Maeneo mazuri ya kuishi Morogoro

Maeneo mazuri ya kuishi Morogoro

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Wakuu, kuna kaproject naenda kufanya hivi karibuni huko Morogoro, nahitaji kujua ni maeneo gani yenye utulivu na usalama kwa mtu mwenye familia kuishi na yaliyo na maendeleo kwa maana ya makazi na miundombinu mizuri. Yasiwe mbali sana na mjini. Nipeni list wakuu.

Halafu mbona kama watu wanauchukulia poa sana huu mji, sielewi kwa nini Serikali haijawekeza kuukuza huu mji. Siku Mluguru akichukua nchi, Moshi na Arusha wataachwa mbali sana tena ndani ya kipindi kifupi.
 
Hizi kota za Railway ziko na ubora gani na malipo/pango zake ziko vipi..?
Kuna mahali niliziona za NSSF niliona kama ziko poa ila nikaambiwa hamna nafasi, sijui kama wanazo sehemu nyingine na bei yake sijui itakuwaje
 
Back
Top Bottom