cacutee
JF-Expert Member
- Apr 9, 2024
- 1,333
- 3,512
Haha ntakwambia privateMama nani ndugu yangu naweza kuwa namfahamu , nimekaa hapo muda mrefu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha ntakwambia privateMama nani ndugu yangu naweza kuwa namfahamu , nimekaa hapo muda mrefu sana.
Oky shukrani.Haha ntakwambia private
Inapendeza...
Sana loInapendeza...
Mimi nina nyumba ya mahitaji yako. Kihonda karibu na Youth MissionWote wamenipa muelekeo. Sasa najua pa kuanzia ngoja niingie front
sijajua ni kwanini massage hazifunguki. jaribu kunicheki 0781122408Wote wamenipa muelekeo. Sasa najua pa kuanzia ngoja niingie front
Kota za railway humtakii mema mwenzako wale wauza matofali ni wahalifu watupu wa kichangani na mji mpya.kuna maeneo ya kota za relwe(railway) ,forest au misufini,sema misufini ina kwa uswahilini fulani hivi
Naijua morogoro sako kwa bako.Wakuu, kuna kaproject naenda kufanya hivi karibuni huko Morogoro, nahitaji kujua ni maeneo gani yenye utulivu na usalama kwa mtu mwenye familia kuishi na yaliyo na maendeleo kwa maana ya makazi na miundombinu mizuri. Yasiwe mbali sana na mjini. Nipeni list wakuu.
Halafu mbona kama watu wanauchukulia poa sana huu mji, sielewi kwa nini Serikali haijawekeza kuukuza huu mji. Siku Mluguru akichukua nchi, Moshi na Arusha wataachwa mbali sana tena ndani ya kipindi kifupi.
Kikakala ndio the best kwa vigezo vifuatavyo.Nipe mwongozo mkuu
Vipi maeneo haya mengine unayaonaje waliyotaja wengine:Kikakala ndio the best kwa vigezo vifuatavyo.
1. Ustaarabu wa wakazi.
2. Usafiri bajaji 500 uko mjini.
3. Lami tupu na maji 90%
4. Vitega uchumi plus maeneo ya utulivu .
Nje ya hapo labda bigwa shida umbali kihonda mbali na mjini plus risk za usalama na shida ya maji nk
Taja eneo lolote morogoro nitakupa ufafanuzi.
Njoo chamwino, hutajuta. Nyama elfu 5 kilo, sukari buku mbili/kilo, chumba na sebule 15,000/= kina umeme, maji, jiko, na tiles, na sehemu ya kupaki gari.
"Kikakala"! ndio the best. Ikisomeka Kilakala kutakua na shida!Kikakala ndio the best kwa vigezo vifuatavyo.
1. Ustaarabu wa wakazi.
2. Usafiri bajaji 500 uko mjini.
3. Lami tupu na maji 90%
4. Vitega uchumi plus maeneo ya utulivu .
Nje ya hapo labda bigwa shida umbali kihonda mbali na mjini plus risk za usalama na shida ya maji nk
Taja eneo lolote morogoro nitakupa ufafanuzi.
Huko maji ni shida kweli kweliNanenane