balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Matombo ni mbali sana halafu no milimaniNitapafuatilia, sijawahi kufika huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matombo ni mbali sana halafu no milimaniNitapafuatilia, sijawahi kufika huko
Kihonda safi sana,forest na jirani na junior seminaryZilikuwa ila sasa ni binafsi hivyo baadhi zimefanyiwa mabadiliko kulingana na uwezo binafsi.
Hata hivyo Morogoro haina sehemu salama kwani wakazi wengi hawana kazi wala biashara, wao ni wizi tu.
Mama nani ndugu yangu naweza kuwa namfahamu , nimekaa hapo muda mrefu sana.My Wii anaishi hapo alafu ni maarufu Sana
Mkuu bajeti yako ni ndogo sana,hii ni bajet ya chumba kimoja kama unahitaji vitatu tenga kuanzia 250k kwenda juu otherwise utaishia uswahiliniMaeneo hayo naweza kupata nyumba ya vyumba 3 kwa 100-150K?
Yes.Maeneo hayo naweza kupata nyumba ya vyumba 3 kwa 100-150K?
Je, wataka nikutajie maeneo yenye HIV sana au Gono mno au Kaswende zaidi au Uwizi Uliotukuka au kwenye Wanga?Wakuu, kuna kaproject naenda kufanya hivi karibuni huko Morogoro, nahitaji kujua ni maeneo gani yenye utulivu na usalama kwa mtu mwenye familia kuishi na yaliyo na maendeleo kwa maana ya makazi na miundombinu mizuri. Yasiwe mbali sana na mjini. Nipeni list wakuu.
Halafu mbona kama watu wanauchukulia poa sana huu mji, sielewi kwa nini Serikali haijawekeza kuukuza huu mji. Siku Mluguru akichukua nchi, Moshi na Arusha wataachwa mbali sana tena ndani ya kipindi kifupi.
Haya maeneo ni ya wanywa gongo wehu na vibaka aisee aisee.Around Morogoro yote manispaa kila sehemu ni karibu na mjini tofauti na dar .
Sehemu ambazo hutakiwi kukaa ni chamwino,manzese, mwembe songo, kichangani, mafisa, sultan area Kihonda viwandani
Yes kuelekea dark city ile mitaa ya kishua sana imetulia vema ila epuka maeneo ya pale makaburini kona ya golofa la asikofu barabara ya kwenda lugala utakufa mapema sana pamepakana na chamwino.Modeko full lami hadi mtaani mitaa ya kwa Prof Kinabo
Eneo hili hapa bosi ongeza bigwa na kilakala akuna uswahili uswahili hukuFolkland, Forest
Nahitaji Maelezo zaidi kwenye hiyo paragraph ya pili mkuu kama hutojali.Umeona nini kwani?Wakuu, kuna kaproject naenda kufanya hivi karibuni huko Morogoro, nahitaji kujua ni maeneo gani yenye utulivu na usalama kwa mtu mwenye familia kuishi na yaliyo na maendeleo kwa maana ya makazi na miundombinu mizuri. Yasiwe mbali sana na mjini. Nipeni list wakuu.
Halafu mbona kama watu wanauchukulia poa sana huu mji, sielewi kwa nini Serikali haijawekeza kuukuza huu mji. Siku Mluguru akichukua nchi, Moshi na Arusha wataachwa mbali sana tena ndani ya kipindi kifupi.
Kunauhalifu sana wa panyarodi.Kihonda safi sana,forest na jirani na junior seminary
Modeko ipo ya uswahilini pia ambayo ina njia ya kutokea Chamwino😃Modeko full lami hadi mtaani mitaa ya kwa Prof Kinabo
Kama ana usafiri wake aishi mfuruni hama bigwa88 ni mbali sana na Town center,, kule Tubuyu kote ni mbali