali ya kuitunza na kuihifadhi vyema miili yao kiusafi pia wapo mbali.
Wakristo jifunzeni, siyo mnaishia kupiga miswaki tu
 
Twende kazi, najua wapo mmaojitawaza kwa maji pia wapo mnaojitawaza kwa magazeti.
Ukweli usemwe tu, wanawake wa kiislamu kwenye hili la usafu wapo mbali sana, mbali ya kuitunza na kuihifadhi vyema miili yao kiusafi pia wapo mbali.
Wakristo jifunzeni, siyo mnaishia kupiga miswaki tu
Kama kuna mwanamke yeyote mwenye akili timamu,hata kama hana dini,asiyetumia maji ktk kujisafisha baada ya kujisaidia basi lazima atakuwa mshirikina tu
 
Tatizo waislam bado mpo kwenye propaganda na marketing ya dini. Paka akiingia tu msikitini basi ni topik dunia nzima. Akitokea mtu aliyekuwa maarufu duniani na aliyefulia akiahidiwa kubadili akiwafuata ili wampe vimichango basi ndio habari dunia nzima. Ona watu wanaanda kombe la dunia lakini ni propaganda za kidini zimo ndani, kuwaita akina Zakir Nir eti wawabadili watu, wanamsajili mchezaji mkubwa wa dunia ili wakamshinikize atangaze dini Yao. Wakristu hawapi huko siku hizi ,kujiunga tuu ukristu lazima upigwe darasa la ukatekumeni miaka 3 mfululizo
 
Sehemu moja kubwa Waislamu walipopiga bao ni kutoruhusu kitabu chao kihaririwe ama kiboreshwe. Hii inamaanisha maelekezo na miongozo yao ipo constant enzi na enzi.

Upande mwingine sasa kile kitendo cha kusema wanaboresha kitabu chao hapo ndipo hasa matatizo yalipoanzia. Imekuwa ni kama kuna dini nyingine nyingi ndani ya dini moja.

Leo hii muislam akiangukia popote pale duniani anaweza kufanya ibada yake bila kuhitaji muongozo lakini Mkristo lazima aulize kwanza dhehebu, mrengo, mmiliki n.k.

Ukichunguza hasa mafundisho mengi yaliyopo katika uislam kuhusu mfumo wa maisha ni yale yale ambayo yalikuwa katika biblia kabla kuanza kuhaririwa na 'kuboreshwa'.
Wakristo walishindwa kumudu elimu waliyoipata, matokeo yake masikio yakazidi kichwa, wakaanza kujibomoa.
Msingi wa tofauti za Waislam haupo kwenye Quran yao bali kwenye hadithi.
Nenda kwa Wakristo kila nchi ina biblia yake, kila Kanisa linabiblia yake na kila mtume ana ya kwake.
Sasa hivi kuna hadi Biblia zenye kitabu cha Mwajuma
 
Wavaa kobazi bhana
654760855.jpg
2071890686.jpg
 
Kama kuna mwanamke yeyote mwenye akili timamu,hata kama hana dini,asiyetumia maji ktk kujisafisha baada ya kujisaidia basi lazima atakuwa mshirikina tu
Wapo wengi tu, hao ndiyo wale wasemao "Mungu huangalia rohoni". Sijui roho gani hiyo isiyokupa muongozo wa maisha unaoutakasa mwili. Wakristo wamesahau kuwa mwili ni hekalu linalohotaji usafi na hata biblia inafundisha usafi wa roho na mwili lakini wakristo wamechagua roho mwili wameutupa huko huku wenzao waislam wakichagua usafi wa mwili huku wa kiroho wakiutupa motoni
 
Katika Point zote ulizoandika hapo juu ni Mambo ya Kibinadamu (Maamuzi / tamaduni za Jamii husika ) ,
Usichanganye Lifestyle ya Watu (Mtu husika ) na Biblia .
Ili tukubaliane na wewe tupe vifungu vinavyohusu (Eleza )
1. Usafi na Stara kwa Mwanamke
2. Mgawanyo wa Mali
3. Heshima ya Mwanamke kwa Mwanaume
4. Mazishi
5. Mahali


Ili tuendeleee na Tukuabaliane na Wewe , Toa Vifungu !!!!!


ANGALIZO , Usichanganye
Tamaduni (Maisha ) ya Watu na Biblia .

KALIBU , Taikoni

Biblia inasheria za Mungu (Yahweh) na Mapokeo ya wazee(Mila na desturi za kiyahudi)
Hapa tunazungumzia Ukristo ambao haufuati Biblia Kwa 💯 Jambo ambalo linaufanya upigwe gap na uislam (licha yakuwa uislam ume-copy vitu kwenye Uyahudi).
 
Mavi yako pimbi wewe ! unadhani wote humu ni mafala kama wewe! Kama unaona dini fulani ni bora nenda huko ila acha kukashifu imani na dini za wengine!

Kumbuka hizi dini tuliletewa tuu na ndio maana walipofika waarabu mwanzo watu wa eneo hilo wakawa waislam na walipofika wazungu watu wakristo!

Wewe kujidai sijui dini fulani ni bora kuliko nyingine na ukengemfuu tu kilaza wewe!

Kumbuka Tanzania hatuna ubaguzi wa dini wala kabila lakini wewe mamayo ndio unataka kuleta chokochoko zako "CHOKO WEWE" Na kama umeshindwa kuishi kwa amani mamayo wewe nenda Somalia au hata Sudan wakakufumue marinda pimbi wewe unayewashwa na kinyeo !

Hayo matusi yako hayatakufanya umnunylie Mkeo hata kanga.
Akili yako kisoda imeshindwa kukusaidia kujiendesha kimaisha unadandia mada zisizokusaidia lolote
 
Saiv ukifikwaa na msiba kwetu wakristo ni stress tupu...catering msibani..kaburi kujengewaa..sare za familiaa..mziki wa maombolezo...mpk msiba uishe upoo hoii[emoji119]wakristo tunaoverdo jamani
Upigaji tu,kuna watu wanageuza misiba fursa
Kwenye familia kama mtu mmoja asiposimama imara mtaletewa mazingaombwe sjui jenezq la mln 4 kmbe jeneza laki 7,hapo washawekq cha juu
Sjui kupatikana kaburi kuchimba mln 6 kmbe kule wanatoa 1.4 mln tu,nyingine wanachikichia
Kwenye chakula nk kote uwizi
Watu misiba ni kama fursa ya kujipigia hela kuanzia ndg na jamaa

Ova
 
Huo ni uongo ulio dhahili.Dini ya mitume na manabii siku Yao kuu ya ibada ni jumamosi(SABATO).Siku hiyo hakuna kufanya kazi yoyote,ni ibada tu(Kutoka 20:8-11, ISAYA 58:13,EZEKIEL 20:20,WAEBRANIA 4:9, QURAN 4:154,16:124,2:65).Yesu pia alikuwa akifuata hiyo dini(LUKA 4:16).Na waliabudu kwa namna tatu hadi nne.Kusujudu,kuanguka kifudifudi,kusimama,kupiga magoti.Zote zilikuwa zinakubalika mbele za MUNGU.Mtu hakulazimika kutumia namna moja tu.Nabii Danieli yeye alikuwa akipendelea sana kupiga magoti(DANIEL 6:10).Nyie hamna SABATO.Sasa utasema ni imani moja hiyo?Nyie mna ijumaa,ambayo hamuifanyi kama sabato.Unafunga biashara unaenda kuswali.Unamaliza unageuka kuendelea na biashara kitu ambacho ni kinyume kabisa na dini ya manabii.Manabii hawajawahi kuhalalisha,wala kula najisi iwayo yote(walawi 11 yote).Leo uislamu umeifanya najisi(ngamia) kuwa mnyama mtukufu wakati MUNGU wa manabii amekataza kabisa hata kugusa mizoga yao.Najisi haitakiwi iliwe hata katika mazingira yoyote yale,ila uislamu unaruhusu katika mazingira ya njaa.Sasa unathubutu vipi kutamba hadharani eti kina Musa Walikuwa waislamu wakati sheria za dini ya Musa zote uislamu unazipinga na kuzikanyaga!!Ili ujue dini ya Musa ni lazima uzichunguze sheria alizopewa na Mungu zifuatwe na wote wenye kujunasibu kuifuata dini aliyonayo Musa.Muhammadi ametamka tu"Musa ni muislamu".Mty yeyote anaweza kutamka tu katika kitabu chake.Hata uhindu kupitia vitabu vyao wanaweza kutamka tu.Ili tuamini ni lazima tuchunguze sheria zilizopo pande zote,zinaendana?
Boss mbona hasira hahaha.... kwanza sisi hatuna siku kuu ya ibada, kilasiku sisi ni swala tano mpaka kufa! Kwahiyo siku zote ni sawa, usifosi tufanane, na hata kurejea huko nilikuwa sifananishi Bali nabainisha

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom