Maeneo mazuri ya kuishi Morogoro

Maeneo mazuri ya kuishi Morogoro

Wakuu, kuna kaproject naenda kufanya hivi karibuni huko Morogoro, nahitaji kujua ni maeneo gani yenye utulivu na usalama kwa mtu mwenye familia kuishi na yaliyo na maendeleo kwa maana ya makazi na miundombinu mizuri. Yasiwe mbali sana na mjini. Nipeni list wakuu.

Halafu mbona kama watu wanauchukulia poa sana huu mji, sielewi kwa nini Serikali haijawekeza kuukuza huu mji. Siku Mluguru akichukua nchi, Moshi na Arusha wataachwa mbali sana tena ndani ya kipindi kifupi.
Je, wataka nikutajie maeneo yenye HIV sana au Gono mno au Kaswende zaidi au Uwizi Uliotukuka au kwenye Wanga?
 
Around Morogoro yote manispaa kila sehemu ni karibu na mjini tofauti na dar .
Sehemu ambazo hutakiwi kukaa ni chamwino,manzese, mwembe songo, kichangani, mafisa, sultan area Kihonda viwandani
Haya maeneo ni ya wanywa gongo wehu na vibaka aisee aisee.
 
Modeko full lami hadi mtaani mitaa ya kwa Prof Kinabo
Yes kuelekea dark city ile mitaa ya kishua sana imetulia vema ila epuka maeneo ya pale makaburini kona ya golofa la asikofu barabara ya kwenda lugala utakufa mapema sana pamepakana na chamwino.
 
Wakuu, kuna kaproject naenda kufanya hivi karibuni huko Morogoro, nahitaji kujua ni maeneo gani yenye utulivu na usalama kwa mtu mwenye familia kuishi na yaliyo na maendeleo kwa maana ya makazi na miundombinu mizuri. Yasiwe mbali sana na mjini. Nipeni list wakuu.

Halafu mbona kama watu wanauchukulia poa sana huu mji, sielewi kwa nini Serikali haijawekeza kuukuza huu mji. Siku Mluguru akichukua nchi, Moshi na Arusha wataachwa mbali sana tena ndani ya kipindi kifupi.
Nahitaji Maelezo zaidi kwenye hiyo paragraph ya pili mkuu kama hutojali.Umeona nini kwani?
 
Hapo ni bigwa
 

Attachments

  • 1709404146431.jpg
    1709404146431.jpg
    776.1 KB · Views: 8
Back
Top Bottom