Hivi ulimsikia Shatta Wale wa Ghana alivyokuwa akiuzungumzia mziki wa Nigeria na huyu si msanii mdogo kishafanya Collabo mpaka na Beyonce, Siongei kujifurahisha.
Known for being controversial, a seemingly frustrated Shatta Wale also referred to all Nigerian artists as “one styled”.
gazettengr.com
Hakuishia hapo tu akapost clip ya Mr Flavor kwenye account yake ya twitter akiblame kwamba kuna baadhi ya wasanii wa nje wanafanya vizuri zaidi ya wanaija akatoa mfano wa Diamond, ila hawapewi airtime na vyombo vya Naija pamoja media kubwa za International.
Nakumbuka Vannesa Mdee alishawahi kuongea tukitaka mziki wetu utoboe zaidi vyombo vya kimataifa lazima tuwe na Decision Makers kwenye hizi media za kimataifa na ndicho kinacho tokea sasa,hivi brother unatizama MTV Africa, kaangalie playlist yao 70% ni mziki wa Nigeria,kafanye research yako hata ya siku tatu angalia playlist ya MTV Base.Wale jamaa wanajua kubebana na si wabinafsi na wasanii wao wanashirikiana mno.Lugha sio kila kitu SA na Kenya si wanazungumza Kingereza now wapo wapi.