Maeneo mengi ujenzi wa SGR umesimama


Hiyo ni light weight railway …kazi tuliyowapa hapa ndio kubwa zaidi kwao kupata kuifanya …maana hapa unaongelea almost kilometer 1,000 sio Jambo dogo
 
Unaweza kutupa mifano japo ya picha kuona hali halisi ilivyo! maana sisi huku kwetu mbwinde tunaona Yapi Merkezi waliendelea na shughuli za hapa na pale

Shughuli za hapa na pale ndio hizo kusua sua ..hujasikia hadi wafanyakazi wao wanagoma …au unafikiri hii ni siasa >??
Contractor ana namna nyingi za kuchelewesha kazi …..anaweza kila siku anaenda site ili tu waonekane lakini hawapigi hatua …
Hujasikia hadi magari yao mengine wamepaki ..hawaweki mafuta ……kipande cha Dar - moro kila siku mnaambiwa kinaanza mwezi ujao toka mwaka 2021 tunaambiwa wako asilimia 95%
 
Unasema habari za uhakika kutoka kwa nani? Mkiendeleza uongo itabidi tumwambie webmaster akufute . Kama ni mawazo yako usiseme habari za uhakika sema kwa mawazo yangu!

Mwambie basi anifute ….acha kutisha watu …au unataka kutuambia wewe ndio commanding officer wa Webmasters …????
Kwani mfano ingekua uwongo kwanini ukasirike hivyo na hata kuona anayewaza tofauti afutwe ?? Kuna mambo mangapi yanaandikwa humu ndani kwanini hili tu ndio likukere …
Ifike makali tuwe wazalendo …na tuache hyena hyenaaaa
 
Kwani ni hela za wañaccm, hizo ni kodi zetu, sio vibaya CDM wakichukua sehemu ya makusanyo ya kodi zao kisheria. Au unaumia ww jizi la kura?
Kwahiyo zile kiki za kujifanya mnavunga kuvuta mkwanja wa ruzuku kwani wanacdm walikuwa hawalipi kodii??
 

Awamu ya tano ilisema reli ya SGR kipande cha Dar-Moro kitaanza kazi kufikia desemba 2019, hadi leo hadithi. Walisema wamejenga viwanda 4,000, weka viwanda hata 200 vilivyojengwa hiyo awamu ya tano ili tukavione kwa macho maana ww uliona hivyo vyoye 4,000+.

Tuliambiwa kwa mbwembwe kubwa mwaka 2017 pale chongoleani Tanga kuwa bomba la mafuta ya Uganda litakuwa limefika Tanga November 2020. Hadi leo ni porojo tu. Je haya uliyaona kwa macho, au macho ya kiroho?
 
Acha upotoshaji hakuna kilichosimama kila mradi unaendelea chini ya Rais Samia Suluhu
 
Ni white elephant niliuona hivyo toka awali. Niliamini usingekamilika kwa wakati. Tatizo wala sio waturuki.
 
Hiyo ni light weight railway …kazi tuliyowapa hapa ndio kubwa zaidi kwao kupata kuifanya …maana hapa unaongelea almost kilometer 1,000 sio Jambo dogo

Mradi wa SGR Reli mpya Tanzania umewekwa mbwembwe, nakshi, vikolombwezo n.k nyingi kuliko reli za SGR za bara la Marekani ya Kaskazini, Australia, Bara Ulaya yote Magharibi na Mashariki , India hivyo kuufanya mradi wa SGR Reli mpya ya Tanzania kuwa wa gharama kubwa kupita kiasi huku njia nzima ya reli ya SGR Reli Tanzania pembezoni hakuna viwanda, karakana, mashamba makubwa wala ranchi kubwa za mamilioni ya mifugo kama ya Ukraine, Brazil, USA, Canada n.k


Sijui reli hii ya SGR mpya Tanzania itajilipa vipi kutokana na shughuki za ndani kama usafirishaji wa ndani wa, mazao ya kilimo, viwanda, ufugaji, vipuri vya katakana n.k kama ilivyo kwa nchi zingine hata hiyo Romania, Italy pembezoni mwa reli zao kuna shughuli kubwa za kiuchumi za ndani ya nchi zao.


Treni inayosafiri baina ya mikoa nchini Italy, stesheni zake, mazingira n.k

26 Agosti 2022 Trip report on board Trenitalia's Regionale Veloce Train RV from Torion Porta Nuova to Ventimiglia.
 
Hakuna serikali yoyote unayoifikiria itafanya chochote ndugu yangu. Kila idara ziko dormant kama vile hakuna viongozi katika nchi.
 
Njia sahihi kama ujenzi unasua sua wahojiwe pande zote za mkataba juu ya kusua sua huko ili upate majibu.Kwa kuwa tumewapa dhamna ni wajibu wao kutoa majibu,ikitokea wakatoa majibu yanayomtetea mkandarasi basi wanakua wanakua sababu.
 

Tumechoka utamaduni wa uongo hapa kama ni mawazo yako sema na sio kutudanganya "habari za uhakika" kutoka wapi?? Onyo la mwisho toa hoja acha uongo bila hivyo utaishia kwenye mitandao ya udaku
 
Utawaambia ikiwa inamilazimu nikujibu suala lako basi mimi ni Mzanzibari! 😂😂😂
 
Kwa hiyo unaweza kuweka hata kielelezo hata kimoja hapa kuthibitisha hizo tuhuma si watu walipiga kura na waangalizi wenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…