Kwani Iringa kuna mademu huko kuna wanawake wanaoweza kuzaa tu basiShida ya Iringa ni uhaba wa madem, ila kwa viwanja huwa napenda kukaa WarmUp (Zamani palijulikana kama shooters) atleast kuna vibe standard, ila kiwanja cha Miami huwa naona hakina tofauti sana na Lambo bar ya manzese. Kitimoto huwa natafuna kwa geofrey hapo vibanda vya Ccm. Mji wa Iringa una hali ya hewa nzuri
Inabidi upambane uhameUkanda wote wa nyanda za juu kusini na mikoa yote ya kusini ni takataka, nachukia sana hii serikali kunipeleka huko ni sawa na kunipeleka jehanam, naomba tu Mungu aninusuru na huku.
Wanawake wazuri wazuri wapo vyuoni hapo ruco na TumainiKwani Iringa kuna mademu huko kuna wanawake wanaoweza kuzaa tu basi
Hpo ni night club?? Au baa iliyochamgamka tu hadi asubuh... Kama huku dom kuna royl village, 88 etc.Zipo. Maarufu kuliko zote ni Miami Night club. Hiyo sehemu, usiku ni kama asubuhi/mchana tu.h
Usalama kwanzahuo ukanda ni hatari wakuu muhimu tukumbuke kondom
Karibu mkuu,Usalama kwanza
Karibu mkuu,
Nipo ipogolo kili time hapa.
Sio haba sana as you know it's a Tuesday very tough
Kuna watoto wazuri ila wadau naona wote tunakunywa kali tu hapa
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Nimeshaupiga tayari, sasa nashushia na maji ya gold mkuu 😀Njoo mafinga ule n'dudu
Huku bei poa, kilo 8000Njoo mafinga ule n'dudu
Njoo Ukwega wewe uje unywe Mbeta. Kuna viwanja na madem wazuri sana. Mi ndio naenda nyumbani sasa nimekesha nakula gambe la Ulanzi na wanzuki. Leo saa 3 nitakuwepo Kidamali nikipiga gambe. Tutafutane mkuu.Kwa leo nimeenda warmup, miami,royal lakini mazingira si rafiki, nikaishia pale ccm kula mdudu na mvinyo, kwa summary naona pale penye mdudu ndio pako poa kiasi.
Kwa ujumla, ukanda huu hakuna pisi kali.
Unategemea wanawake wazuri wa vyuoni waliotoka mikoa mingine, naulizia mbususu native za iringa zile kali zipo??Wanawake wazuri wazuri wapo vyuoni hapo ruco na Tumaini
Kwani Kuna uhusiano gani Kati ya sura na utamu wa mbususuUnategemea wanawake wazuri wa vyuoni waliotoka mikoa mingine, naulizia mbususu native za iringa zile kali zipo??
Nipe connection nami nile mbususu kali za Iringa sitaki hao kuku wa kizungu wa vyuo vya Iringa.Kwani Kuna uhusiano gani Kati ya sura na utamu wa mbususu
Idete ni kijijini sana sijui hilo vibe linatoka wapi?Itakuwa mbali sana; ingawa mara nyingi nje ya mji ndio huwa kuna utulivu
Dah.. Gangilonga kitambo sana hapoNipo Gangilonga