Mafanikio ya mwanamuziki Burna Boy, nini tunajifunza?

Mafanikio ya mwanamuziki Burna Boy, nini tunajifunza?

Inawezekana Diamond humfuatilii, Diamond alikaa miezi zaidi ya nane baada ya kutoa album yake ya FOA.Juzi ndio katoa nyimbo mpya na hata hiyo album alikaa karibia miezi sita ndio akatoa album.

Pili hivi unatizamaga nyimbo mpya zinazo achiwa na wasanii wa Nigeria MTV,mfano Burna ,Wizkid juzi wameachia nyimbo mpya na kuna lundo wasanii kibao wameachia nyimbo,bongo hapa kwanza wasanii hawatoi nyimbo kwa fujo.

Nitajie msanii mpya aliye achia nyimbo juzi na Diamond nae ndani ya wiki hiyo akaachia nyimbo.Mondi ktk miaka hii mitatu mfululizo naona hata mziki kidogo aliupa mgongo alikuwa anabuild media yake hata nyimbo alikuwa haachii kwa fujo.

Hivi ktk hii Industry ya Bongo fleva kuna msanii aliyebaniwa kama Diamond?Nitajie msanii ambaye alibaniwa na zaidi ya media tatu kubwa Tz ila still akasimama na yy na label yake nitajie MMOJA TU.Nitajie msanii mmoja aliye jitokeza akaongea na kusema hii sio sawa mmoja tena kwenye vyombo vya habari.
Wee ni team domokaya lazima umteteee, lol
 
Hasimamishi na huku huyo demu aliyetoa madai hayo(Stefflon Don) aliishi naye miaka zaid ya mitano,muda wote huo alikuwa anatumia vidole!?
Kwanza hajasema kwamba hasimamishi alisema ana oerformance mbovu kitandani
Kuishi na mtu kwa zaidi ya miaka 5 haimaanishi kwamba jamaa alikuwa vizuri kwenye eneo la unyumba.

Pengine kuna kitu cha ziada kilichomfanya huyo mwanamama aendelee kuwepo na jamaa, mbali kabisa na uwezo wa jamaa kuperform.

Hata hivyo, baada ya kauli ya huyo mwanamama, Burna alikiri hadharani kuwa ni kweli hana nguvu za kiume, akasema kwake yeye kuwa na pesa tu inatosha kuliko hizo nguvu za kiume.
 
Kuishi na mtu kwa zaidi ya miaka 5 haimaanishi kwamba jamaa alikuwa vizuri kwenye eneo la unyumba.

Pengine kuna kitu cha ziada kilichomfanya huyo mwanamama aendelee kuwepo na jamaa, mbali kabisa na uwezo wa jamaa kuperform.

Hata hivyo, baada ya kauli ya huyo mwanamama, Burna alikiri hadharani kuwa ni kweli hana nguvu za kiume, akasema kwake yeye kuwa na pesa tu inatosha kuliko hizo nguvu za kiume.
Hivi mnaadithiana hii ishu huko vijiweni au tu wewe na wenzio humu mmeamua kuwalisha maneno tu Burna Boy na huyo mchumba!? Alichosema Stefflon Don ni hiko chini kwenye screenshot "poor performance" ambacho ni kinyume kabisa na maneno mnayomjaza kuwa alisema Burna Boy hana nguvu za kiume..Hivi ni vitu viwili tofaut tafadhali eleweni hilo
20230318_155927.jpg
 
Huyu jamaa kwa kipindi kifupi ameweza kuwa mwanamuziki maarufu na mwenye mafanikio duniani. Kafanya shows nyingi, kajaza watu kwenye show zake na mengineo mengi.

Je, siri ya kufanikiwa kwake ni Kipaji au menejimenti inayojielewa? Miaka kama miwili au mitatu alifanya ngoma na Diamond pamoja na Harmonise lakini kwa sasa ukiwalinganisha unaona kabisa jamaa kawaacha mbali Diamond pamoja na Harmonise.

Na show yake kubwa ijayo ataperform kwenye fainali ya champions league mwaka huu. Je nini wanamuziki wetu wanatakiwa kukifanya kuweza kupata mafanikio haya? Maana naona wanigeria wako mbali sana. Mwaka jana Davido aliperfom kwenye fainali za world cup, Tems alishinda tuzo ya grammy na wengineo wanafanya vizuri kimataifa. Nadhani mawazo yetu yanaweza kusaidia wasanii wetu kukua zaidi kimataifa.
Kwa nini Burna Boy peke yake, vipi players wetu hawafikii levels walizofikia akina JJ Okocha, Nwanko Kanu.
Vipi hatuna movie stars kama Genevieve Nanji, Noah Ramsey.
Kwanini hatuna waandishi kama Chinua Achebe.
Vipi kuhusu kuwa na business personalities kama Dangote.
The list is endless, tusitafute namna ya kuwasakama music artists wetu wakati kila nyanja tuko nyuma hata elimu, uchumi, infrastructures na health care system.
Kama Mtanzania umefanya kitu gani kusogeza mafanikio ya nchi kisanaa, michezo, elimu, uchumi au afya mbele?
 
Tatizo ni lugha, hawa jamaa wanaimba sana kiingereza kwa hivyo wanapata wasikilizaji wengi, tofauti na Diamond/Harmonize nyimbo zao nyingi ni kwa kiswahili. Kuna wimbo Diamond aliimba na Davido - number 1, huo hata kwenye ma party ya wa west african ulikuwa unawekwa sana sio shauri ya Davido bali ni shauri ya lugha. Wabadilike sasa waanze kuimba na nyimbo kwa kiingereza sasa.

Kuna nyimbo zingine hazitumii kiingereza lakini zinafika mbali kwanini
 
Tatizo ni lugha, hawa jamaa wanaimba sana kiingereza kwa hivyo wanapata wasikilizaji wengi, tofauti na Diamond/Harmonize nyimbo zao nyingi ni kwa kiswahili. Kuna wimbo Diamond aliimba na Davido - number 1, huo hata kwenye ma party ya wa west african ulikuwa unawekwa sana sio shauri ya Davido bali ni shauri ya lugha. Wabadilike sasa waanze kuimba na nyimbo kwa kiingereza sasa.
Hakuna cha kiingereza wala nini... muziki ni lugha ya dunia. Hata uimbe kwa kichina kama muziki ni mzuri utapenya tu. Kina Brenda Fassie, Yvone Chakachaka na wakali wengine toka SA wanaimba kiingereza? Wakongo je? Yousso Ndour? Hawa vijana wetu uwezo wao mdogo. Huyu Diamond kinachombeba ni ujanja wake mwingi wa kucheza na mitandao.
 
Back
Top Bottom