Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha
Mtaa wangu wa zamani.Modeko full lami hadi mtaani mitaa ya kwa Prof Kinabo
Umenena vyema. Ndo maana walisema nanenane ni mbali nilishangaa Sana. Labda kwa ishu ya mavumbiAround Morogoro yote manispaa kila sehemu ni karibu na mjini tofauti na dar .
Sehemu ambazo hutakiwi kukaa ni chamwino,manzese, mwembe songo, kichangani, mafisa, sultan area Kihonda viwandanim
Modeko full lami hadi mtaani mitaa ya kwa Prof Kinabo
Maeneo hayo naweza kupata nyumba ya vyumba 3 kwa 100-150K?Magorofani
Idiva
Foresf
Modeko
Kigulunyembe
Kola A&B
Lukuyu
Nb hayo maeneo ni bora sana kwa huduma zifuatazo.
Usafiri, ulinzi (hakuna vibaka), upatikanaji wa maji.
Japo kama huna mambo mengi na unahitaji apartiment nzuri sana kodi nafuu maeneo yafuatayo yanafaa pia.
Kihonda,
Area 5&6,
Mazimbu camps,
Kilakala,
Bongola,
Karibu sana.
Kwa Kodi Sina uhakika wa bei hyoMaeneo hayo naweza kupata nyumba ya vyumba 3 kwa 100-150K?
Around Morogoro yote manispaa kila sehemu ni karibu na mjini tofauti na dar .
Sehemu ambazo hutakiwi kukaa ni chamwino,manzese, mwembe songo, kichangani, mafisa, sultan area Kihonda viwandani
Ila kweli maeneo mengi niliyozunguka hata kule Kihonda ni karibu na mjini hasa kwa kuwa hakuna foleni sana kama Dar. 88 siyo mbali kihivyo, nadhani ni kama dk 15 kutoka Msamvu ila kwa mbele kunaonekana tu kukavu sijui huko ndani kama kuna miti miti kama kule Forest. Nitaenda kupacheki vizuri.Umenena vyema. Ndo maana walisema nanenane ni mbali nilishangaa Sana. Labda kwa ishu ya mavumbi
Vumbi sana pale na kwa familia sio. Nashauri jirani na SUAHivi kumbe 88 nako kuzuri maana napitaga tu juu kwa juu?
😂😂Ila kweli maeneo mengi niliyozunguka hata kule Kihonda ni karibu na mjini hasa kwa kuwa hakuna foleni sana kama Dar. 88 siyo mbali kihivyo, nadhani ni kama dk 15 kutoka Msamvu ila kwa mbele kunaonekana tu kukavu sijui huko ndani kama kuna miti miti kama kule Forest
My Wii anaishi hapo alafu ni maarufu SanaMtaa wangu wa zamani.
Zilikuwa ila sasa ni binafsi hivyo baadhi zimefanyiwa mabadiliko kulingana na uwezo binafsi.Hizi kota za Railway ziko na ubora gani na malipo/ pango zake ziko vipi..?