Hamridhishi kivipi? Kwanini dada alianza michezo mapema mpk ajue kuna nene na nyembamba? 🤭Mhhh sasa ilikuwaje akawa na demu kwa miaka mitatu? Na yule demu hakusema kwamba hasimamishi bali hamridhishi.
DuhHana mtoto, na jamaa hasimamishi taha kidog, yy mwenyewe alitoka hadharani aka ongea
Mwanamke mwenye hasira, anaweza kufanya au kuongea kitu chochote kile.Nje ya mada
X wake alidai kua jamaa Hana nguvu za kiume
Masharti hayo sister chenza na freemasonDuh
Mwambieni aje huku Bongo, tunamadawa ya nguvu
Mwanamke mwenye hasira, anaweza kufanya au kuongea kitu chochote kile.
Kama jamaa hana nguvu za kiume, why huyo Dem aliendelea kuwa nae mpaka akapigwa chini?l
Hamkojozi.Hamridhishi kivipi?
Hamridhishi kivipi? Kwanini dada alianza michezo mapema mpk ajue kuna nene na nyembamba? 🤭
Noma sana aiseeMasharti hayo sister chenza na freemason
Sources ndo iyo mkuu thus wakaachana
Kwahiyo mwamba ni [emoji304]Nje ya mada
X wake alidai kua jamaa Hana nguvu za kiume
Tunajifunza u freemason haulipi.Huyu jamaa kwa kipindi kifupi ameweza kuwa mwanamuziki maarufu na mwenye mafanikio duniani. Kafanya shows nyingi, kajaza watu kwenye show zake na mengineo mengi.
Je, siri ya kufanikiwa kwake ni Kipaji au menejimenti inayojielewa? Miaka kama miwili au mitatu alifanya ngoma na Diamond pamoja na Harmonise lakini kwa sasa ukiwalinganisha unaona kabisa jamaa kawaacha mbali Diamond pamoja na Harmonise.
Na show yake kubwa ijayo ataperform kwenye fainali ya champions league mwaka huu. Je nini wanamuziki wetu wanatakiwa kukifanya kuweza kupata mafanikio haya? Maana naona wanigeria wako mbali sana. Mwaka jana Davido aliperfom kwenye fainali za world cup, Tems alishinda tuzo ya grammy na wengineo wanafanya vizuri kimataifa. Nadhani mawazo yetu yanaweza kusaidia wasanii wetu kukua zaidi kimataifa.
Huyu jamaa kwa kipindi kifupi ameweza kuwa mwanamuziki maarufu na mwenye mafanikio duniani. Kafanya shows nyingi, kajaza watu kwenye show zake na mengineo mengi.
Je, siri ya kufanikiwa kwake ni Kipaji au menejimenti inayojielewa? Miaka kama miwili au mitatu alifanya ngoma na Diamond pamoja na Harmonise lakini kwa sasa ukiwalinganisha unaona kabisa jamaa kawaacha mbali Diamond pamoja na Harmonise.
Na show yake kubwa ijayo ataperform kwenye fainali ya champions league mwaka huu. Je nini wanamuziki wetu wanatakiwa kukifanya kuweza kupata mafanikio haya? Maana naona wanigeria wako mbali sana. Mwaka jana Davido aliperfom kwenye fainali za world cup, Tems alishinda tuzo ya grammy na wengineo wanafanya vizuri kimataifa. Nadhani mawazo yetu yanaweza kusaidia wasanii wetu kukua zaidi kimataifa.
Weka link ya hiyo clip hapa na sisi tusikie alichokisema.Hana mtoto, na jamaa hasimamishi taha kidog, yy mwenyewe alitoka hadharani aka ongea
Una akili ndogo sana.Masharti hayo sister chenza na freemason
Burna boy ni mwanamziki anatumia band kuperfom stejini sisi huku tunao wasanii
Hizo ni bla bla tu za kawaida after kuachanaSources ndo iyo mkuu thus wakaachana
Na jamaa akakikiri.Nje ya mada
X wake alidai kua jamaa Hana nguvu za kiume
4. Nidhamu ya kazi na pesa.Msanii yeyote ili afanikiwe anatakiwa amiliki vitu vifuatavyo;
1.Kipaji
2.Nyota
3.Connections