Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uzushiNilisikia pia mradi wa kufua umeme situation ipo hivyo.
Hali ni Tete kila mahali ila ndio hivyo mabango ya kusifia nayo ni mengi sana mjini.
JPM mwenyewe ali complicate tu ila hata kungekuwa na fair ground kiasi gani hakuna ambaye angemshinda uchaguzi uliopita! Hili sitaki hata kubishana na mtu.
BTW ninaposema CCM kurudi kwenye mikono ya wananchi ni fursa kwa kila mwanachama kuchaguliwa bila influence ya fedha, kufuata katiba na kanuni kikamilifu zao wenyewe bila lobbyings na janja janja. Hii itaondoa dhana ya kubebana ambayo inaondoa uwajibikaji zaidi ya maigizo.
CCM kuhamisha focus ya watu kwa Rais hasa kipropaganda imefanya wapone lawama nyingi. Mfano sasa hivi tunaona awamu ya tano na sita ni kama wapinzani! Wapinzani halisi nao wanaingia kwenye mtego huo huo wa makundi hayo.
Wametengeneza awamu zinazopingana na kutusahaulisha adui halisi! Msoga vs Lupaso , Jiwe vs Msoga ! Sasha vs Jiwe Matatizo yanasalia yale yale ila tunafurahi tusiowapenda wakisulubiwa kijanja janja.
Ukweli ni upi?? Andika wewe hujakatazwa.Acha uzushi
Nimepita juzi tu Kintinku Manyoni Itigi hadi Tabora SGR inaendelea kwa kasi.Ukweli ni upi?? Andika wewe hujakatazwa.
Kwa hili kusema ukweli awamu ya 5 na 6 hawana tofauti. Labda tofauti iliyopo mabango ya awamu ya 6 ni makubwa zaidi na yamekaa kiprofesheno wakati yale ya awamu 5 yalikuwa ya kishamba sana hayakuwa kiprofeshenomabango ya kusifia nayo ni mengi sana mjini.
Punguza uchawa.Nimepita juzi tu Kintinku Manyoni Itigi hadi Tabora SGR inaendelea kwa kasi.
Awamu ya sita ambayo kimsingi haipo kikatiba.Kwa hili kusema ukweli awamu ya 5 na 6 hawana tofauti. Labda tofauti iliyopo mabango ya awamu ya 6 ni makubwa zaidi na yamekaa kiprofesheno wakati yale ya awamu 5 yalikuwa ya kishamba sana hayakuwa kiprofesheno
johnthebaptist
Magufuli 84% na Tundu Lisu 13%Kwa hili kusema ukweli awamu ya 5 na 6 hawana tofauti. Labda tofauti iliyopo mabango ya awamu ya 6 ni makubwa zaidi na yamekaa kiprofesheno wakati yale ya awamu 5 yalikuwa ya kishamba sana hayakuwa kiprofesheno
johnthebaptist
"mama" hata apewe miaka 20 hatofanya lolote, kitu alichokosea toka mwanzo ni alipojiweka karibu na walamba asalitatizo usifiaji umekuwa mkubwa kuliko uhalisia wa mambo
sasa imagine hata viporo tu kumalizia ni shida,je itawezekana kuanzishwa kwa miradi mipya mingine?
Mungu tu asaidie kuvusha hili Taifa.
Yaani ni mashindano ya kuvizoa huko na kuleta huku. Hivi yule ambaye alisema hata "Bajaj" hana, hatakomboa za kwake au anavuta subira, maana November bado mbali.Vyuma vinaingia vipya kila siku
Kaingia vyuma 40 Mchina mtupu!Yaani ni mashindano ya kuvizoa huko na kuleta huku. Hivi yule ambaye alisema hata "Bajaj" hana, hatakomboa za kwake au anavuta subira, maana November bado mbali.
Hayo mengine uliyosema kila mtu ana mtazamo wake hivyo ibakie hivyo.Hakucomplacate kwa bahati mbaya uchaguzi ule, bali hata kama angeshinda sio kwa ushindi aliotaka. Hakuna mwenye tatizo na yeye kushinda kihalali, bali ushindi aliokuwa anautaka asingeweza kuupata, na kibaya zaidi hata chama chake kisingekuwa na uwezo wa kupata 2/3 ya kuwawezesha kufanya maamuzi watakavyo bungeni. Hili hutakiwi ubishane na yoyote bali ndio ukweli, na ingekuwa kinyume chake Magufuli asingepora uchaguzi.
Hakuna CCM ya kurudi kwa wananchi, na siku ikitokea hivyo ndio utakuwa mwisho wa CCM. Kwa sasa hivi na kizazi hiki tofauti, nguvu halisi ya CCM iko ndani ya mbeleko ya vyombo vya dola, na nguvu hiyo inaweza kupangaliwa na watu wachache sio hao wanachama unaoita wananchi. Kama ikitokea hakuna kubebana ndani ya CCM, ni wazi hakutakuwa na kubebana nje ya CCM pia, jambo ambalo halitaisaidia CCM zaidi ya kuifikisha mwisho wake.
Wanachokifanya wapinzani sio kuingia kwenye ugomvi wa hayo makundi, bali ni kuchochea moto baina ya mahasimu wa hizi awamu, maana ugomvi wao ni faida kwao.
Mkuu 'Philemon Mikael' asante kuhusu taarifa hii. Nami kupitia kwako niulize swali: Hivi kile kipande cha kwanza cha ujenzi wa reli toka Dar hadi Morogoro kilisha kamilika na kufanya kazi?Taarifa za uhakika ni kuwa Ujenzi wa Reli ya SGR hasa vipande vinavyohusu kampani ya waturuki umesimama na kazi zinazoendelea ni chini ya asilimia kumi, yaani ni kama wanaweka watu wachache kwenye sites ili kusionekane hakuna watu kabisa.
Ni vema serikali kama kweli inawalipa ikachunguza ni nini kinaendelea huko, kama kuna matatizo pengine yanayotokana na madhara ya tetemeko la ardhi au kampuni inayumba kifedha basi hatua za haraka zichukuliwe.
Hii sio siri tena na mwisho itaonekana kama vile wananchi wanadanganywa, hali hii inasikitisha sana … kama kampuni imekwama basi watakiwe kutafuta mbia haraka.